Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Nashindwa kukuelewa. Hapa unasema niache udanganyifu halafu hapo hapo unasema anayetaka kufanya biashara za coin aende ebay. Which is which.
Biashara hiyo haifanyiki ebay pekee ni sehemu kibao zinafanyika. Labda sema kuwa helewi.
kaka muelewe dada FaizaFoxy anamaanisha hiyo biashara ipo ila haina utajiri kiivyo iko sawa na kuuza mahindi tu tena mahindi yanauhakika ,kuna wtu wanaitwa collectors hawa ni fahari yao kukusanya vitu adimu vya kale mfano leo ukipata kinyago walichokuwa wanakiabudu kabila fulani wata kupa hata milion mia kulingana na archeologist watavyoweza kuestablish history inayolink nayo ,so msijisumbue mapolini bure hapa nchini tuna hazina kibao za uhakika kwa nini utafute mivitu iliyojificha .

Sijawahi ona mtu katajirika kwa mali za kijerumani hebu nipe mfano ?
 
Mwanangu Venus Star umewahi kuhudhuria shughuli hata moja ya utafutaji wa hii kitu kaka? mimi nimewahi mkuu. Bagamoyo kuna sehemu moja inaitwa kimange tumeenda hapo kaka. Mimi nilifika siku ya tatu baada ya shughuli kuanza, ilikuwa ni kazi ya siku 5 kufukua ardhini walikuwepo pia wazee 2 wa Kijiji. Mambo yaliotokea hapo sitokaa nisahau kaka.

Ipo siku nitaweka uzi hapa. Lakini kwa ufupi nilijifunza mengi.
 
Mkuu Venus Star hio kitu habari yake ni kubwa sana. Niliwahi kushiriki katika moja ya mapango ambayo inasemekana kuna mali za wajeru, Rafiki yangu mmoja alinialika kwenda walau siku moja kuona nini wanafanya. Ilikuwa ni kazi ya siku 5 iliowashirikisha wachungaji na masheikh….. muziki wake si wamchezo mkuu, hasara kubwa na mali haikupatiana. Acha kabisa baba
Huwa mnajidanganya tuu.. HV ccm walivyokuwa na tamaa ya pesa za bure unafikiri wangeziacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu siumtaje tuu Rizione kikwete kuna mzee hapa kijijini kwetu aliniambia Riziwani katengeneza hela sana
Huyu mzee tangu mwaka 1966 alipo hitimu middle school hadi sasa anachimba miamba nabado hajapata kitu nasasa nguvu zimemuisha
 
Yaani hapa dada yangu ndhani upo nje ya mada. Sasa nani kaleta utapeli hapa? Utapeli upi? Je, umefanya utafiti wowote?
Wajerumani walificha mali nyingi sana kwenye ardhi. Walichimbia masanduku ya mali walizozivuna wakati huo kwenye milima wakati wa vita vya kwanza vya dunia.

Sasa unaongelea utapeli!!! Utapeli upi? Halafu mbona unahasira sana? Hutaki watu wengine wajue?
Wakishajua what next[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ni hatariii.....Ngoja nikupe kisa changu kilichonipata katika hizo pilika.

Kwanza nilivutiwa na jamaa fulani hivi tukiwa Mbeya huko wilaya XYZ,jamaa walifankkiwa kuopoa sanduku la dhahabu kwa Style hyhy ya kusaka Mali za wajerumani. Walikula bata sana na hadi muda huu ni malordilofa,yaani pesa bado wanayo.

Basi bhana,nikasafiri hadi wilaya kwa wajomba zangu baada ya kujifunza Code chache ambazo wajelumani walitumia kama alama na nikagundua hivi vitu nilivionaga kwa wajomba zangu nikiwa nachunga ng'ombe milimani.

Nilipofika kwa babu,nikanyoosha msituni kwenda kuhakiki kama zile alama kwenye miti,mawe na michoro kama ipo, bahati nzuri bhana nikavikuta kama vilivyo,wala havijaharibiwa sana na waharibifu wa mazingira. Nikashauriana na vijana wa pale tukaanza utaratbu wa kuchimba.

Huku tukiendelea kukutana na code na ninazisoma vizuri na kusonga mbele,baada ya siku 6 hatimaye tukalifikia sanduku bhana....!! Tulichokiona humo......mmamaye ,nikikumbuka huwa hata sijielewagi,maana ni hatari.

Tulikutana na marehemu mzungu humo.....ashamong'onyoka kawa unga tu,sijui walimtia nini hakuoza,kawa vumbi tu na mifupa, hilo vumbi likaingia vifuani, tulikohoa karibia ya kunya......!!!!

Aisee.....tulirudi nyumbani tukatengeezwa kienyehi ndio mambo yakawa sawa, lakini kuna mzee akasema mgetoa lile sanduku ndio mgekutana na mzigo wenyewe....!! Alinistua mbaya,lakini cha ajabu,nasema tena chaa ajabu niliporudi kule porini ile sehemu sijaikuta na wala sikuiona tena hadi leo, nilienda takribani mara 6 kwa siku tofauti lakini mpaka leo sipajui eti.....!!

Kuna sehemu tena nipo ugenini,nilikwenda kucheki shamba la kununua nimekutana na code tena za ajabu aisee.....!!! Sasa sijajua nini wameficha...!!

Kwanza nilikuta Mti mkubwa una mzizi upo nje,mzizi huo umetobolewa,nikaufuatilia kidogo nikakuta tobo la pili, nikaendelea kufukua nikakuta nikakuta tena mzizi umekunjwa kuelekea direction ya kusini,nikaendelea kuufuata, mbele ya huo mzizi kulikuwa na jiwe kubwa sana kama tani 30 hivi, nilipolizoom vizuri kabisa na kulichunguza,nikagundua kuwa huyo ni picha iliyojchongwa picha ya bundi...!!!! Nikafukuafukua kuzungua hilo hiwe nikakuta ramani aisee.....!!! Bahati mbaya sijui kijerumani .

Mzee nikaazimia kazi, tukaenda kwa mchawi wetu akasema kuna mzigo wa kufa jamaa....vizuri vyote ruby,gold na sapphire akasema zipo. Akatupa masharti tukaingia mzigoni...!!

Baba tumefungua ardhi huku tukifuata masharti makamanda tulikuwa 6, tuliikosea ramani kidogo tukajikuta kuna mwamba una ninginia juu yetu.

Tulichokifikia ni kwanza kuna vigae vya mawe vimefunika kitu tusichokijua hapo chini, pili kuna ukuta umejengwa kwa mawe ya kupondekezwa hapo chini shimoni...!!

Tuliogopa kupondwa na tulikuwa tumechoka sana,maana kazi ilikuwa ya ngumu na ilituchukua miezi 3,tukasema labda tusake katapila.


Sasa tumeliacha tu na tumeamua tulime tu kwanza lakini tukiwa na matumaini kwamba ipo siku.
Sasa najiuliza,au tutakuta marehemu mzungu tena au la ....nakaribisha wadau,kama unaweza kuleta Scaveta njoo tujaribu bahati.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du pole sana mkuu.
Mkuu, ni hatariii.....Ngoja nikupe kisa changu kilichonipata katika hizo pilika.

Kwanza nilivutiwa na jamaa fulani hivi tukiwa Mbeya huko wilaya XYZ,jamaa walifankkiwa kuopoa sanduku la dhahabu kwa Style hyhy ya kusaka Mali za wajerumani. Walikula bata sana na hadi muda huu ni malordilofa,yaani pesa bado wanayo.

Basi bhana,nikasafiri hadi wilaya kwa wajomba zangu baada ya kujifunza Code chache ambazo wajelumani walitumia kama alama na nikagundua hivi vitu nilivionaga kwa wajomba zangu nikiwa nachunga ng'ombe milimani.

Nilipofika kwa babu,nikanyoosha msituni kwenda kuhakiki kama zile alama kwenye miti,mawe na michoro kama ipo, bahati nzuri bhana nikavikuta kama vilivyo,wala havijaharibiwa sana na waharibifu wa mazingira. Nikashauriana na vijana wa pale tukaanza utaratbu wa kuchimba.

Huku tukiendelea kukutana na code na ninazisoma vizuri na kusonga mbele,baada ya siku 6 hatimaye tukalifikia sanduku bhana....!! Tulichokiona humo......mmamaye ,nikikumbuka huwa hata sijielewagi,maana ni hatari.

Tulikutana na marehemu mzungu humo.....ashamong'onyoka kawa unga tu,sijui walimtia nini hakuoza,kawa vumbi tu na mifupa, hilo vumbi likaingia vifuani, tulikohoa karibia ya kunya......!!!!

Aisee.....tulirudi nyumbani tukatengeezwa kienyehi ndio mambo yakawa sawa, lakini kuna mzee akasema mgetoa lile sanduku ndio mgekutana na mzigo wenyewe....!! Alinistua mbaya,lakini cha ajabu,nasema tena chaa ajabu niliporudi kule porini ile sehemu sijaikuta na wala sikuiona tena hadi leo, nilienda takribani mara 6 kwa siku tofauti lakini mpaka leo sipajui eti.....!!

