Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Ndio sababu ni mbumbumbu lazima wapigwe na maneno haya ndio viongozi huyapenda sana sababu ulitaka kupiga mbumbumbu wewe wahamasishe tu🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna mlevi alikuwa anamwambia mlevi mwenzake kunywa bia ni ujinga, hiyo hela bora ainywee pombe. Mmefanana akili kabisa.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mateso yakiisha kwenye medulla utatulia Bado dawa haijakuingia
Hahahaha tuma hela wewe Kwa tajiri mo yaani wewe kidampa unampa pesa tajiri ukiulizwa eti naipenda simba akili Gani hii 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha tuma hela wewe Kwa tajiri mo yaani wewe kidampa unampa pesa tajiri ukiulizwa eti naipenda simba akili Gani hii 🤣🤣🤣🤣🤣
Hadi ifike million 100 mbona Bado, nakushauri uanzishe campaign ya kupinga mchango wa wanasimba
 
Nipe mipango Yako ya mjini hapo ulipo na wewe utumiwe pesa Hadi izidi 100m
Ili utumiwe million 100 ni lazima uwaibie wajinga Mimi sitaki hiyo dhambi ya kuibia wajinga ambao ni mbumbumbu hawajui wanachokifanya
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna Wajinga wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Acha chuki aseh... MATAKO yako
 
Nahii njaanuary ila mbumbumbu bado wanapigwa hii haikubaliki serikali iingilie kati mbumbumbu wanaonewa bila wao kujua
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna Wajinga wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wamekuomba hata mia au ni hela zao?
Mashabiki ndio waliofanya vurugu halafu unataka nani alipe?
 
Inayochangishwa si 100mil pekee maana hawajaweka kikomo. Wao wamesema wanazikusanya tu mpaka baada ya muda fulani ndio hizo namba zitafungwa.

Kaiz kwelikweli.
 
Inayochangishwa si 100mil pekee maana hawajaweka kikomo. Wao wamesema wanazikusanya tu mpaka baada ya muda fulani ndio hizo namba zitafungwa.

Kaiz kwelikweli.
Hahahahaha aisee 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom