Wajemeni natafuta shekhe anayejua kutoa majini

Wajemeni natafuta shekhe anayejua kutoa majini

Ngoja nikupe story yangu kidogo!

Mimi tangu naanza kujitambua nilikua naota ndoto za kweli yaan ndoto ambayo kesho yake naiona!
Pia kuna wakati nilikua nikilala nahisi nyuma yangu kuna mtu kalala!
Kubwa kuliko kuna wakati nilikua naota nalala na babaangu mzazi yaan kama mahaba hivi picha haieleweki
Pia mi ni muislam nilikua nikianza kuswali tu nableed lakini pia nahisi kuna mtu nyuma yangu naogopa najikuta nafungua sala!
Nimeendelea na hiyo hali hadi ukubwan yaan sekondar
Hali ya kuota nalala na babaangu nadhani ilipungua ila nikawa naota nafanya mapenzi na watu wakat mwingine wasanii mfano kipindi kile my african queen ilivyotoka ilikua inavuma nikiota nafanya mapenz na yule kijana aliyeimba!

Niliolewa nikazaa baadae tukaachana na mume wangu siku moja nikapata mtu akanielekeza shekhe mmoja yupo dar

Nikaenda akanisomea sana dua hiyo siku na akaniambia niondoke yeye ataendelea na dua hata nikiwa sipo
Baada ya wiki kadhaa au mwezi siku hiyo nimelala najichezea tu kuna hali fulan niliisikia hapa utosini kwakwel siwez kuelezea niliona kama kuna kitu kizito kimetoka na kimeacha shimo! Sikujua ni nini mi nakadhan tu ni haya madude

Lakini tangu siku hiyo sijawahi kuota tena nafanya mapenzi
Ila jana usiku niliota nafanya mapenz na simba lakini sijui pia aligeuka kuwa mtu yaan ndoto hata haielewek lakini nilienjoy na ukwel nilikua na ny** sana kwasabu nina mwezi sijafanya!

Ila sasa yule shekhe yusuph wa dar ana bei balaa kuanzia laki tano kwenda juu mie ndiyo nilimshindiwa hapo!
Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali
 
Ngoja nikupe story yangu kidogo!

Mimi tangu naanza kujitambua nilikua naota ndoto za kweli yaan ndoto ambayo kesho yake naiona!
Pia kuna wakati nilikua nikilala nahisi nyuma yangu kuna mtu kalala!
Kubwa kuliko kuna wakati nilikua naota nalala na babaangu mzazi yaan kama mahaba hivi picha haieleweki
Pia mi ni muislam nilikua nikianza kuswali tu nableed lakini pia nahisi kuna mtu nyuma yangu naogopa najikuta nafungua sala!
Nimeendelea na hiyo hali hadi ukubwan yaan sekondar
Hali ya kuota nalala na babaangu nadhani ilipungua ila nikawa naota nafanya mapenzi na watu wakat mwingine wasanii mfano kipindi kile my african queen ilivyotoka ilikua inavuma nikiota nafanya mapenz na yule kijana aliyeimba!

Niliolewa nikazaa baadae tukaachana na mume wangu siku moja nikapata mtu akanielekeza shekhe mmoja yupo dar

Nikaenda akanisomea sana dua hiyo siku na akaniambia niondoke yeye ataendelea na dua hata nikiwa sipo
Baada ya wiki kadhaa au mwezi siku hiyo nimelala najichezea tu kuna hali fulan niliisikia hapa utosini kwakwel siwez kuelezea niliona kama kuna kitu kizito kimetoka na kimeacha shimo! Sikujua ni nini mi nakadhan tu ni haya madude

Lakini tangu siku hiyo sijawahi kuota tena nafanya mapenzi
Ila jana usiku niliota nafanya mapenz na simba lakini sijui pia aligeuka kuwa mtu yaan ndoto hata haielewek lakini nilienjoy na ukwel nilikua na ny** sana kwasabu nina mwezi sijafanya!

Ila sasa yule shekhe yusuph wa dar ana bei balaa kuanzia laki tano kwenda juu mie ndiyo nilimshindiwa hapo!
Ongeza sukari, kabla mtu hajapigwa
 
Ngoja nikupe story yangu kidogo!

Mimi tangu naanza kujitambua nilikua naota ndoto za kweli yaan ndoto ambayo kesho yake naiona!
Pia kuna wakati nilikua nikilala nahisi nyuma yangu kuna mtu kalala!
Kubwa kuliko kuna wakati nilikua naota nalala na babaangu mzazi yaan kama mahaba hivi picha haieleweki
Pia mi ni muislam nilikua nikianza kuswali tu nableed lakini pia nahisi kuna mtu nyuma yangu naogopa najikuta nafungua sala!
Nimeendelea na hiyo hali hadi ukubwan yaan sekondar
Hali ya kuota nalala na babaangu nadhani ilipungua ila nikawa naota nafanya mapenzi na watu wakat mwingine wasanii mfano kipindi kile my african queen ilivyotoka ilikua inavuma nikiota nafanya mapenz na yule kijana aliyeimba!

Niliolewa nikazaa baadae tukaachana na mume wangu siku moja nikapata mtu akanielekeza shekhe mmoja yupo dar

Nikaenda akanisomea sana dua hiyo siku na akaniambia niondoke yeye ataendelea na dua hata nikiwa sipo
Baada ya wiki kadhaa au mwezi siku hiyo nimelala najichezea tu kuna hali fulan niliisikia hapa utosini kwakwel siwez kuelezea niliona kama kuna kitu kizito kimetoka na kimeacha shimo! Sikujua ni nini mi nakadhan tu ni haya madude

Lakini tangu siku hiyo sijawahi kuota tena nafanya mapenzi
Ila jana usiku niliota nafanya mapenz na simba lakini sijui pia aligeuka kuwa mtu yaan ndoto hata haielewek lakini nilienjoy na ukwel nilikua na ny** sana kwasabu nina mwezi sijafanya!

Ila sasa yule shekhe yusuph wa dar ana bei balaa kuanzia laki tano kwenda juu mie ndiyo nilimshindiwa hapo!
NimekuPM
 
Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali

Mjaribu rakims humu naona kama anawezasaidia!
Japo najua lazima ujifunge kibwebwe kwakwel kuyatoa haya majamaa!!
 
Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.

Naombeni msaada ni waharaka
Kuna ustadh yupo Dom. Anakufuata huko ulipo. Anaweza kukusomea hata kwenye simu tu ili mradi uwe na Airtime ya kutosha na earphones basi. Pesa yake ni around 200k mpaka 400k. Hajawahi kufeli. Narudia tena hajawahi kufeli. Bado hajawa mtu mzima kihivyo ana miaka 41.
 
Kuna ustadh yupo Dom. Anakufuata huko ulipo. Anaweza kukusomea hata kwenye simu tu ili mradi uwe na Airtime ya kutosha na earphones basi. Pesa yake ni around 200k mpaka 400k. Hajawahi kufeli. Narudia tena hajawahi kufeli. Bado hajawa mtu mzima kihivyo ana miaka 41.

Nadhani ndiyo bei zao
 
Mie ni kaka yangu naota hivyoo , napia yote uyasemayo ndio ninapata na wanaume zangu wanapata shida mbali mbali
shida gani izo wazipatazo hao wanaume zako dada apo nimeelewa kitu kimoja umemaanisha kwa ujumla kwamba haudumu katika mahusiano kila unayekuwa nao anakuwa ma shida si ndio na je ni shida zipi izo?
 
shida gani izo wazipatazo hao wanaume zako dada apo nimeelewa kitu kimoja umemaanisha kwa ujumla kwamba haudumu katika mahusiano kila unayekuwa nao anakuwa ma shida si ndio na je ni shida zipi izo?
Kufa, ajali , kuumwa mtu akiwa na Mimi hali ndio hiyoo
 
Mungu ndio kila kitu!huko unatafuta kutapeliwa tu...commitment yako kwa Mungu ndio ufunguo wako ktk yanayokukabili
 
Back
Top Bottom