Wajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu

Wajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu

Kama mlimsajili biringanya ambae mlidanganyika eti amecheza apl..kwa pesa ndefu na bado mkamlipa hela yake kupitia FIFA...basi nyie nao ni mambumbu washamba kabisa...
 
Kibu alikuwa anacheza kutokana na mpangowa kocha alikuwa anataka acheze vipi
Usitake niamina kuwa kibu alikuwa namba 9 pale Simba sc
 
Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.

Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.

Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
Sasa ukichukua milioni 400 kwa mtu mwenye Trilioni 4, si kama nauli ya Mbagala tu hiyo? Umekasirika Kibu kupata hela?
 
Kibu alikuwa anacheza kutokana na mpango wa kocha alikuwa anataka acheze vipi
Na sio wewe unavyo taka usikalili
Acha uongo kibu ni garasa mbumbumbu hamnaga akili siwezi shagaa ukiongea utumbo kama huu sababu wewe ni mbumbumbu
 
Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.

Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.

Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
Wewe ni mweh,u niishie kusema hivyo.

Unadhani Simba wanasajili kwa kufuata mkumbo kama mnavyodanganyana hapo utopoloni?

Simba ni professional club haifanyi mambo ya kukurupuka.

Hizo hela Kibu amezirudisha kwenye akaunti ya Simba lakini bado haiwezi kuvunja mkataba automatically kuna process za kufuata ili pande zote mbili zikibaliane.

Leo meneja wake amezungumza kwa kina akihojiwa Wasafi Fm amesema uongozi wa klabu ya huko Norway imeazimia kufanya mazungumzo na Simba juu ya uhamisho wa Kibu.

Kumbuka wazungu hawafanyi mambo kihuni wanafuata kanuni za kimataifa hivyo Kibu asipokuwa makini atajiharibia kote kote endapo Simba wataamua kumkazia.
 
Wewe ni mweh,u niishie kusema hivyo.

Unadhani Simba wanasajili kwa kufuata mkumbo kama mnavyodanganyana hapo utopoloni?

Simba ni professional club haifanyi mambo ya kukurupuka.

Hizo hela Kibu amezirudisha kwenye akaunti ya Simba lakini bado haiwezi kuvunja mkataba automatically kuna process za kufuata ili pande zote mbili zikibaliane.

Leo meneja wake amezungumza kwa kina akihojiwa Wasafi Fm amesema uongozi wa klabu ya huko Norway imeazimia kufanya mazungumzo na Simba juu ya uhamisho wa Kibu.

Kumbuka wazungu hawafanyi mambo kihuni wanafuata kanuni za kimataifa hivyo Kibu asipokuwa makini atajiharibia kote kote endapo Simba wataamua kumkazia.
Yaan Leo kaonge kiupole utadhan sio yule wa juzi
 
Back
Top Bottom