min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Matumizi mabaya ya chambo hayo😁😁😁😁Samaki kwenye tenga unampa chambo wa nini sasa 😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi mabaya ya chambo hayo😁😁😁😁Samaki kwenye tenga unampa chambo wa nini sasa 😹😹😹
Oyaaa uko wapiiii 😹Matumizi mabaya ya chambo hayo😁😁😁😁
😀😀😀Huu uzi naona ume maanisha Mume mlemavu wa miguu na mikono
Sawasawa kungwi lakeUmenivunja mbavu Aya Karibu Somo Wangu by kungwi mjane 🤣🤣
MhThree and four
Jina limenoga kama supu ya wanayanga weee huogopiiiii le madam kingwi mjane 😍
Hizi nyuzi zisizo na nukta,kima wala paraghaph inatakiwa usome ukiwa huna changamoto za kiafya na mie leo kichwa kinagonga hatari.Nakunywa panadol kwanzaCarleen Jadda Saint Anne Kapeace Mama Mwana Pridah Joannah ladies mbona hamsemi km kuna kontena jipya la wife material limeingia? 😂
Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti😁Carleen Jadda Saint Anne Kapeace Mama Mwana Pridah Joannah ladies mbona hamsemi km kuna kontena jipya la wife material limeingia? 😂
Nakazia usafi ni tabia ya mtu.Uchafu wao tu mke si sababu. Kuna wanaume hata hawajaoa ila ni wako smart sana, usafi ni tabia.
Kungwi katinganya mambo mwenyewe nimekoma macho yote yanauma hapa..Hizi nyuzi zisizo na nukta,kima wala paraghaph inatakiwa usome ukiwa huna changamoto za kiafya na mie leo kichwa kinagonga hatari.Nakunywa panadol kwanza
Nahisi ni upweke wa kufiwa na mume unamsumbua, ila kwa hizo ngedere atachemka yeye..Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti😁
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.Yaani mwanaume huwa mnampa uspesho fulani hivi,mwanamke ye ni punda akufanyie kila kitu,mda huo aangalie watoto wamekulaje,mara avae night dress mara nini na mda huo ametoka kazini?jamani jamani.
Kabisa yaani.Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti
Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️Huyu bado hajakutana mrundikano wa majukumu ukiolewa ukajaliwa na vitoto viwili vitukutu,mbona utatamani kufungua ma brach ya hiyo ndoa mikoa tofauti😁
Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familKweli
Sio Kweli kuna watu Awana wasaidizi wa kazi na wanafanya majukumu yote na kunukia wananukia na kulea wanalea uchafu wa mwanamke ni hulka Yake TU na WaPo wenye wafanyakaz WA ndan lkn awanukii wala awavutii wachafu vby Mpk waume zai wanakuja kuomba ushauri Instagram kw uchafu wa mkeMke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.
Aisee pole na kufiwa kungwi....Nisjawa
Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️
Kungwi jitahidi kuandika bila presha, tunapata shida kusoma..Nisjawa
Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu wangekua wavivu sisi tusingukua APA na hawkausaidiwa na MTU malezi na walitimiza kila kiitu kivyao mnabweteka Sana ndo mana mnasidiwa majukum na michepuko afu mnaanza kulia liaa 🤣🤣🤣 by kingwi ✍️
Huyu kungwi mjane hebu awape nafasi wazee wa hovyo ajionee mambo kwa ground yalivyo.Mke anayeweza hizo pigo za night dress sijui viguo vya kumtega mume,manicure pedicure na kunukia muda wote na kuwa tayari kugawa haki ya ndoa kila siku ni wale wake wanaowekewa maids kufanya majukumu yote na kulea watoto ila wake wa kina baba Chanja waachwe tu kama walivyo na pongezi wapewe wanajitahidi sana kubeba mzigo mkubwa wa kulea familia.