Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Mimi nilitegemea utaonesha huo utapeli wa simba uko wapi ili uthibitishe kuwa kweli mashabiki wa simba ni wajinga ila inaonesha wewe ndiye mpumbavu, kwahiyo yanga ikipitisha bakuli ni timu ya wananchi ila simba ikipitisha bakuli inafanya utapeli kwa mashabiki wake, halafu aliyekuambia mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani kwanza unajua mo anagharamika kiasi gani kwa simba au ndio eymael ajengewe sanamu lake
 
Mimi nilitegemea utaonesha huo utapeli wa simba uko wapi ili uthibitishe kuwa kweli mashabiki wa simba ni wajinga ila inaonesha wewe ndiye mpumbavu, kwahiyo yanga ikipitisha bakuli ni timu ya wananchi ila simba ikipitisha bakuli inafanya utapeli kwa mashabiki siyo, halafu aliyekuambia mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani kwanza unajua mo anagharamika kiasi gani kwa simba au ndio eymael ajengewe sanamu lake
Yanga Sasa hivi imeshavuka kwenye huo ujinga wa kutapeli wajinga wasiojielewa huwezi kuona bakuli yanga zaidi mashabiki wanaenda kunywa supu tu sababu tajiri yupo Sasa simba tajiri yupo ila Kuna wajinga wanachangia eti wanajiita simba damu kumbe wajinga damu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mpira ni biashara nzuri sana.
Kwanini nasema ni biashara nzuri?
Kwasababu ni biashara inayofanywa kati ya wajinga na werevu.
Kwani mabilioni wanayolipwa na CAF miaka yote yanakwenda wapi?
Pesa za viingolio ziko wapi?
Pesa za app ziko wapi?
Pesa za kuuza wachezaji ziko wapi?
Pesa za mauzo ya jezi ziko wapi?
 
Mpira ni biashara nzuri sana.
Kwanini nasema ni biashara nzuri?
Kwasababu ni biashara inayofanywa kati ya wajinga na werevu.
Kwani mabilioni wanayolipwa na CAF miaka yote yanakwenda wapi?
Pesa za viingolio ziko wapi?
Pesa za app ziko wapi?
Pesa za kuuza wachezaji ziko wapi?
Pesa za mauzo ya jezi ziko wapi?
Wajinga ndio waliwao sababu vurugu za uwanjani za mashabiki timu lazima iwajibike sababu ni mashabiki wao. A wanalipia viingilio wananunua jezi wanawashangilia mpaka wanapata mafanikio wanalipia app wanafanya Kila kitu Ili timu iwe na brand kubwa Cha ajabu Leo hii wanachangishwa au ndio viongozi wanapenda tu timu ikiingiza mamilioni ila kwenye hasara wanawaangushia zigo mashabiki hahahahahah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yanga Sasa hivi imeshavuka kwenye huo ujinga wa kutapeli wajinga wasiojielewa huwezi kuona bakuli yanga zaidi mashabiki wanaenda kunywa supu tu sababu tajiri yupo Sasa simba tajiri yupo ila Kuna wajinga wanachangia eti wanajiita simba damu kumbe wajinga damu🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nimekuuliza hivi aliyekuambia kwamba mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani unaanza kuniletea habari za supu za vibudu, hebu wewe nenda kwa tajiri yoyote unayemfahamu kamuombe hata laki tu bila sababu yoyote uone kama atakupa, kwahiyo mo kushindwa kutoa hiyo hela ndio inaondoa ukweli kwamba yeye ni tajiri anayetambulika africa je huyo tajiri wenu kamzidi nini mo
 
Mimi nimekuuliza hivi aliyekuambia kwamba mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani unaanza kuniletea habari za supu za vibudu, hebu wewe nenda kwa tajiri yoyote unayemfahamu kamuombe hata laki tu bila sababu yoyote uone kama atakupa, kwahiyo mo kushindwa kutoa hiyo hela ndio inaondoa ukweli kwamba yeye ni tajiri anayetambulika africa je huyo tajiri wenu kamzidi nini mo
Hiyo ni kazi yake tajiri sababu ameshaamua kuingia kwenye taasisi hasara na faida ni juu yake naona kama kichwani hazimo kwahiyo unataka yeye apate faida tu hasara kama hizo asipate wakati faida akipata anachekelea meno 32 nje kweli rage yupo sahihi kuwaita mbumbumbu
 
Hiyo ni kazi yake tajiri sababu ameshaamua kuingia kwenye taasisi hasara na faida ni juu yake naona kama kichwani hazimo kwahiyo unataka yeye apate faida tu hasara kama hizo asipate wakati faida akipata anachekelea meno 32 nje kweli rage yupo sahihi kuwaita mbumbumbu
Sasa kwani wewe ni mhasibu wake hadi ujue kwamba huwa anapata faida tu hapati hasara, wewe unajua toka ameanza kuwekeza simba amepata hasara mara ngapi, mashabiki wenyewe ndio wametaka kutolewe namba za kuchangia wewe kinachokuuma ni nini kama siyo wivu
 
Sasa kwani wewe ni mhasibu wake hadi ujue kwamba huwa anapata faida tu hapati hasara, wewe unajua toka ameanza kuwekeza simba amepata hasara mara ngapi, mashabiki wenyewe ndio wametaka kutolewe namba za kuchangia wewe kinachokuuma ni nini kama siyo wivu
Hasara zenyewe ndio hizi anasakizia wajinga kama nyie mumchangie hahahaha wajinga ndio waliwao muhindi nomaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wahindi ni watu wanafki sana, sio watu wa kuaminika kabisa hasa akiwa anafanya jambo na mtu mweusi.
 
Hasara zenyewe ndio hizi anasakizia wajinga kama nyie mumchangie hahahaha wajinga ndio waliwao muhindi nomaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣
Huna hoja mpumbavu wewe watu kama ninyi mkiachwa na mkikaliwa kimya ndio huwa mnajiona mna akili, lini na wapi huyo mhindi alikaa akawatangazia wanasimba wachangie hiyo hela, nimekuambia mashabiki wenyewe ndio walioomba kuchangia pita huko mitandaoni kwenye posts za simba utaona sasa wewe kinachokuwasha ni nini
 
Huna hoja mpumbavu wewe watu kama ninyi mkiachwa na mkikaliwa kimya ndio huwa mnajiona mna akili, lini na wapi huyo mhindi alikaa akawatangazia wanasimba wachangie hiyo hela, nimekuambia mashabiki wenyewe ndio walioomba kuchangia pita huko mitandaoni kwenye posts za simba utaona sasa wewe kinachokuwasha ni nini
Wajinga ndio waliwao milele hivyo we nimjinga lazima uliwe baadae utume tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Walipe, wao si ndio walifanya fujo?
Siku nyingine watakuwa na adabu
Wapigwe faini hata milioni 800
Fujo ya mashabiki inayolipa ni timu sababu mashabiki ni sehemu ya timu wananunua jezi wanalipa viingilio wnaalipia app wanalipia kadi za uanachama wanalipia visimbuzi ambavyo wadhamini wanazilipa klabu kwahiyo hao viongozi ni matapeli wapenda faida hasara wanazikimbia au hujui kama vurugu za mashabiki wanaolipa ni timu sababu timu inafaidika na uwepo wa hao mashabiki huu ni utapeli Kwa wajinga
 
20250116_100023.jpg
 
Back
Top Bottom