Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Salamu wakuu,Barjun,Crocodiletooth,na Jesuit Master,kuna vitu napenda kujifunza kwenu, 1.iwapo hakuna uchawi hauhusiki kwenye Mali za wajermani;ni kwanini watu wengi wakiwemo waganga wa kienyeji; na hata watu waendao bila uganga/Madawa kuchimba maficho,wanakutana na vitu vigumu, vya kutisha kama nyoka na wengine wanakufa? 2.kwanini wakija wayahudi,Jerumans,wao wanafanikiwa ingawa wanaagiza,kwa wale waliogundua ficho (watanzania)kutoa fedha za kununua vifaa Fulani kwa madai vya kufanyia ibada na ni lazima wanunue watz tu wao mwenyew hawatoi fedha kununua vifaa hivyo,wakidai ni mwiko hii ina mana gani? 3.Je ni kwa namna gani dini zimezungumzia Mali hizi? 4.mtu anayelipwa kwa kuuza Mali hizi na kupata utajiri mkubwa, je haingii kweny maagano ya kutoa kafara?
 
Mkuu naomba ushare code chache tuu unazozifahamu nataka kujifunza hizi kuconfirm jambo
Nipo sehemu ambayo nawapokea wajerumani , ajabu wakija wanataka uwapeleke sehemu ambzo wajerumani walitawala
Sasa hata kama utalii nahisi wanajambo lao[emoji4][emoji4]
Mfuate huyo huyo, kuna mjerumani mmoja alikujaga bongo ilikuwa 2015 akashuka na treni... Nilipo mcheki vizuri kwenye maonganishio ya supu na goti lake la kushoto palikuwa na ramani fulani.!
 
Halafu suala la kuomba picha hapana, hizi kamera za smart hasa matoleo haya mapya,zinatoa taarifa nyingi mno,tusije tukaingizana mkenge...ila ukitaka,tunakupeleka.
Hizo taarifa, una ruhusu mwenyewe ziwepo na unaweza kuziondoa pia... Kinachotakufanyika hapa ni uhakika wa kitu chenyewe, nauli si tatizo kwa Jesuit Master.
 
Wanatumia gharama zipi/gani?.BTW: INAMAANA wajerumani walikuwa wengi hapa nchini kuliko sisi? Maana naona confessions zatoka mikoa na wilaya zoooote
Unajua watu wakija kimkakati, hata kama ni wachache watafanya mambo yao kimkakati. Hahahahaha
 
Halafu suala la kuomba picha hapana, hizi kamera za smart hasa matoleo haya mapya,zinatoa taarifa nyingi mno,tusije tukaingizana mkenge...ila ukitaka,tunakupeleka.
Nipeleke nikatembelee ili tushauriane
 
je unawajua jesuit ?

Salamu wakuu,Barjun,Crocodiletooth,na Jesuit Master,kuna vitu napenda kujifunza kwenu, 1.iwapo hakuna uchawi hauhusiki kwenye Mali za wajermani;ni kwanini watu wengi wakiwemo waganga wa kienyeji; na hata watu waendao bila uganga/Madawa kuchimba maficho,wanakutana na vitu vigumu, vya kutisha kama nyoka na wengine wanakufa? 2.kwanini wakija wayahudi,Jerumans,wao wanafanikiwa ingawa wanaagiza,kwa wale waliogundua ficho (watanzania)kutoa fedha za kununua vifaa Fulani kwa madai vya kufanyia ibada na ni lazima wanunue watz tu wao mwenyew hawatoi fedha kununua vifaa hivyo,wakidai ni mwiko hii ina mana gani? 3.Je ni kwa namna gani dini zimezungumzia Mali hizi? 4.mtu anayelipwa kwa kuuza Mali hizi na kupata utajiri mkubwa, je haingii kweny maagano ya kutoa kafara?
Habari Mkuu

Kwanza Kabla hujaanza kujihusisha na maswala ya Mali za kale za Mjerumani jitahidi ujue ni nini unakitafuta na inahitaji nini na Kina taka uweje ukiwa unakiendea. Hakuna Mganga wa kienyeji chini ya Jua aweze kwenda pale na Maruhani yake na Kufanikiwa kukipata na hata kama utamkuta anacho basi ni cha kurithi tu. Unapoongelea swala la Kufa kwanza Lazima ujue kuwa Kuingia kwenye site zile huwa ni watu 2 tu, ila 4 kama mkilazimisha na hapa naongelea kwa site Kubwa lakini namba ikizidi hapo basi kwa kuwa ulinzi wa eneo huwa hasira Basi itapunguza namba kwa kuuwa .

Kuna Vigezo vya k uweza Kufika Site.

