Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Some people are capable of taking them.
Without help of magic philosophers.
shida ni kwamba huwezi toa hapo chochote aidha ukikaribia ni lazima utakufa tu sababu uhifadhi wake huwa unafanywa kimazingara hasa hasa damu kidogo ya mhifadhi hutumika kwa maagano ya kwamba atakayejaribu kuchukua chochote hapa ndiye mtakunywa damu yake just imagine
 
shida ni kwamba huwezi toa hapo chochote aidha ukikaribia ni lazima utakufa tu sababu uhifadhi wake huwa unafanywa kimazingara hasa hasa damu kidogo ya mhifadhi hutumika kwa maagano ya kwamba atakayejaribu kuchukua chochote hapa ndiye mtakunywa damu yake just imagine
Movie mkuu hiyo Kuna watu Ni billionaire na millionaire wakutosha hawakaenda kwa waganga na Mali walitoa
 
JAMANI TULIENI KIDOGO MNISIKIE:
Japo natumia maandishi ila najua mnanisikia. Unapokuwa mtu mzima inamaanisha unakuwa na uwezo wa kuhandle situation yoyote na kufikia mwisho wenye manufaa kwako. Unapopata habari handle situation halafu utafute possibility kama ipo.
Hazina ya mjerumani kubaki nchini ilinifikisha hapa;
1.Story kuhusu meli ya MV LIEMBA kuzama katika ziwa Tanganyika. Mjerumani alikuwa anachukua Mali kutoka DRC kuja TZ kwakutumia meli ile na inasadikika meli ile ilizamishwa na hii iliyopo leo ni tela lake tu,na wajerumani walishaomba kuja kuichukua kwa ofa ya meli mbili mpya. POINT TO VIEW: je wajerumani walikuja kuchukua mali afrika na kuzipeleka kwao au kuzitawanya Tanganyika? Je kama hii MV LIEMBA iliyopo ilikuwa ni tela la ile iliyozamishwa ni kweli teknolojia ya usafiri wa majini ina mambo ya kuvutana kama barabarani mfano wa lori na tela lake?
2.Story ya kuacha mali zake kwa kukimbia vita. POINT TO VIEW. Tunajua mjerumani alipigana kumuondoa mwarabu Tanganyika,Je historia inasemaje kuhusu namna alivyoondoka mjerumani nchini Tanganyika? Je, Hakuondoka kwa baraza tu? Wataalamu wa historia mtuelezee kidogo hapa.
3. Mjerumani kupigwa na mrusi na kushindwa kuitawala dunia.POINT TO VIEW. Je, hizi sifa na uwezo mkubwa wa nanma hii juu kuficha malizake alipewa tu kutoka kusikojulikana ama ilikuwakuwaje maana ukisikiliza utagundua ni uchawi mkubwa sana sio wa kushindwa kupigana vita.
Hapo ndipo nilipofika mimi na kuhitimisha kuwa kitu kisicho na uthibitisho ni imani tu. Sijui upande wenu.




MAGUFULI4LIFE.
Mali ya Mjerumani haihusiani na uchawe .
 
Jerumani machine afiche/aache mali nyuma !? Stori za kizee/kichawi
 
MV5BMTgxMzc1MjA2OF5BMl5BanBnXkFtZTYwMDMzMTI3._V1_.jpg
Michael Douglas- Romancing the stone. Hii movie inaonyesha mbinu za kufikia kile kilichofichwa. Sharti uwe na ramani na uweze kutegua "hidden codes"
 
Hizi zinaitwa "fool's gold"
google ujue maana yake.
Hawa jamaa waliweka kwenye vita vya pili ili mbritish akija kwenye makoloni yake awe bize kusaka hizo mali wakati wao wajerumani wako bize kumpiga mbritish
 
LAKINI KAMA PAHALA PANA MALI AND YOU PROVE THATS INBOX ME NINAZO TARATIBU MAALUMU ZA KU SENSE KWANZA ILI ISITUMIKE NGUVU NYINGI KWA PAHALA PENGINE PASIPO NA CHOCHOTE
 
Back
Top Bottom