Wajinga ndiyo wanaoparurana mitandaoni. Wenzenu wanacheka na kumwagilia mioyo wakikutana

Wajinga ndiyo wanaoparurana mitandaoni. Wenzenu wanacheka na kumwagilia mioyo wakikutana

Kuna kipind niliona Uzi humu wa tanzia kwamba jamaa kafariki
Usikute ni mhanga waliokuwa waki mpopoa mawe kama nyoka?Mwenye taarifa kamili atujulishe japo tumjulie Hali kama bado Yuu hai,au kama kweli ametutoka japo tumtakie kheri.
 
Kuwa mjanja kidogo, hata sabaya na basite walikuwa wakikutana na mbowe. Kwa hiyo unataka kusema mbowe alikua akielewana nao?
View attachment 2261056......
Nimemuona Kasesela nikakumbuka alivyomwambia yule jamaa tuliza naniliu 🤣🤣🤣 Nchi hii Ina watu ........hao wote walikuwa majembe ya jeipiemu ila saizi Kwa Sa100 wote out
 
Back
Top Bottom