Kuna sehemu tena nipo ugenini,nilikwenda kucheki shamba la kununua nimekutana na code tena za ajabu aisee.....!!! Sasa sijajua nini wameficha...!!

Kwanza nilikuta Mti mkubwa una mzizi upo nje,mzizi huo umetobolewa,nikaufuatilia kidogo nikakuta tobo la pili, nikaendelea kufukua nikakuta nikakuta tena mzizi umekunjwa kuelekea direction ya kusini,nikaendelea kuufuata, mbele ya huo mzizi kulikuwa na jiwe kubwa sana kama tani 30 hivi, nilipolizoom vizuri kabisa na kulichunguza,nikagundua kuwa huyo ni picha iliyojchongwa picha ya bundi...!!!! Nikafukuafukua kuzungua hilo hiwe nikakuta ramani aisee.....!!! Bahati mbaya sijui kijerumani .

Mzee nikaazimia kazi, tukaenda kwa mchawi wetu akasema kuna mzigo wa kufa jamaa....vizuri vyote ruby,gold na sapphire akasema zipo. Akatupa masharti tukaingia mzigoni...!!

Baba tumefungua ardhi huku tukifuata masharti makamanda tulikuwa 6, tuliikosea ramani kidogo tukajikuta kuna mwamba una ninginia juu yetu.

Tulichokifikia ni kwanza kuna vigae vya mawe vimefunika kitu tusichokijua hapo chini, pili kuna ukuta umejengwa kwa mawe ya kupondekezwa hapo chini shimoni...!!

Tuliogopa kupondwa na tulikuwa tumechoka sana,maana kazi ilikuwa ya ngumu na ilituchukua miezi 3,tukasema labda tusake katapila.


Sasa tumeliacha tu na tumeamua tulime tu kwanza lakini tukiwa na matumaini kwamba ipo siku.
Sasa najiuliza,au tutakuta marehemu mzungu tena au la ....nakaribisha wadau,kama unaweza kuleta Scaveta njoo tujaribu bahati.





Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo nadhani yapo sana.Pale kijijini kwetukulikuwa kuna sehem juu ya mlima wameweka alama nguzo ya zege fupi tu.Rumors ikawa kuwa hapo chini kuna utajiri wa kumwaga.

Kuna mwaka flani vijana walijitosa kuchimba maana sehemu yenyewe ilikuwa imezungukwa na mashamaba ya wanakijiji.walichimba kwa mda wa siku saba wanakutana na mishale ina point mara kulia mara kushoto.Baada ya siku saba wazee wa kijiji wakakataza na vijana wakaitwa kwenye mkutano wa kijiji na kuwekwa mtu kati.Basi wakaishia hapo.
Baada ya miaka mingi kupita 2017 kaja mzungu pale kijijini aisee na kaomba eneo la kukaa kijiji kikampatia na aliahidi kujenga zahanati huku pia alikuwa analea watoto wasio na wazazi wote pale kijijini.

Siku ya siku kaibuka night kali eneo lile like aisee kachimba na kubeba sanduku lake akiwa na vijana wa kijijin huku ana bastola so vijana hata hawakuona nini kilikuwepo ndani ya box.wanasema box lenyewe lilikuwa juu juu tu.

Wazungu ni kweli mali waliziacha sema nadhan wana formular zao namna ya kuzitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du pole sana mkuu.Haya mambo nadhani yapo sana.Pale kijijini kwetukulikuwa kuna sehem juu ya mlima wameweka alama nguzo ya zege fupi tu.Rumors ikawa kuwa hapo chini kuna utajiri wa kumwaga.
Kuna mwaka flani vijana walijitosa kuchimba maana sehemu yenyewe ilikuwa imezungukwa na mashamaba ya wanakijiji.walichimba kwa mda wa siku saba wanakutana na mishale ina point mara kulia mara kushoto.Baada ya siku saba wazee wa kijiji wakakataza na vijana wakaitwa kwenye mkutano wa kijiji na kuwekwa mtu kati.Basi wakaishia hapo.
Baada ya miaka mingi kupita 2017 kaja mzungu pale kijijini aisee na kaomba eneo la kukaa kijiji kikampatia na aliahidi kujenga zahanati huku pia alikuwa analea watoto wasio na wazazi wote pale kijijini.
Siku ya siku kaibuka night kali eneo lile like aisee kachimba na kubeba sanduku lake akiwa na vijana wa kijijin huku ana bastola so vijana hata hawakuona nini kilikuwepo ndani ya box.wanasema box lenyewe lilikuwa juu juu tu.
Wazungu ni kweli mali waliziacha sema nadhan wana formular zao namna ya kuzitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ni hatariii.....Ngoja nikupe kisa changu kilichonipata katika hizo pilika.

Kwanza nilivutiwa na jamaa fulani hivi tukiwa Mbeya huko wilaya XYZ,jamaa walifankkiwa kuopoa sanduku la dhahabu kwa Style hyhy ya kusaka Mali za wajerumani. Walikula bata sana na hadi muda huu ni malordilofa,yaani pesa bado wanayo.

Basi bhana,nikasafiri hadi wilaya kwa wajomba zangu baada ya kujifunza Code chache ambazo wajelumani walitumia kama alama na nikagundua hivi vitu nilivionaga kwa wajomba zangu nikiwa nachunga ng'ombe milimani.

Nilipofika kwa babu,nikanyoosha msituni kwenda kuhakiki kama zile alama kwenye miti,mawe na michoro kama ipo, bahati nzuri bhana nikavikuta kama vilivyo,wala havijaharibiwa sana na waharibifu wa mazingira. Nikashauriana na vijana wa pale tukaanza utaratbu wa kuchimba.

Huku tukiendelea kukutana na code na ninazisoma vizuri na kusonga mbele,baada ya siku 6 hatimaye tukalifikia sanduku bhana....!! Tulichokiona humo......mmamaye ,nikikumbuka huwa hata sijielewagi,maana ni hatari.

Tulikutana na marehemu mzungu humo.....ashamong'onyoka kawa unga tu,sijui walimtia nini hakuoza,kawa vumbi tu na mifupa, hilo vumbi likaingia vifuani, tulikohoa karibia ya kunya......!!!!

Aisee.....tulirudi nyumbani tukatengeezwa kienyehi ndio mambo yakawa sawa, lakini kuna mzee akasema mgetoa lile sanduku ndio mgekutana na mzigo wenyewe....!! Alinistua mbaya,lakini cha ajabu,nasema tena chaa ajabu niliporudi kule porini ile sehemu sijaikuta na wala sikuiona tena hadi leo, nilienda takribani mara 6 kwa siku tofauti lakini mpaka leo sipajui eti.....!!

Kuna sehemu tena nipo ugenini,nilikwenda kucheki shamba la kununua nimekutana na code tena za ajabu aisee.....!!! Sasa sijajua nini wameficha...!!

Kwanza nilikuta Mti mkubwa una mzizi upo nje,mzizi huo umetobolewa,nikaufuatilia kidogo nikakuta tobo la pili, nikaendelea kufukua nikakuta nikakuta tena mzizi umekunjwa kuelekea direction ya kusini,nikaendelea kuufuata, mbele ya huo mzizi kulikuwa na jiwe kubwa sana kama tani 30 hivi, nilipolizoom vizuri kabisa na kulichunguza,nikagundua kuwa huyo ni picha iliyojchongwa picha ya bundi...!!!! Nikafukuafukua kuzungua hilo hiwe nikakuta ramani aisee.....!!! Bahati mbaya sijui kijerumani .

Mzee nikaazimia kazi, tukaenda kwa mchawi wetu akasema kuna mzigo wa kufa jamaa....vizuri vyote ruby,gold na sapphire akasema zipo. Akatupa masharti tukaingia mzigoni...!!

Baba tumefungua ardhi huku tukifuata masharti makamanda tulikuwa 6, tuliikosea ramani kidogo tukajikuta kuna mwamba una ninginia juu yetu.

Tulichokifikia ni kwanza kuna vigae vya mawe vimefunika kitu tusichokijua hapo chini, pili kuna ukuta umejengwa kwa mawe ya kupondekezwa hapo chini shimoni...!!

Tuliogopa kupondwa na tulikuwa tumechoka sana,maana kazi ilikuwa ya ngumu na ilituchukua miezi 3,tukasema labda tusake katapila.


Sasa tumeliacha tu na tumeamua tulime tu kwanza lakini tukiwa na matumaini kwamba ipo siku.
Sasa najiuliza,au tutakuta marehemu mzungu tena au la ....nakaribisha wadau,kama unaweza kuleta Scaveta njoo tujaribu bahati.





Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama unayoyasema ni ya kweli,ongea na wadau wana vitendea kazi(mashine za kisasa) kwa ajili ya uchimbaji.Kukimbia ela halali ni dhambi
 
Back
Top Bottom