Wajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu

Wajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu

Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.

Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.

Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
Mkiambiwa mpila hamuujui mnabisha

Kibu msimu ulio pita alitumika zaidi kwenye kuzuia kuliko kushambulia
 
We kweli kiazi kwahiyo kibu kazi yake beki wakina kapombe kazi Yao ilikua nini we kilaza
Ivi unajua kuwa kibu kazidiwa na che Malone tu kwenye kublock mipila na hui nikutokana na umri wake na Kasi yake ndio maana makocha walikuwa wanamtumia Kwa ajili hio
 
Back
Top Bottom