Wajemeni natafuta shekhe anayejua kutoa majini

Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali
 
Ongeza sukari, kabla mtu hajapigwa
 
NimekuPM
 
Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.

Naombeni msaada ni waharaka
Mwamini bwana ndyo mwokozi wa maisha yako
 
Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali

Mjaribu rakims humu naona kama anawezasaidia!
Japo najua lazima ujifunge kibwebwe kwakwel kuyatoa haya majamaa!!
 
Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.

Naombeni msaada ni waharaka
Kuna ustadh yupo Dom. Anakufuata huko ulipo. Anaweza kukusomea hata kwenye simu tu ili mradi uwe na Airtime ya kutosha na earphones basi. Pesa yake ni around 200k mpaka 400k. Hajawahi kufeli. Narudia tena hajawahi kufeli. Bado hajawa mtu mzima kihivyo ana miaka 41.
 

Nadhani ndiyo bei zao
 
Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali
shida gani izo wazipatazo hao wanaume zako dada apo nimeelewa kitu kimoja umemaanisha kwa ujumla kwamba haudumu katika mahusiano kila unayekuwa nao anakuwa ma shida si ndio na je ni shida zipi izo?
 
shida gani izo wazipatazo hao wanaume zako dada apo nimeelewa kitu kimoja umemaanisha kwa ujumla kwamba haudumu katika mahusiano kila unayekuwa nao anakuwa ma shida si ndio na je ni shida zipi izo?
Kufa, ajali , kuumwa mtu akiwa na Mimi hali ndio hiyoo
 
Mungu ndio kila kitu!huko unatafuta kutapeliwa tu...commitment yako kwa Mungu ndio ufunguo wako ktk yanayokukabili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…