Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba
Si umesema umeachana kushabikia Simba na Yanga, au ban imekuvuruga upya?

Sasa hivi sishabikii timu za manyani chama langu arsenal tu nimejitambua kwamba ukishabikia simba na yanga unakua zombi ndio kamaa nyie hapa

1737024334347.png
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wivu tu umekujaa
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Hatujalazimishwa...Tunawajibika Pamoja.
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Sasa ww kinakuuma nn? Viti tumevunja wenyewe tunalipa weenyewe itakayobaki viongoz wetu wanywe soda
 
Mimi nilitegemea utaonesha huo utapeli wa simba uko wapi ili uthibitishe kuwa kweli mashabiki wa simba ni wajinga ila inaonesha wewe ndiye mpumbavu, kwahiyo yanga ikipitisha bakuli ni timu ya wananchi ila simba ikipitisha bakuli inafanya utapeli kwa mashabiki wake, halafu aliyekuambia mtu akiwa tajiri ndio anatakiwa agawe tu hela hovyo ni nani kwanza unajua mo anagharamika kiasi gani kwa simba au ndio eymael ajengewe sanamu lake
Hawa ni wale kizazi cha 2000..hawajui kama timu yao iliwahi kupitisha bakuli
 
Sasa ww kinakuuma nn? Viti tumevunja wenyewe tunalipa weenyewe itakayobaki viongoz wetu wanywe soda
Walitaka tuwe maboya kama wao..yaani tupigwe tuwaangaliw tu..ndio maana wao kule Lubumbashi hadi walitiwa vidole pale kwenye mwiko.
 
Walitaka tuwe maboya kama wao..yaani tupigwe tuwaangaliw tu..ndio maana wao kule Lubumbashi hadi walitiwa vidole pale kwenye mwiko.
Tafuta kazi ya kufanya lasivyo utakua mtaji wa wajanja siku zote🤣🤣🤣
 
Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi

Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli

Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Mkuu mbona kama imekuuma sana?? 😁😁😁 mashabiki wa simba ndio waliofanya vurugu na kung'oa viti, club imepewa adhabu..mashabiki wenyewe wameomba walipe hilo deni na club ikaweka utaratibu ila unaibuka wewe mganga njaa kujiliza humu Jf, pia ni hiyari hajalazimishwa mtu. Ikikupendeza na wewe changia hata 500/= sio kushabikia tu na kung'oa viti
 
Mkuu mbona kama imekuuma sana?? 😁😁😁 mashabiki wa simba ndio waliofanya vurugu na kung'oa viti, club imepewa adhabu..mashabiki wenyewe wameomba walipe hilo deni na club ikaweka utaratibu ila unaibuka wewe mganga njaa kujiliza humu Jf, pia ni hiyari hajalazimishwa mtu. Ikikupendeza na wewe pitisha bakuli 🤣
Wajinga ndio mliwao unashindwa kujua kati ya shabiki au chawa
 
Back
Top Bottom