Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

kila muafrika anaetumwa kuficha Mali ilikuwa lazima afie kule kule mafichoni.Wajerumani walikua wanamchukua muafrika mmoja halafu wanachukua kichwa cha chatu wanamuwekea mdomoni kisha wanafunika pamoja na Mali
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu maeneo ambayo kuna alama (handaki,misaraba, zege n.k)ziliwekwa na hao hao wajerumani zilikua za nini? Ninao ushahidi alikuja Padre mmoja mjerumani akaondoka na mzigo na wala hakuchimba umbali mkubwa ,walitumia jembe tu ilikuwa 2016
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni kweli pia na Mm nineshuhudia kuna mzee mmoja kama wa miaka 89 au 90 alikuwa na ramani ya hazina kubwa sana iliyopo around Mwadui Shinyanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi mkuu,niliwahi kukaa Uvinza miaka ya nyuma sana,hizi hela za zamani zilikuwa nyingi sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
una maanisha mazingaombwe yalikuwa kibao?
 
Neno "ambiwa" hili nimelisikia sana Tanga, wanawake wakitanga wanaoenda sana kulisema hili neno

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…