Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Hahahaha eti wanatuma kabisa pesa Kwa tajiri eti tunaipenda simba hahahaha kweli wajinga mtaji wa tajiri 🤣🤣🤣🤣Itakuwa naye anafaidika na bakuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha eti wanatuma kabisa pesa Kwa tajiri eti tunaipenda simba hahahaha kweli wajinga mtaji wa tajiri 🤣🤣🤣🤣Itakuwa naye anafaidika na bakuri
Kuna mlevi alikuwa anamwambia mlevi mwenzake kunywa bia ni ujinga, hiyo hela bora ainywee pombe. Mmefanana akili kabisa.Ndio sababu ni mbumbumbu lazima wapigwe na maneno haya ndio viongozi huyapenda sana sababu ulitaka kupiga mbumbumbu wewe wahamasishe tu🤣🤣🤣🤣🤣
Uzuri ni hiari kuchangia
Mateso yakiisha kwenye medulla utatulia Bado dawa haijakuingiaSina mda huo wa kupiga wajinga sababu sitaki dhambi Mimi wajinga hakuna wanalojua 🤣🤣🤣🤣
Hahahaha tuma hela wewe Kwa tajiri mo yaani wewe kidampa unampa pesa tajiri ukiulizwa eti naipenda simba akili Gani hii 🤣🤣🤣🤣🤣Mateso yakiisha kwenye medulla utatulia Bado dawa haijakuingia
Hadi ifike million 100 mbona Bado, nakushauri uanzishe campaign ya kupinga mchango wa wanasimbaHahahaha tuma hela wewe Kwa tajiri mo yaani wewe kidampa unampa pesa tajiri ukiulizwa eti naipenda simba akili Gani hii 🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda kamtumie pesa tajiri wewe wajinga ndio waliwao 🤣🤣🤣🤣🤣Hadi ifike million 100 mbona Bado, nakushauri uanzishe campaign ya kupinga mchango wa wanasimba
Ndio kula yaoHahahaha eti wanatuma kabisa pesa Kwa tajiri eti tunaipenda simba hahahaha kweli wajinga mtaji wa tajiri 🤣🤣🤣🤣
Kabisa ushabiki unafanya watu kuwa masikini 🤣🤣Ndio kula yao
Yani Hadi ifike 100m utateseka mnoNenda kamtumie pesa tajiri wewe wajinga ndio waliwao 🤣🤣🤣🤣🤣
Niteseke Kwa lipi wakati imeshafika milion 100 wajinga bado wanaendelea kuchanga mjini mipango tu 🤣🤣🤣Yani Hadi ifike 100m utateseka mno
Nipe mipango Yako ya mjini hapo ulipo na wewe utumiwe pesa Hadi izidi 100mNiteseke Kwa lipi wakati imeshafika milion 100 wajinga bado wanaendelea kuchanga mjini mipango tu 🤣🤣🤣
Ili utumiwe million 100 ni lazima uwaibie wajinga Mimi sitaki hiyo dhambi ya kuibia wajinga ambao ni mbumbumbu hawajui wanachokifanyaNipe mipango Yako ya mjini hapo ulipo na wewe utumiwe pesa Hadi izidi 100m
Acha chuki aseh... MATAKO yakoKuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna Wajinga wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wamekuomba hata mia au ni hela zao?Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna Wajinga wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wajinga lazima tuwatoe usingizini sababu hawajuo wanachokifanyaWamekuomba hata mia au ni hela zao?
Mashabiki ndio waliofanya vurugu halafu unataka nani alipe?
KabisaNahii njaanuary ila mbumbumbu bado wanapigwa hii haikubaliki serikali iingilie kati mbumbumbu wanaonewa bila wao kujua
Wajinga lazima tuwatoe usingiziniAcha chuki aseh... MATAKO yako
Hahahahaha aisee 🤣🤣🤣🤣Inayochangishwa si 100mil pekee maana hawajaweka kikomo. Wao wamesema wanazikusanya tu mpaka baada ya muda fulani ndio hizo namba zitafungwa.
Kaiz kwelikweli.