Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #41
Jibu swali kazi ya kibu ni kukaba au hujielewiIvi unajua kuwa kibu kazidiwa na che Malone tu kwenye kublock mipila na hui nikutokana na umri wake na Kasi yake ndio maana makocha walikuwa wanamtumia Kwa ajili hio
Elezea kazi ya kibu ni nini uwanjani sio unaongea mambo mengiKibu alikuwa anacheza kutokana na mpangowa kocha alikuwa anataka acheze vipi
Usitake niamina kuwa kibu alikuwa namba 9 pale Simba sc
Umesikia,Mshikaji wako Kibu tayari katema bungo huko.Ishakua rahisi Sasa mpaka klabu unalialia mtandaoni wewe unasema sio rahisi
Kibu alikuwa anacheza kutokana na mpango wa kocha alikuwa anataka acheze vipiElezea kazi ya kibu ni nini uwanjani sio unaongea mambo mengi
Sasa ukichukua milioni 400 kwa mtu mwenye Trilioni 4, si kama nauli ya Mbagala tu hiyo? Umekasirika Kibu kupata hela?Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.
Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.
Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
Acha uongo kibu ni garasa mbumbumbu hamnaga akili siwezi shagaa ukiongea utumbo kama huu sababu wewe ni mbumbumbuKibu alikuwa anacheza kutokana na mpango wa kocha alikuwa anataka acheze vipi
Na sio wewe unavyo taka usikalili
Sawa Garasa kibu yupo Norwei kaenda Fanya majalibio kwenye clab ya ligi kuuAcha uongo kibu ni garasa mbumbumbu hamnaga akili siwezi shagaa ukiongea utumbo kama huu sababu wewe ni mbumbumbu
Sawa Garasa kibu yupo Norwei kaenda Fanya majalibio kwenye clab ya ligi kuu
Umeona ulivyo mbumbumbu mchezaji wa maana huwa anafanyiwa majaribio aisee🤣🤣🤣🤣🤣Sawa Garasa kibu yupo Norwei kaenda Fanya majalibio kwenye clab ya ligi kuu
Unapo ambiwa ligi kuu ya Norwei uwe unaelewaUmeona ulivyo mbumbumbu mchezaji wa maana huwa anafanyiwa majaribio aisee🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni mweh,u niishie kusema hivyo.Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.
Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema yeye ni Mkongo kwahiyo yupo kama mkimbizi amekimbia vita ya Kongo.
Hii inaitwa wajinga ndio waliwao
Manake kila timu itakayokutana na Simba lazima umauti uikute.Sanda fc
Ngoja tuone...Manake kila timu itakayokutana na Simba lazima umauti uikute.
Hiyo ni siri nimekuibia ya hilo neno 'sanda'.
Yaan Leo kaonge kiupole utadhan sio yule wa juziWewe ni mweh,u niishie kusema hivyo.
Unadhani Simba wanasajili kwa kufuata mkumbo kama mnavyodanganyana hapo utopoloni?
Simba ni professional club haifanyi mambo ya kukurupuka.
Hizo hela Kibu amezirudisha kwenye akaunti ya Simba lakini bado haiwezi kuvunja mkataba automatically kuna process za kufuata ili pande zote mbili zikibaliane.
Leo meneja wake amezungumza kwa kina akihojiwa Wasafi Fm amesema uongozi wa klabu ya huko Norway imeazimia kufanya mazungumzo na Simba juu ya uhamisho wa Kibu.
Kumbuka wazungu hawafanyi mambo kihuni wanafuata kanuni za kimataifa hivyo Kibu asipokuwa makini atajiharibia kote kote endapo Simba wataamua kumkazia.