Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
shida ni kwamba huwezi toa hapo chochote aidha ukikaribia ni lazima utakufa tu sababu uhifadhi wake huwa unafanywa kimazingara hasa hasa damu kidogo ya mhifadhi hutumika kwa maagano ya kwamba atakayejaribu kuchukua chochote hapa ndiye mtakunywa damu yake just imagineSome people are capable of taking them.
Without help of magic philosophers.
Movie mkuu hiyo Kuna watu Ni billionaire na millionaire wakutosha hawakaenda kwa waganga na Mali walitoashida ni kwamba huwezi toa hapo chochote aidha ukikaribia ni lazima utakufa tu sababu uhifadhi wake huwa unafanywa kimazingara hasa hasa damu kidogo ya mhifadhi hutumika kwa maagano ya kwamba atakayejaribu kuchukua chochote hapa ndiye mtakunywa damu yake just imagine
Mali ya Mjerumani haihusiani na uchawe .JAMANI TULIENI KIDOGO MNISIKIE:
Japo natumia maandishi ila najua mnanisikia. Unapokuwa mtu mzima inamaanisha unakuwa na uwezo wa kuhandle situation yoyote na kufikia mwisho wenye manufaa kwako. Unapopata habari handle situation halafu utafute possibility kama ipo.
Hazina ya mjerumani kubaki nchini ilinifikisha hapa;
1.Story kuhusu meli ya MV LIEMBA kuzama katika ziwa Tanganyika. Mjerumani alikuwa anachukua Mali kutoka DRC kuja TZ kwakutumia meli ile na inasadikika meli ile ilizamishwa na hii iliyopo leo ni tela lake tu,na wajerumani walishaomba kuja kuichukua kwa ofa ya meli mbili mpya. POINT TO VIEW: je wajerumani walikuja kuchukua mali afrika na kuzipeleka kwao au kuzitawanya Tanganyika? Je kama hii MV LIEMBA iliyopo ilikuwa ni tela la ile iliyozamishwa ni kweli teknolojia ya usafiri wa majini ina mambo ya kuvutana kama barabarani mfano wa lori na tela lake?
2.Story ya kuacha mali zake kwa kukimbia vita. POINT TO VIEW. Tunajua mjerumani alipigana kumuondoa mwarabu Tanganyika,Je historia inasemaje kuhusu namna alivyoondoka mjerumani nchini Tanganyika? Je, Hakuondoka kwa baraza tu? Wataalamu wa historia mtuelezee kidogo hapa.
3. Mjerumani kupigwa na mrusi na kushindwa kuitawala dunia.POINT TO VIEW. Je, hizi sifa na uwezo mkubwa wa nanma hii juu kuficha malizake alipewa tu kutoka kusikojulikana ama ilikuwakuwaje maana ukisikiliza utagundua ni uchawi mkubwa sana sio wa kushindwa kupigana vita.
Hapo ndipo nilipofika mimi na kuhitimisha kuwa kitu kisicho na uthibitisho ni imani tu. Sijui upande wenu.
MAGUFULI4LIFE.
At least umepata mwanga sasaAmepigaje hela, tupe somo
Kabisa mkuuMali ya Mjerumani haihusiani na uchawe .
Tatizo wengi hawana elimu sahihi ya mambo haya ambayo hata kwenye dini yanatambulika.Kabisa mkuu
*uko sawa asillimia 100S
Tatizo wengi hawana elimu sahihi ya mambo haya ambayo hata kwenye dini yanatambulika.
Kabisa*uko sawa asillimia 100
1.wazungu walidanganya wamefanya uchawi.
2.mtu akihusisha uchawi ndo anapoanza kupotea
Ila ramani si lazimaView attachment 1599067
Michael Douglas- Romancing the stone. Hii movie inaonyesha mbinu za kufikia kile kilichofichwa. Sharti uwe na ramani na uweze kutegua "hidden codes"
National treasureView attachment 1599067
Michael Douglas- Romancing the stone. Hii movie inaonyesha mbinu za kufikia kile kilichofichwa. Sharti uwe na ramani na uweze kutegua "hidden codes"
Hata spelling zako zinaonyesha ulivyoJerumani machine afiche/aache mali nyuma !? Stori za kizee/kichawi
HiziView attachment 1599067
Michael Douglas- Romancing the stone. Hii movie inaonyesha mbinu za kufikia kile kilichofichwa. Sharti uwe na ramani na uweze kutegua "hidden codes"
Hata spelling zako zinaonyesha ulivyo........duh! Pole sana ndg! Maana hii hbr ilikuwa maarufu sana 80s pamoja na ile ya nyonya damu
Hata spelling zako zinaonyesha ulivyo
Hivi ni Vitu Viwili tofauti Mkuu
je unawajua jesuit ?Movie mkuu hiyo Kuna watu Ni billionaire na millionaire wakutosha hawakaenda kwa waganga na Mali walitoa
i swear huwezi toa kitu chochote ktk mashimo yao TRUST MEKabisa