moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
MakuhmahzanHaya mambo yanataka kufanana na hadithi ya "machimbo ya mfalme Suleiman"
Mwarabu hagusi hata robo kwa Mjerumani,hao jamaa ni sheedah...!Washirikina kuliko Waarabu?
Neno "ambiwa" hili nimelisikia sana Tanga, wanawake wakitanga wanaoenda sana kulisema hili neno
.
Kubali kwa hili ndugu wewe ni mbumbumbu, mambo haya yapo,na wenye bahati zao wanatusua,mie nimeona kwa macho yangu, na mwisho ilikuwa ni singida, bibi kizee aliuza pasi kwa Muizraeli, alikuja na helicopter akachukua pasi yake na akaondoka na ajuza huyo na mjukuu wake,japo walipewa pesa kiduchu sana, mil 30 na ushee hivi.Ni nani aliyefanikiwa kuchimba na kupata hiyo hazina? Mkuu hii kitu nimeufuatilia kwa karibu sana zaidi ya miaka ishirini. Nilichokiandika nakifahamu fika. na ukweli ni wale wanaotaka utajiri kwa ganda la ndizi ndio wanafanya hii ishu au wanahamasisha wengine nao wafanye. Inauma sana lakini bahati mbaya ukishakolea inakuwa kama umelishwa uganga. No hazina ya Mjerumani full stop.
Dah sasa hyo heller ina Ounce ngapi hadi kugonga Usd 900 ndugu,? kifupi mapesa ya kale sishauri mtu kutafuta kuwa yatamtoa zaidi ya kumtia mtu umasikini wa kutupwaAcha kudanganya wewe. Ebay utaelewa nini sasa. Ebay wanachofanya ni kuuza vitu tu.
Halafu unadanganya wazi kabisa eti zilitengenzwa kwa kutumia madimi ya shaba.
Zilitengenezwa kwa kutumia madini ya Silver(Fedha). Mpaka leo Ounce ya Silver ni $15.65.
Kama unataka nikupatie elimu tulia hapo hapo nikupatie elimu.
Halafu unakuja humu ukiwa na hasira wakati upo off point.
Biashara hizi ni za kitapeli sana, sio za kujaribu kufanyaKubali kwa hili ndugu wewe ni mbumbumbu, mambo haya yapo,na wenye bahati zao wanatusua,mie nimeona kwa macho yangu, na mwisho ilikuwa ni singida, bibi kizee aliuza pasi kwa Muizraeli, alikuja na helicopter akachukua pasi yake na akaondoka na ajuza huyo na mjukuu wake,japo walipewa pesa kiduchu sana, mil 30 na ushee hivi.
Wapo wanaochemka kutokana na mauzauza hayo,wengine wanakutana na maiti na wengine wachache pia wanabahatika. Utajiri baba unanjia nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakielewa ulichoandika , ni mali iliyofichwa kwa nguvu ya giza kubwa mno .Mkuu Venus Star hio kitu habari yake ni kubwa sana. Niliwahi kushiriki katika moja ya mapango ambayo inasemekana kuna mali za wajeru, Rafiki yangu mmoja alinialika kwenda walau siku moja kuona nini wanafanya. Ilikuwa ni kazi ya siku 5 iliowashirikisha wachungaji na masheikh….. muziki wake si wamchezo mkuu, hasara kubwa na mali haikupatiana. Acha kabisa baba
Taifa linajua hilo , viongozi wakubwa wanamtandao pia katika mali hizi . Inasemekana Kariakoo na posta imejengwa kupitia mali hizi .Me naona kama taifa tuzisake hizo Mali. Then tukanunue dreamlimer nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
PointHuwa mnajidanganya tuu.. HV ccm walivyokuwa na tamaa ya pesa za bure unafikiri wangeziacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hata hiyo 30m uliyolipa unaporwaUkisikia watu walioishi siku nyingi wanakueleza jambo ni vyema kutafakari. Sisi ambao Mungu ametujalia kuona haya mambo tumejasikia hii kitu mara nyingi inatengezwa na pande mbili ambazo ziko pamoja. Moja inasema tunatafuta Rupia ya Kijerumani sijui yenye tundu tunanuna labda kwa Million 100. Sasa afadhali sasa tunajua huko ebay na collector wengine ni $900 ambazo ni sawa na takriban 2m. Sasa inatangazwa demand ila huyo anayetoa hizo m 100 anakuwa ajawahi kuonekana ila unakuwa unasikia tuu kuna jamaa kuna jamaa ukiforce kuonana na mtu anayetaka kununua mzigo huonyeshi ila unaambiwa wewe tafuta ukipata hela iko na ukiangalia wazee walioaminishwa au wanaokueleza kama huna jicho la tatu lazima uingie kingi. Sasa wewe ukianza kuifanyia kazi anakuja mwingine kwenye team anakueleza kuna mtu wapi huko ana mzigo yeye labda anataka 30m ukichukua na yule aliyekueleza kuangalia Genuity anakuambia mzigo ndio huo sasa wewe nunua mzigo tumpeleke jamaa tupate 70 yetu ukilongwa huoni anayenunua wala nini. Ndio maana waliona jua siku nyingi wanakuambia huu mchezo ulianza toka 70 huko ni moja ya utapeli wa siku nyingi. Ila uzuri siku hizi kuna taarifa za wazi mtu akitapeliwa kiihivyo watu wanashangaa ila inatokana mara nyingi na tamaa za haraka haraka za mali