stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Noma sana anafanana na amberlulu?Ana demu anafanana na Amber rutty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana anafanana na amberlulu?Ana demu anafanana na Amber rutty
UmeshaolewaKibu Denga atakuzalisha
Wajinga ndio waliwaoKama ameamua kustaafu mpira sawa
UshazalishwaUmeshaolewa
UmeshaolewaUshazalishwa
Kalia dole la katiUmeshaolewa
UmeshaolewaKalia dole la kati
Aolewe Wakati ni jinsia ya kiume mkuu ama unautani nae?Utaolewa
Anashoboka na Wanaume sasa anategemea nini km sio kuolewa?Aolewe Wakati ni jinsia ya kiume mkuu ama unautani nae?
UmeshaolewaAnashoboka na Wanaume sasa anategemea nini km sio kuolewa?
Kalia JitiUmeshaolewa
UmeshaolewaKalia Jiti
Unataka kuukalia? Fufunua vizuriUmeshaolewa
Fufunua vizuri HICHO kitumbua cheusi tukueleweDebora
Mkiambiwa mpila hamuujui mnabishaAisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.
Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.
Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
We kweli kiazi kwahiyo kibu kazi yake beki wakina kapombe kazi Yao ilikua nini we kilazaMkiambiwa mpila hamuujui mnabisha
Kibu msimu ulio pita alitumika zaidi kwenye kuzuia kuliko kushambulia
Ivi unajua kuwa kibu kazidiwa na che Malone tu kwenye kublock mipila na hui nikutokana na umri wake na Kasi yake ndio maana makocha walikuwa wanamtumia Kwa ajili hioWe kweli kiazi kwahiyo kibu kazi yake beki wakina kapombe kazi Yao ilikua nini we kilaza