Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Swali lilitaka kujua hivyo vitu vimetokea wapi kama havikutengenezwa kama ulivyodai?
vitu vyake ambavyo ni spirit vilitengenezwa na majini na mashetani baada ya na ndiyo maana jiko ya mjerumani au pasi ya mjerumani zile zinazotafutwa unapoitikisa ndani yake utaisikia na kitu kama nta nzito lakini kilichomo ni mecury sasa wanadamu hawakuweza fanya hilo kuweka mecury katika hali ile.
 
Fafanua vizuri mkuu ndy ipoje iyo power
ukielewa kuhusu habari ya malaika muasi basi utaweza kuwa na jibu kwa urahisi mkuu🙂,japo historia yake ipo Hidden kwasababu muhimu.
 
Ni kitu kimoja,yaani ni moja ya nafsi za Mungu(katika ule utatu
sawa vyema ...sasa kama Mungu ni Roho kamili katika nafsi tatu,na Malaika muasi ni roho yenye nafsi pia iliyoumbwa na Mungu na nafsi ile ilipotaka kumpindua Mungu mbinguni na Mungu kutopendezwa na hilo aliifukuza Kule mbinguni nayo pia ilipata wafuasi lakini kwa kuwa kiini chake cha uasi ilikuwa ni tamaa ya kutawala na kusujudiwa Mungu aliiambia kuwa Fahari zote za Duniani nimekupa nayo ilifurahi sasa kumbuka tayari mwanadamu alishaumbwa na pili ile nafsi iliyoasi ilijua kuwa Mwanadamu atakuja kutaka tu vile vitu kwakuwa tangu mali zinaumbwa mwanadamu aliambiwa na Mungu kuwa kuwa atavitawala sasa huyu malaika Muasi (CAESAR)aliamua Kuvikumbatia na akataka kusujudiwa pia ili aweze kumpatia afanyaye hilo na kwakuwa nafsi ile ilikuwa mbinguni na kujua kila jambo juu ya Mbinguni basi nayo ilianza kucopy mambo ya Utakatifu kama vile alivyo Mungu nikiwa naendeea kumbuka utafutapo mali hizi lazima uwe katika hali ya utakatifu(Usafi wa mwili nafsi na Roho),lakini bado ilitaka kuabudiwa na ile roho ilienda Miaka naMiaka Lakini kipindi cha Utawala wa WIlhelm aliisujudia na kuomba Vyombo vya Namna ile na hasa wakati wa kuelekea vita ya kwanza ya Dunia na Mapepo ndiyo yalitengeneza kama karabai,Fufumark,red rupee,Rupee ya Kitumbua ,Pasi,Jiko nk lakini vidogo vichache ndiyo alifanya Mwanadamu lakini hivyo nilivyokwisha kutaja hauta pata Historia ya kiwanda Kutengeneza na wengine hukimbilia kusema vilishushwa 🙂 .
 
Kuhusu site ili utafutaji uwe halali inahitajika nini??
unaenda kukata kibali cha site yenu pale wizara ya mali asili na utalii kiteng0 cha mali kale na kila baada ya miezi 3 nmakilipia kibali ilikiwe hai mpaka mpate wa kufanya kazi yenu
 
Watu wanaota ndoto za mchana.
Niliwahi kufatilia hizo inshu masharti niliokutananayo nikaona kumbe huo ni utapeli.
 
sawa vyema ...sasa kama Mungu ni Roho kamili katika nafsi tatu,na Malaika muasi ni roho yenye nafsi pia iliyoumbwa na Mungu na nafsi ile ilipotaka kumpindua Mungu mbinguni na Mungu kutopendezwa na hilo aliifukuza Kule mbinguni nayo pia ilipata wafuasi lakini kwa kuwa kiini chake cha uasi ilikuwa ni tamaa ya kutawala na kusujudiwa Mungu aliiambia kuwa Fahari zote za Duniani nimekupa nayo ilifurahi sasa kumbuka tayari mwanadamu alishaumbwa na pili ile nafsi iliyoasi ilijua kuwa Mwanadamu atakuja kutaka tu vile vitu kwakuwa tangu mali zinaumbwa mwanadamu aliambiwa na Mungu kuwa kuwa atavitawala sasa huyu malaika Muasi (CAESAR)aliamua Kuvikumbatia na akataka kusujudiwa pia ili aweze kumpatia afanyaye hilo na kwakuwa nafsi ile ilikuwa mbinguni na kujua kila jambo juu ya Mbinguni basi nayo ilianza kucopy mambo ya Utakatifu kama vile alivyo Mungu nikiwa naendeea kumbuka utafutapo mali hizi lazima uwe katika hali ya utakatifu(Usafi wa mwili nafsi na Roho),lakini bado ilitaka kuabudiwa na ile roho ilienda Miaka naMiaka Lakini kipindi cha Utawala wa WIlhelm aliisujudia na kuomba Vyombo vya Namna ile na hasa wakati wa kuelekea vita ya kwanza ya Dunia na Mapepo ndiyo yalitengeneza kama karabai,Fufumark,red rupee,Rupee ya Kitumbua ,Pasi,Jiko nk lakini vidogo vichache ndiyo alifanya Mwanadamu lakini hivyo nilivyokwisha kutaja hauta pata Historia ya kiwanda Kutengeneza na wengine hukimbilia kusema vilishushwa 🙂 .
na huu ni mfano wa vile ambavyo ni mali ya Wilhelm lakini walifanya wanaadamu






