HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Siasa si uadui kuna keshoSiasa za Bongo, ni pasua kichwa.
Uana harakati ndo una uadui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa si uadui kuna keshoSiasa za Bongo, ni pasua kichwa.
Wale wanaoamini siasa ni vita hapa watakwambia Mbowe ni msaliti mbona alikuwa a akina Sabaya🤣🤣Kuwa mjanja kidogo, hata sabaya na basite walikuwa wakikutana na mbowe. Kwa hiyo unataka kusema mbowe alikua akielewana nao?
View attachment 2261056
EeeeeenHeeee!
Kuwa mjanja kidogo, hata sabaya na basite walikuwa wakikutana na mbowe. Kwa hiyo unataka kusema mbowe alikua akielewana nao?
View attachment 2261056
Walitakiwa wapigane kwenye picha?
Utaimba sana wimbo huyo bila ya kuelewa maana yake ni nini!Siasa sio uadui
Tulia wewe tulambe asali sisi
Mbowe hadi anapiga picha na mwenyekiti wako Samia sembuse kupiga picha na Zitto ??Mwenyekiti anakaaje na pandikizi la ccm?
Wale mnatukana zito mnajisikiaje mkiona mwenyekiti wenu akiwa pamoja nae?
Msikariri maisha.Hahaha! Umeuliza swali katili Sana.
Jibu la swali lako ni hapana.
Tulitegemea wasipige picha ya pamoja tena wakiwa bashasha 100%
Mbowe hadi anapiga picha na mwenyekiti wako Samia sembuse kupiga picha na Zitto ??
Umesema jina lako ni nani tena??
Una uhakika umepata kifungua kinywa?Katika hyo picha mtoe MBOWE muweke Samia
Hapo ndo ungeona akili za vijana wa chadema zilipokalia.
Ila kwa kuwa zito kapiga picha na mwenyekiti wa nyumbu FRESH TU
Chichiemu mia Kwa kamanda mmoja🏋️
Naomba tumtambue huyu kamanda Kwa jina,na Mahali alipo hivi Sasa.
Hahahaha jamaa alibaki salama nampata huyo jamaaHuyo mzee wa mwisho kulia na hilo jiwe, sidhani kama huyo jamaa wa chadema aliachwa salama 😁😁
Haya huyawezi wewe! tena wa hivi wanakuwaga wa sweety kinoma!!! bidaye wanakula meza moja hakuna visasi huko ndo sifa yao kubwa!! ila sometimes ukilegea kisiasa unakufa kisiasa kwa mauaji ya kisiasa km shabiki waa mpira!!Siasa si uadui kuna kesho
Kumbe leo ndiyo umejua hili [emoji848][emoji4]
Kuna kipind niliona Uzi humu wa tanzia kwamba jamaa kafarikiNaomba tumtambue huyu kamanda Kwa jina,na Mahali alipo hivi Sasa.