kafuta ambele
Senior Member
- Aug 7, 2017
- 184
- 515
Kaka niko nje ya mada mwanangu amepata tatizo la kuvimba uume leo asubuhi hivi saiv nimetoka job naenda om baada ya kuambiwa na wife kwamba amehisi kuna vitu vinatoka vyeupe kama usaha sasa nimevurugwa nakwenda kumchukua nimpeleke hospital nataka kujua ulitumia tiba gani kwa mwanao kama ulivyo ripoti humu mwaka 2016 kwenye uzi wako ana mwaka na nusu nae