[emoji1787][emoji1787] Wajinga hawaishi mkuu.Wangekuwa wasenge sana waache kupeleka kwao wakajenge nchi wafiche kwenye mapango uliyoyataja! Karne hii bado kuna watu wana akili hizi za kutafuta rupia? Kweli bongo nyoso wandugu!
yeah sure ilikua inaitwa Graf Von Gotzen ikabalishwa kuwa MV liemba ilizamishwa mara baada ya vita ya Kwanza ya Dunia na Wajerumani Maksudi mara baada ya kupigwa na Mwingereza …wazamiaji Wangezamia kubeba mali hizo Wajeruman walikua wajanja sanaHadithi ni nyingi kama hizo!
Kuna tetesi kuwa Wajerumani walipokaribia kushindwa vita, waliweka dhahabu nyingi kwenye Meli yao kubwa pale Ziwa Tanganyika, harafu wakaizamisha! Inasemekana pamoja na jitihada nyingi za kuitoa meli hazijafanikiwa!
nimepanda bajaji siku mbili zimepita kuna dada alikua ana sali kanisa fulani la Rome pale Iringa kuna padri akaja akawa anasali pale akaomba awe anafunga na kuomba usiku wakamruhusu kumbe pale madhabahuni pana mali usiku ana chimba anafunika na mkeka Siku kadhaa akapotea kimya kimya kuja kugunudua wamekuta shimo kubwa sana chini na mzigo ushatolewa na wabongo tunakuaga wazembe magetin hatukazi kukagua mtu kasepa na mzigo
Yaani hapa dada yangu ndhani upo nje ya mada. Sasa nani kaleta utapeli hapa? Utapeli upi? Je, umefanya utafiti wowote?
Wajerumani walificha mali nyingi sana kwenye ardhi. Walichimbia masanduku ya mali walizozivuna wakati huo kwenye milima wakati wa vita vya kwanza vya dunia.
Sasa unaongelea utapeli!!! Utapeli upi? Halafu mbona unahasira sana? Hutaki watu wengine wajue?
Hivi huelewi ulichonisoma au umetanguliza ujinga wa "Islamophobes" mbele na kukufanya uwe "ignorant" wa hali ya juu?Wacha kudanganya watu, hakuna mdini yoyote kwenye hizo heller zaidi ya shaba. Hizo zinauzwa kwa "collectors" wa sarafu almaaruf "numismatics".
Thamani zake hizi hapa: German East Africa Heller KM 7 Prices & Values | NGC
Kuna utapeli wa siku nyingi toka miaka ya 70 kuhusu pesa za kizamani. Huu utapeli unakwenda na kurudi. Naona sasa mmeamua kuileta kwenye mtandao.
Yeyote atakae kufanya shughuli za sarafu za zamani azame eBay tu.
Kuna mali nyingi sana za zamani zipo ardhini, siyo za Wajerumani, za kabla ya Wsjerumani.
Zipo mali za kina Suleiman, za Karun, za watawala wa zamani kina Ramses na wa kabla yao.
Huzipati hizo mpaka. Achomoke mmoja wao kutoka axis zao ukumbane nae akupe mikoba.
Kabisa hilo neno kuna ustadhat mmoja alikuwa anapenda sana kulisema nikawa simuelewi ,yeye anatokea KorogweNeno "ambiwa" hili nimelisikia sana Tanga, wanawake wakitanga wanaoenda sana kulisema hili neno
.
Mafinga Lutheran Vocational Training CentreKaribu na MLVTC
"inawashinda wanakuja akina Barick kuisomba nyie mnataka kuleta utapeli wa sarafu".Mimali ya thamani iliyopo ardhini ambayo hiyo hiyo ndiyo waliifata Wajerumani inawashinda wanakuja akina Barick kuisomba nyie mnataka kuleta utapeli wa sarafu.
Mkoa wa kilimanjaro na tanga kumejaa tele mpaka sasa kila miezi kadhaa wanakuja wanaweka kambi kabisa.Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni