Wajawazito kwenye Daladala, kwanini wanawake hawapishani kwenye siti?

Wajawazito kwenye Daladala, kwanini wanawake hawapishani kwenye siti?

Kwenye daladala ni ngumu sana kuona mwanamke anampisha siti mwanamke mwenzake hatakama ana ujauzito mkubwa kiasi gani hampishi.

Utashangaa mwanaume yuko nyuma kabisaa anampisha siti akae lakini mwanamke wa karibu yake anakausha.

Shida ni nini?
Ujauzito siyo ugonjwa
 
Unashangaa Anakusogezea Na Kukususia Zigo Lote.
ila kuna baadhi ya wanawake naona kama na wao wanapenda kubambiwa,utakuwa umesimama zako unashangaa unasogezewa tako makusudi akiona unashangaa anaomba msamaha samahani kaka ama pole kaka
 
Wanawake wenyew ni shida kunasiku nilimpisha mama na mtoto mdogo watu walishangaa walijua tu huyu wa kuja🤣🤣🤣
 
Nikuchoka tu na siunajua mtu mwenye mimba ni lazima asimame kukaa sana kwa mama mjamzito ni mbaya kwa afya akisimama ndio powa maana yupo mazoezini
 
Mimi mwenye mshono mbichi na yeye mjamzito nani wa kumpisha mwenzake siti???? 😅😅 huu ni mfano tu
 
Mimba sio ugonjwa. Asimame afanye zoezi
 
Back
Top Bottom