1.-Uwe msafi Kimwili na Kiroho,Usiwe umewahi Kujihusisha na Ufiraji ,Usiwe umekula vyakula Vyenye asili ya Damu au Mboga zenye asili ya Kutereza kama Mlenda na ndiyo maana mara Nyingi Huwa inashauriwa kuwa uwe /Muwe kwenye Mfungo mnapokuwa mnataka kuelekea huko,pia Usiwe umeshiriki tendo la ndoa kwa Kipindi cha siku hata 2 kabla ya safari ya kwenda site,Usiwe umewahi kumwaga Damu hata kama ulimshauri Mwanamke kutoa Mimba basi ulimwaga Damu,Usiwe na wazo la choyo kwamba nikapata basi Fulani atanikoma Bali unatakiwa kuwa kwenye Maombi zaidi.na Hakikisha kama unafamilia Basi Nyumbani hukuwaacha na Njaa bali wapo safi na wewe ndiyo safari ianze na Usiwe umeondoka Nyumbani Mkiwa na Mizozo juu ya Safari yenu.

Note ;nimekujibu hilo la watu Kufa na nimekupa Vigezo sasa Mnaweza Danganyana Nyumbani kuwa kila Mtu Yupo sawa lakini Pale ndiyo Pa kuumbuka kama umefanya Miongoni mwa hayo Niliyosema Hutakiwi Basi siyo Rahisi Kuchomoka Ndani ya Site na kama utatoka Basi kunajambo Gumu na utakuwa Mfano kwa wengine.

2.Hapo kwenye Swala la Kununua Vitu kwa ajili ya Ibada huwa mara Nyingi ni Mwanzo wa Utapeli japo Huwa kunakuwa na Vichache ambavyo si vya Gharama kubwa kwa ajili ya Kazi ila kama umetumia Kampuni ambayo Wana tumia CAESAR MACHINE Basi ile huwa inakuwa na Gharama ya Malipo na Huwa si zaidi ya USD 5,000/= na huwa wanafanya hivi ikitokea wamedanganya Basi hiyo Cost Mnashare ya kuwapotezea Muda.

3.Kuhusu swala la dini kuongelea hizi mali Kama unatumia Biblia Basi Soma ISAYA 45 ;2-5 Kumbuka nilikugusia kuwa ni Mali za Kiroho sana hizi.

Pia Soma Luka 20:24-25,Mathayo 22;20-21 na Marko 12;16-17 watu waliuliza swali lakini Yesu alijibu Kwa hekima kubwa na Kaisari aliye mmaanisha yeye ni siyo Kama wadhaniavyo wengi Kuwa ni Mabosi wao au Maraisi au Viongozi wa Kileo Bali Ni Yule CAESAR aliyepewa Mali ya Dunia hii ambaye Yesu alilijibu Hapo na Hakusema Shetani Kama wadhanivyowengi.

4.Huwezi Kuingia kwenye Agano la Kafara na Unaingiaje Huko wakati unapeleka item yako na unalipwa Sadaka yako na ile huwa siyo Biashara bali ni Sadaka na Ndiyo Maana wanasema Wafalme ndiyo wanamiliki Vyombo Vile na Ukumbuke kwa Yesu Kujua hilo ndipo alisema Mimi ni Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana wote.



Kuingia Kwenye Kafara ya Damu ni pale ambapo mtafanya Mchezo wa kubatua chombo kile ili kilete Hela kwenye Tranker na hapa ndiyo kunakuwa na Hatari ya watu Kufa hovyo.
 
Habari Mkuu

Kwanza Kabla hujaanza kujihusisha na maswala ya Mali za kale za Mjerumani jitahidi ujue ni nini unakitafuta na inahitaji nini na Kina taka uweje ukiwa unakiendea. Hakuna Mganga wa kienyeji chini ya Jua aweze kwenda pale na Maruhani yake na Kufanikiwa kukipata na hata kama utamkuta anacho basi ni cha kurithi tu. Unapoongelea swala la Kufa kwanza Lazima ujue kuwa Kuingia kwenye site zile huwa ni watu 2 tu, ila 4 kama mkilazimisha na hapa naongelea kwa site Kubwa lakini namba ikizidi hapo basi kwa kuwa ulinzi wa eneo huwa hasira Basi itapunguza namba kwa kuuwa .

Kuna Vigezo vya k uweza Kufika Site.

1.-Uwe msafi Kimwili na Kiroho,Usiwe umewahi Kujihusisha na Ufiraji ,Usiwe umekula vyakula Vyenye asili ya Damu au Mboga zenye asili ya Kutereza kama Mlenda na ndiyo maana mara Nyingi Huwa inashauriwa kuwa uwe /Muwe kwenye Mfungo mnapokuwa mnataka kuelekea huko,pia Usiwe umeshiriki tendo la ndoa kwa Kipindi cha siku hata 2 kabla ya safari ya kwenda site,Usiwe umewahi kumwaga Damu hata kama ulimshauri Mwanamke kutoa Mimba basi ulimwaga Damu,Usiwe na wazo la choyo kwamba nikapata basi Fulani atanikoma Bali unatakiwa kuwa kwenye Maombi zaidi.na Hakikisha kama unafamilia Basi Nyumbani hukuwaacha na Njaa bali wapo safi na wewe ndiyo safari ianze na Usiwe umeondoka Nyumbani Mkiwa na Mizozo juu ya Safari yenu.