german-snuff-box-wilhelm-ii-2444hh-22-05-2020.jpg
german-snuff-box-wilhelm-ii-2444hh-22-05-2020.jpg
 
sawa vyema ...sasa kama Mungu ni Roho kamili katika nafsi tatu,na Malaika muasi ni roho yenye nafsi pia iliyoumbwa na Mungu na nafsi ile ilipotaka kumpindua Mungu mbinguni na Mungu kutopendezwa na hilo aliifukuza Kule mbinguni nayo pia ilipata wafuasi lakini kwa kuwa kiini chake cha uasi ilikuwa ni tamaa ya kutawala na kusujudiwa Mungu aliiambia kuwa Fahari zote za Duniani nimekupa nayo ilifurahi sasa kumbuka tayari mwanadamu alishaumbwa na pili ile nafsi iliyoasi ilijua kuwa Mwanadamu atakuja kutaka tu vile vitu kwakuwa tangu mali zinaumbwa mwanadamu aliambiwa na Mungu kuwa kuwa atavitawala sasa huyu malaika Muasi (CAESAR)aliamua Kuvikumbatia na akataka kusujudiwa pia ili aweze kumpatia afanyaye hilo na kwakuwa nafsi ile ilikuwa mbinguni na kujua kila jambo juu ya Mbinguni basi nayo ilianza kucopy mambo ya Utakatifu kama vile alivyo Mungu nikiwa naendeea kumbuka utafutapo mali hizi lazima uwe katika hali ya utakatifu(Usafi wa mwili nafsi na Roho),lakini bado ilitaka kuabudiwa na ile roho ilienda Miaka naMiaka Lakini kipindi cha Utawala wa WIlhelm aliisujudia na kuomba Vyombo vya Namna ile na hasa wakati wa kuelekea vita ya kwanza ya Dunia na Mapepo ndiyo yalitengeneza kama karabai,Fufumark,red rupee,Rupee ya Kitumbua ,Pasi,Jiko nk lakini vidogo vichache ndiyo alifanya Mwanadamu lakini hivyo nilivyokwisha kutaja hauta pata Historia ya kiwanda Kutengeneza na wengine hukimbilia kusema vilishushwa 🙂 .
Asante kwa maelezo mazuri,na inashangaza kusikia kwamba vitu hivi vilitengenezwa na mapepo,sasa kama vitu hivi vinamilikiwa na malaika muasi na mapepo ndio yametengeneza,kwa mtu wa kawaida akipata au kumiliki Je Hamkosei Mungu?
 
Asante kwa maelezo mazuri,na inashangaza kusikia kwamba vitu hivi vilitengenezwa na mapepo,sasa kama vitu hivi vinamilikiwa na malaika muasi na mapepo ndio yametengeneza,kwa mtu wa kawaida akipata au kumiliki Je Hamkosei Mungu?
Kwa uwelewa mdogo hii dunia amepewa mamlaka kamili malaika muasi lakini mamlaka kuu ni ya Muumba kila kitu,huwezi kuwa kwenye mamlaka ya mtu,kiumbe halafu usitumie au kumiliki sehemu ya milki yake kwa maandiko hapo juu yaliyotolewa mfano sioni kama ni kosa ukibahatika kumiliki kosa linaweza kuja unapomiliki kwa nia ovu baada ya kupata ile sadaka...Inawezekana tusubiri mjuzi zaidi atakuja kufafanua.

Sent from my Infinix X573S using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom