Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
 
Sio rahisi namna unavyowaza hebu wewe jaribu kuomba hata 1000 hapa jf uone kama utatumiwa, maana yake ukiona mwanaume anatuma pesa kwa mwanaume mwenzake Kuna kitu Tena si kidogo, acha kuwaza kinyume, utafika mbali
 
Kujaribu kupambana na mashabiki wa Simba wasiitike Simba inapowahitaji itakutesa tu mkuu. Bora ukanywe zako supu.
Ndio sababu ni mbumbumbu lazima wapigwe na maneno haya ndio viongozi huyapenda sana sababu ulitaka kupiga mbumbumbu wewe wahamasishe tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sio rahisi namna unavyowaza hebu wewe jaribu kuomba hata 1000 hapa jf uone kama utatumiwa, maana yake ukiona mwanaume anatuma pesa kwa mwanaume mwenzake Kuna kitu Tena si kidogo, acha kuwaza kinyume, utafika mbali
Mbumbumbu wajinga ndio waliwao tuma pesa hiyo na baadae utume tena hahahaha 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…