Note ;nimekujibu hilo la watu Kufa na nimekupa Vigezo sasa Mnaweza Danganyana Nyumbani kuwa kila Mtu Yupo sawa lakini Pale ndiyo Pa kuumbuka kama umefanya Miongoni mwa hayo Niliyosema Hutakiwi Basi siyo Rahisi Kuchomoka Ndani ya Site na kama utatoka Basi kunajambo Gumu na utakuwa Mfano kwa wengine.

2.Hapo kwenye Swala la Kununua Vitu kwa ajili ya Ibada huwa mara Nyingi ni Mwanzo wa Utapeli japo Huwa kunakuwa na Vichache ambavyo si vya Gharama kubwa kwa ajili ya Kazi ila kama umetumia Kampuni ambayo Wana tumia CAESAR MACHINE Basi ile huwa inakuwa na Gharama ya Malipo na Huwa si zaidi ya USD 5,000/= na huwa wanafanya hivi ikitokea wamedanganya Basi hiyo Cost Mnashare ya kuwapotezea Muda.

3.Kuhusu swala la dini kuongelea hizi mali Kama unatumia Biblia Basi Soma ISAYA 45 ;2-5 Kumbuka nilikugusia kuwa ni Mali za Kiroho sana hizi.

Pia Soma Luka 20:24-25,Mathayo 22;20-21 na Marko 12;16-17 watu waliuliza swali lakini Yesu alijibu Kwa hekima kubwa na Kaisari aliye mmaanisha yeye ni siyo Kama wadhaniavyo wengi Kuwa ni Mabosi wao au Maraisi au Viongozi wa Kileo Bali Ni Yule CAESAR aliyepewa Mali ya Dunia hii ambaye Yesu alilijibu Hapo na Hakusema Shetani Kama wadhanivyowengi.

4.Huwezi Kuingia kwenye Agano la Kafara na Unaingiaje Huko wakati unapeleka item yako na unalipwa Sadaka yako na ile huwa siyo Biashara bali ni Sadaka na Ndiyo Maana wanasema Wafalme ndiyo wanamiliki Vyombo Vile na Ukumbuke kwa Yesu Kujua hilo ndipo alisema Mimi ni Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana wote.



Kuingia Kwenye Kafara ya Damu ni pale ambapo mtafanya Mchezo wa kubatua chombo kile ili kilete Hela kwenye Tranker na hapa ndiyo kunakuwa na Hatari ya watu Kufa hovyo.
Samahani pia nimekujibu kwa kifupi
kama utakuwa na swali nitajaribu kujibu kwa Ufahamu nilionao tu.
 
Naomba kujua,hii detector inaweza kuona hizo mali kale maficho
IMG_20201106_131200.jpeg
 
Ebay utaelewa ukweli wa mambo. Unakuja na dollar 900 kwa heller! Kudanganya watu.
Mbona ipo.Kuna Heller ya 1891,leo inauzwa zaidi ya $1,700!
ebay:




Move over photo to zoom

AF693, German East Africa, Wilhelm II, 1/2 Rupie 1891, Silver, NGC MS67, Top Pop​


|
See other items
| Visit store

Condition:
--

Sale ends in:
03d 13h 08m



Was:
US $1,999.00
What does this price mean?


You save:
$199.90 (10% off)

Price:
US $1,799.10
Buy It Now



Add to cart



Best Offer:

Make Offer




Seller :
pegasusauctions (6351 )
100% Positive feedback
Get fast shipping and excellent service from eBay Top-rated sellers.

Save this Seller
|
Contact seller
|
See other items
| Visit store

Condition:
--

Sale ends in:
03d 13h 12m
 
Mbona ipo.Kuna Heller ya 1891,leo inauzwa zaidi ya $1,700!
ebay:




Move over photo to zoom

AF693, German East Africa, Wilhelm II, 1/2 Rupie 1891, Silver, NGC MS67, Top Pop​


|
See other items
| Visit store

Condition:
--

Sale ends in:
03d 13h 08m



Was:
US $1,999.00
What does this price mean?


You save:
$199.90 (10% off)

Price:
US $1,799.10
Buy It Now



Add to cart



Best Offer:

Make Offer




Seller :
pegasusauctions (6351 )
100% Positive feedback
Get fast shipping and excellent service from eBay Top-rated sellers.

Save this Seller
|
Contact seller
|
See other items
| Visit store

Condition:
--

Sale ends in:
03d 13h 12m
Hiyo unayisemea haina thamani kubwa kwa kuwa siyo ya Shaba nyekundu
 
Back
Top Bottom