Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Mimi nna site kamili ina vitu vingi kuwa na viwili ama vitatu si tatizo,tatizo utapeli na tamaa sana kwa walio wengi nilishaonywa kwa watu wengi kuwa hawana nia nzuri mwisho imenikatisha pia tamaa nikatulia na kuendelea na ishu nyingine.
Site za wazi ama Underground?
 
Pole Mkuu!
Buyers wazuri ni wa Israel, na Sasa kutokana na Changamoto ya Utaperi, baadhi wapo tayari kukufata pale ulipo na kufanya Biashara huko huko, Ila wanapendekeza angalau uwe na Vitu 2 au 3.

Pia huwa interesting kukufata ulipo kama wakijua May be Serikali ya Kijiji inahusika pia kwenye hivyo Vitu n. K

Believe me, really buyers wapo!
Mimi nna site kamili ina vitu vingi kuwa na viwili ama vitatu si tatizo,tatizo utapeli na tamaa sana kwa walio wengi nilishaonywa kwa watu wengi kuwa hawana nia nzuri mwisho imenikatisha pia tamaa nikatulia na kuendelea na ishu nyingine.
Jitahidi tu Kuhakiki wanavibali vya kudeal na Malikale ndani ya Nchi?
Otherwise utawapa watalipa lakini pesa kuwa tanzania haitakuwa rahisi kuingia..... pia kuwa Makini sana na Makundi kama ya wale walipo Jogoo /Mbezi Beach kwa zena huko Mambo huwa mengi na combo hupotea Pia nilikuwa nampa darasa mtu mwezi uliopita wamempiga kijiko,mwingine jirani yangu alikuwa na Pasi hapa alikuwa hataki kuelewa usahuri sasa akakutana na watu weupe akili ikamwambia kuwa ndiyo watu sahihi wamempiga Pasi pamoja mil 28+ baada ya kutoka kuuza mashamba yake.....
 
Jitahidi tu Kuhakiki wanavibali vya kudeal na Malikale ndani ya Nchi?
Otherwise utawapa watalipa lakini pesa kuwa tanzania haitakuwa rahisi kuingia..... pia kuwa Makini sana na Makundi kama ya wale walipo Jogoo /Mbezi Beach kwa zena huko Mambo huwa mengi na combo hupotea Pia nilikuwa nampa darasa mtu mwezi uliopita wamempiga kijiko,mwingine jirani yangu alikuwa na Pasi hapa alikuwa hataki kuelewa usahuri sasa akakutana na watu weupe akili ikamwambia kuwa ndiyo watu sahihi wamempiga Pasi pamoja mil 28+ baada ya kutoka kuuza mashamba yake.....
Kweli balaa ndomana sitaki kujihangaisha kabisa nataka kujua tu utaratibu wa serikali nikachukue madini tu naona ndio rahisi kufanya biashara lakini vyombo naona ngumu sana kupata mtu sahihi,hapo kwenye madini ndio sielewi natakiwa kufuata hatua gani katika serikali kama mali kale au
 
Kweli balaa ndomana sitaki kujihangaisha kabisa nataka kujua tu utaratibu wa serikali nikachukue madini tu naona ndio rahisi kufanya biashara lakini vyombo naona ngumu sana kupata mtu sahihi,hapo kwenye madini ndio sielewi natakiwa kufuata hatua gani katika serikali kama mali kale au
madini aina ipi?
 
Serikali hapo tunazungumzia pesa maana yake kuna hatua za kiserikali au kunakua na utaratibu gani
Binafsi Mimi sitataka kulipwa Bank Kwa pesa za Mambo haya, nafahamu watu waliodhulumiwa pesa zao na hiyo hiyo Serikali!

Nafahamu watu walionyang'anywa Site nzima ikiwa na mzigo mkubwa tu huk
Jitahidi tu Kuhakiki wanavibali vya kudeal na Malikale ndani ya Nchi?
Otherwise utawapa watalipa lakini pesa kuwa tanzania haitakuwa rahisi kuingia..... pia kuwa Makini sana na Makundi kama ya wale walipo Jogoo /Mbezi Beach kwa zena huko Mambo huwa mengi na combo hupotea Pia nilikuwa nampa darasa mtu mwezi uliopita wamempiga kijiko,mwingine jirani yangu alikuwa na Pasi hapa alikuwa hataki kuelewa usahuri sasa akakutana na watu weupe akili ikamwambia kuwa ndiyo watu sahihi wamempiga Pasi pamoja mil 28+ baada ya kutoka kuuza mashamba yake.....
Nawajua hao Wazungu wa Kwa Zena na wengine wapo Mbezi ya Kimara... Huwa wanajifanya end buyer...

Kwangu labda unitolee Bunduki but maneno tu then nikatoa pesa ama Mzigo, haitokei.
Coz hakuna mbinu mpya kwenye mambo haya, style za Utaperi ni zile zile.

Wengi wanaotapeliwa ni Tamaa, kutotaka kujifunza kwanza hivi Vitu ni nini, vinapatikanaje! Vinauzikaje, process ya Biashara ikoje n.k....

That's why Binafsi moja ya kitu sitataka kupoteza muda na mtu akinambia Habari za Kubetua..... Total scams!!!
 
Binafsi Mimi sitataka kulipwa Bank Kwa pesa za Mambo haya, nafahamu watu waliodhulumiwa pesa zao na hiyo hiyo Serikali!

Nafahamu watu walionyang'anywa Site nzima ikiwa na mzigo mkubwa tu huk

Nawajua hao Wazungu wa Kwa Zena na wengine wapo Mbezi ya Kimara... Huwa wanajifanya end buyer...

Kwangu labda unitolee Bunduki but maneno tu then nikatoa pesa ama Mzigo, haitokei.
Coz hakuna mbinu mpya kwenye mambo haya, style za Utaperi ni zile zile.

Wengi wanaotapeliwa ni Tamaa, kutotaka kujifunza kwanza hivi Vitu ni nini, vinapatikanaje! Vinauzikaje, process ya Biashara ikoje n.k....

That's why Binafsi moja ya kitu sitataka kupoteza muda na mtu akinambia Habari za Kubetua..... Total scams!!!
Ni Kampuni gani ililipa hao watu na pesa yao Kukwamishwa na Serikali Mkuu?
 
wakati Muingereza anaingia kwa ajili ya Vita na Mjerumani walipoona hawawezi kuondoka na vyao vyote kwa mara moja ndiyo waliamua ficha na kuweka ulinzi mgumu.na wanaorudi sasa ni watoto na wajukuu wa wale walioweka mizigo yao.

Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kuwa tajiri kwa kufatuta mali walizoacha wajerumani. Hila kuna matajiri wengi waliopata utajiri wao kwa kuchimba madini Merarani, kwa kulima mahindi, kwa kulima pamba na hata kwa kuuza madawa ya kulevya. Kwa maneno mengine hakuna njia ya mkato ya kutafuta mali.
 
na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu wameshauri mno,lakini jamaa mbishi, katumia almost 10 years ,searching for HAZINA YA MJERUMANI!! one day alirudi na Pasi, ndo kama wadau walivyochangia hapo juu, ukiipata hiyo mali wanunuzi wote wanayeyuka,anakumbia flani ndo ananunua, ukimfata naye anasema flani alinielekeza,mwishowe pasi ikakosa mteja. Sasa sifa za hii pasi, ni model ya pasi za mkaa, ila sasa yenyewe haihitaji huo mkaa wa moto, yenyewe inanyoosha nguo automatically bila kuweka/kutia mkaa wa moto, Kinachotakiwa ni wewe tu uiongoze/uishikilie upigapo pasi. Maajabu mengine ya hii pasi ni kuwa inahama, leo ukiiacha sebuleni kesho unaikuta chumbani, siku nyingine unaikuta jikoni. ukihitaji kuitumia yaani shwari kabisa unanyoosha nguo. Balaa lingine ya hii pasi ni kuwa ilianza kuua(kwa mujibu ya wataalamu wa jadi) kila baada ya miezi kadhaa mwanafamilia anafariki, ndani ya miezi 10 tokea pasi iwepo nyumbani walifariki watoto wawili na mtu mzima mmoja!! mtaalamu wa jadi(mganga) alipofuatwa ,akasema ile pasi aliyoileta ndugu yenu ndo sababu ya vifo!! hivyo kikao cha familia kikaitishwa ,Jamaa akaamuliwa na wazee airudshe hiyo pasi alikoitoa, Jamaa akatii, akasafiri kurudi kwenye hizo area zenye code walikoichimbua hiyo pasi, akairudsha, Akarudi hom, sasa jamaa akili zake ni kama zimeyumba hivi, wanafamilia wakampatia mashamba alime, na aoe,akapigwa marufuku na wazee ,asifuatlie hazina tena!!!
●●●●●●●●
Katika stori, kujionea pia, watu watafuta mali hizi, wale ambao wana ajira za kudumu,ama wana pesa zao tayari, wakiwa wanatafuta hazina hizi HAWAHARIBIKIWI/AKILI ZAO HAZIYUMBI/HAWAWEHUKI , lakini ambao hawana pesa,hawana plan B za maisha, hawana vipato vingne, Wakirudi toka kwenye hizo coded Areas huwa wamewehuka ,au akili zao si sawa na walizoondoka nazo. lkn mabwana wenye pesa hapo juu,hata kama hakurudi na chochote still anakuwa yuko mentally fit,
,I don't know the mechanism behind the scene!!!
Iyo pasi mbn balaa
 
Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kuwa tajiri kwa kufatuta mali walizoacha wajerumani. Hila kuna matajiri wengi waliopata utajiri wao kwa kuchimba madini Merarani, kwa kulima mahindi, kwa kulima pamba na hata kwa kuuza madawa ya kulevya. Kwa maneno mengine hakuna njia ya mkato ya kutafuta mali.
Sipo katika kulazimisha wewe uamini mkuu hii ni platfom na kila mmoja analakwake kichwani kwahiyo uaminivyo kwako ni sawa tu.
 
Sipo katika kulazimisha wewe uamini mkuu hii ni platfom na kila mmoja analakwake kichwani kwahiyo uaminivyo kwako ni sawa tu.
Sasa nyie mnataka kuandika vitu msivyo na uhakika navyo na sisi wengine tukubali kama tupo misikitini au makanisani. Hututendehi haki kabisa. Tuonyeshe mtu mmoja aliyetajirika kwa kupata mali zilizofichwa na mjerumani. Mtu mmoja tu..
 
Sasa nyie mnataka kuandika vitu msivyo na uhakika navyo na sisi wengine tukubali kama tupo misikitini au makanisani. Hututendehi haki kabisa. Tuonyeshe mtu mmoja aliyetajirika kwa kupata mali zilizofichwa na mjerumani. Mtu mmoja tu..
Mkuu nilisha andika kuwa ni hatari kuandika majina ya watu Humu...watakuwa na haki ya Kushitaki na nihatari kumuexpose Mtu kwa swala la Pesa nyingi Zakumi...lakini kama hauamini katika haya basi endelea na unachokiamini...ila wenye kuelewa wanaelewa.na sipo katika kulazimaisha Uamini haya.
 
Kuna mjomba wangu alianza kuzisaka hizi mali nakumbuka nilikuwa darasa la saba, lakini hadi leo kazeeka hata mia hakupata!! Kuna siku alisimulia walifika kwenye pango wakakuta kitu kama msukule kimekaa kwenye kiti na sime mkononi ..hicho kitu kinangaa balaa...

Baada ya kujadiliana na mganga wao eti wakasema huo msukule ni mlizi wa mali za wajerumani, hapo alipokaa ndipo kuna mlango wa kuingilia stoo ya mali ( Dhahabu na vito vya thamani kubwa)

Wakaambiwa wachangishane pesa ili kupata dawa za kunuiza na wachinje ngombe ili ule msukule uwapishe wachukue mali - wakachangishana akini hakuna mia walipata!!
 
Kuna mjomba wangu alianza kuzisaka hizi mali nakumbuka nilikuwa darasa la saba, lakini hadi leo kazeeka hata mia hakupata!! Kuna siku alisimulia walifika kwenye pango wakakuta kitu kama msukule kimekaa kwenye kiti na sime mkononi ..hicho kitu kinangaa balaa...

Baada ya kujadiliana na mganga wao eti wakasema huo msukule ni mlizi wa mali za wajerumani, hapo alipokaa ndipo kuna mlango wa kuingilia stoo ya mali ( Dhahabu na vito vya thamani kubwa)

Wakaambiwa wachangishane pesa ili kupata dawa za kunuiza na wachinje ngombe ili ule msukule uwapishe wachukue mali - wakachangishana akini hakuna mia walipata!!
walishafeli kumhusisha mganga na Kuchinja
 
Back
Top Bottom