Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Oyaaa uko wapiiii 😹
Leo nipo hapo na kuku wa kienyeji.
1723306592650.jpg
 
Yaani mwanaume huwa mnampa uspesho fulani hivi,mwanamke ye ni punda akufanyie kila kitu,mda huo aangalie watoto wamekulaje,mara avae night dress mara nini na mda huo ametoka kazini?jamani jamani.
 
Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti😁
Nahisi ni upweke wa kufiwa na mume unamsumbua, ila kwa hizo ngedere atachemka yeye..
Halafu kawapa uspecial ambao hawana huyu KITAMRAMBA 😀
 
Yaani mwanaume huwa mnampa uspesho fulani hivi,mwanamke ye ni punda akufanyie kila kitu,mda huo aangalie watoto wamekulaje,mara avae night dress mara nini na mda huo ametoka kazini?jamani jamani.
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
 
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
Kabisa yaani.
 
Nisjawa
Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti

Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti😁
Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️
 
Sio kweli
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familKweli
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
Sio Kweli kuna watu Awana wasaidizi wa kazi na wanafanya majukumu yote na kunukia wananukia na kulea wanalea uchafu wa mwanamke ni hulka Yake TU na WaPo wenye wafanyakaz WA ndan lkn awanukii wala awavutii wachafu vby Mpk waume zai wanakuja kuomba ushauri Instagram kw uchafu wa mke
 
Nisjawa



Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️
Aisee pole na kufiwa kungwi....
 
Nisjawa



Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️
Kungwi jitahidi kuandika bila presha, tunapata shida kusoma..

Turudi kwenye mafundisho yako uchwara, hivi unafananisha mabibi wa zamani ambao hawana kazi yoyote ya kufanya na kizazi chetu ambacho asubuhi unatakiwa uondoke kwenda kibaruani..??

Huo muda wa kujiandaa na kumuandaa mume kilema nautoa wapi?
Kwa mawazo yako unafikiri kwamba wanawake wote ambao waume zao wanachepuka na house girl’s au mashangingi wengine basi, chanzo ni kutofanya hayo uliyoorodhesha??

Kwahiyo kwako wewe mwanamke ni slave?
Dunia ya sasa wenzetu wanapambana kubuni vitu vya kumsaidia binadamu kazi zake, wewe unaturudisha ZAMADAMU pity
 
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
Huyu kungwi mjane hebu awape nafasi wazee wa hovyo ajionee mambo kwa ground yalivyo.
Amewa overrate wanaume kwamba waonekane km King’s of King’s
 
Back
Top Bottom