Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Some people are capable of taking them.
Without help of magic philosophers.
shida ni kwamba huwezi toa hapo chochote aidha ukikaribia ni lazima utakufa tu sababu uhifadhi wake huwa unafanywa kimazingara hasa hasa damu kidogo ya mhifadhi hutumika kwa maagano ya kwamba atakayejaribu kuchukua chochote hapa ndiye mtakunywa damu yake just imagine
 
Movie mkuu hiyo Kuna watu Ni billionaire na millionaire wakutosha hawakaenda kwa waganga na Mali walitoa
 
Mali ya Mjerumani haihusiani na uchawe .
 
Jerumani machine afiche/aache mali nyuma !? Stori za kizee/kichawi
 
Hizi zinaitwa "fool's gold"
google ujue maana yake.
Hawa jamaa waliweka kwenye vita vya pili ili mbritish akija kwenye makoloni yake awe bize kusaka hizo mali wakati wao wajerumani wako bize kumpiga mbritish
 
LAKINI KAMA PAHALA PANA MALI AND YOU PROVE THATS INBOX ME NINAZO TARATIBU MAALUMU ZA KU SENSE KWANZA ILI ISITUMIKE NGUVU NYINGI KWA PAHALA PENGINE PASIPO NA CHOCHOTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…