grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Issue za kina Satoshi Nakamoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee sisi tuliwahi kuhamisha mlima mzima lamini hata kuona kitu wapi. Kuna mganga moja alikula sana mbuzi. For 6 months tukaamua juacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaalamu alisema kuna vito vya kutosha sana, tulipofiikia kuna vigaae vikubwa vimefunika na pembeni yake kuna ukuta wa mawe umejengwa,sasa kuna ngema juu imeninginia na kuna kiwe, inafaa lilipuliwe na litolewe.
Tulikutana na mauza uza kibao lakini tyliyashinda,kubwa ilikuwa nyoka wa kutisha wa kutosha, tuliambiwa hapana kumuuwa hata mmoja,mbinde ilikuwa kuwatoa humo shimoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nani aliyefanikiwa kuchimba na kupata hiyo hazina? Mkuu hii kitu nimeufuatilia kwa karibu sana zaidi ya miaka ishirini. Nilichokiandika nakifahamu fika. na ukweli ni wale wanaotaka utajiri kwa ganda la ndizi ndio wanafanya hii ishu au wanahamasisha wengine nao wafanye. Inauma sana lakini bahati mbaya ukishakolea inakuwa kama umelishwa uganga. No hazina ya Mjerumani full stop.
Hiyo ni kweli pia na Mm nineshuhudia kuna mzee mmoja kama wa miaka 89 au 90 alikuwa na ramani ya hazina kubwa sana iliyopo around Mwadui Shinyanga.Vipi kuhusu maeneo ambayo kuna alama (handaki,misaraba, zege n.k)ziliwekwa na hao hao wajerumani zilikua za nini? Ninao ushahidi alikuja Padre mmoja mjerumani akaondoka na mzigo na wala hakuchimba umbali mkubwa ,walitumia jembe tu ilikuwa 2016
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kweli pia na Mm nineshuhudia kuna mzee mmoja kama wa miaka 89 au 90 alikuwa na ramani ya hazina kubwa sana iliyopo around Mwadui Shinyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyoondoka hakupanda ndege zetu kweli?Vipi kuhusu maeneo ambayo kuna alama (handaki,misaraba, zege n.k)ziliwekwa na hao hao wajerumani zilikua za nini? Ninao ushahidi alikuja Padre mmoja mjerumani akaondoka na mzigo na wala hakuchimba umbali mkubwa ,walitumia jembe tu ilikuwa 2016
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuhabarishe kuhusu njia ya Chini kuelekea Congo???...Haya mambo ni Kweli kabisa.Je akisikia kuna njia ya chini kutoka ziwa Tanganyika mpaka Kongo sindio atabishia kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu,niliwahi kukaa Uvinza miaka ya nyuma sana,hizi hela za zamani zilikuwa nyingi sana...Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni
una maanisha mazingaombwe yalikuwa kibao?Mkuu Venus Star hio kitu habari yake ni kubwa sana. Niliwahi kushiriki katika moja ya mapango ambayo inasemekana kuna mali za wajeru, Rafiki yangu mmoja alinialika kwenda walau siku moja kuona nini wanafanya. Ilikuwa ni kazi ya siku 5 iliowashirikisha wachungaji na masheikh….. muziki wake si wamchezo mkuu, hasara kubwa na mali haikupatiana. Acha kabisa baba
Hahahhahaaaa na wanawajua wazee kibao wa kuwapa maelekezoHuwa mnajidanganya tuu.. HV ccm walivyokuwa na tamaa ya pesa za bure unafikiri wangeziacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno "ambiwa" hili nimelisikia sana Tanga, wanawake wakitanga wanaoenda sana kulisema hili nenoNina ankal wangu anaishi vanga aliwahi kunambia mwaka jana mambo haya, kuna mercury, hizi sarafu, stove, pasi, jambia na sufuria alikua na saraf imeandikwa heller na nyingine doa kuna moja ni kubwa ndani ina kitu kama kidude ukiitikisa ambiwa hilo jambia ukilichomeka chini lazama naona anidanganya hivi hivi na ukizamia huko ni kupoteza muda na pesa tu naskia wakitaka kutafta hizo hazina lazima wakatambike na wanakutana na mauza uza si ya nchi hii
Yako ndani ya shule hayo maandaki???Kwa tulio soma iyunga boys secondary kule mbeya story hizi twazijua vyema, mayandaki twayajua vyema
Sent using Jamii Forums mobile app