Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umesema umeachana kushabikia Simba na Yanga, au ban imekuvuruga upya?Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba
Sasa hivi sishabikii timu za manyani chama langu arsenal tu nimejitambua kwamba ukishabikia simba na yanga unakua zombi ndio kamaa nyie hapa
Wajinga wanaendelea kupigwa mjini mipango tu utajiri unaupata Kwa wajinga hongereni viongozi wa simba nyie ni wajanja sana
Wajinga ndio waliwaoKila mtu na starehe yake
Ngoja tutoe kwani pesa si za kwetu mkuuWajinga ndio waliwao
Toa maana wajinga wanazaliwa Kila sikuNgoja tutoe kwani pesa si za kwetu mkuu
Wivu tu umekujaaKuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wajinga ndio waliwaoWivu tu umekujaa
We pesa zetu zinakuuma nini mkuuToa maana wajinga wanazaliwa Kila siku
Hatujalazimishwa...Tunawajibika Pamoja.Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Sasa ww kinakuuma nn? Viti tumevunja wenyewe tunalipa weenyewe itakayobaki viongoz wetu wanywe sodaKuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wajinga ndio waliwaoSasa ww kinakuuma nn? Viti tumevunja wenyewe tunalipa weenyewe itakayobaki viongoz wetu wanywe soda
Hawa ni wale kizazi cha 2000..hawajui kama timu yao iliwahi kupitisha bakuliMimi nilitegemea utaonesha huo utapeli wa simba uko wapi ili uthibitishe kuwa kweli mashabiki wa simba ni wajinga ila inaonesha wewe ndiye mpumbavu, kwahiyo yanga ikipitisha bakuli ni timu ya wananchi ila simba ikipitisha bakuli inafanya utapeli kwa mashabiki wake, halafu aliyekuambia mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani kwanza unajua mo anagharamika kiasi gani kwa simba au ndio eymael ajengewe sanamu lake
Wajinga ndio mliwaoHawa ni wale kizazi cha 2000..hawajui kama timu yao iliwahi kupitishwa makuli
Walitaka tuwe maboya kama wao..yaani tupigwe tuwaangaliw tu..ndio maana wao kule Lubumbashi hadi walitiwa vidole pale kwenye mwiko.Sasa ww kinakuuma nn? Viti tumevunja wenyewe tunalipa weenyewe itakayobaki viongoz wetu wanywe soda
Tafuta kazi ya kufanya lasivyo utakua mtaji wa wajanja siku zote🤣🤣🤣Walitaka tuwe maboya kama wao..yaani tupigwe tuwaangaliw tu..ndio maana wao kule Lubumbashi hadi walitiwa vidole pale kwenye mwiko.
Mkuu mbona kama imekuuma sana?? 😁😁😁 mashabiki wa simba ndio waliofanya vurugu na kung'oa viti, club imepewa adhabu..mashabiki wenyewe wameomba walipe hilo deni na club ikaweka utaratibu ila unaibuka wewe mganga njaa kujiliza humu Jf, pia ni hiyari hajalazimishwa mtu. Ikikupendeza na wewe changia hata 500/= sio kushabikia tu na kung'oa vitiKuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wajinga ndio mliwao unashindwa kujua kati ya shabiki au chawaMkuu mbona kama imekuuma sana?? 😁😁😁 mashabiki wa simba ndio waliofanya vurugu na kung'oa viti, club imepewa adhabu..mashabiki wenyewe wameomba walipe hilo deni na club ikaweka utaratibu ila unaibuka wewe mganga njaa kujiliza humu Jf, pia ni hiyari hajalazimishwa mtu. Ikikupendeza na wewe pitisha bakuli 🤣