Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Kama ni muziki wa mapambia then ingekuwa nimetoa albums 10!.Mapambio ya Mzee Pascal Mayalla
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni muziki wa mapambia then ingekuwa nimetoa albums 10!.Mapambio ya Mzee Pascal Mayalla
It's true nimejikuta napenda kufundisha.Wito wako ni kuwa Mwalimu - hii ndo fani yako mkuu
Kutokushirikisha watu kwenye utungaji wa katiba hakuifanyi katiba kuwa batili, ubatili ni jambo lolote la kisheria ambalo ni kinyume cha sheria.Katiba ya nchi hii ya Tanzania ni BATILI KWA UJUMLA WAKE kwa sababu Kuu Moja tu kwamba MCHAKATO WOTE KABISA WA UTUNGWAJI WAKE NA UANDAAJI WA KATIBA HIYO HAUKUPATA RIDHAA YA UMMA WA WANANCHI WA NCHI HII YA TANZANIA. Umma wa Wananchi wa nchi hii ya Tanzania KAMWE haukuwahi kushirikishwa kuhusu kutungwa kwa Katiba hii iliyopo hivi sasa.
Hata mchakato wa katiba ya Warioba ungetupatia bora katiba na sio katiba bora!. Mchakato huu wa Katiba ni umasikini wetu. Tujikubali, tuukubali, tuupigie kura ya ndioKasoro hii kubwa iliyopo kwenye Katiba ya nchi hii Kamwe HAIREKEBISHIKI.
Njia pekee iliyopo ili kuepukana na kasoro hiyo ni moja tu, nayo ni Kutunga Katiba Mpya ambayo Mchakato wake wa Utungaji Utashirikisha Umma wa Wananchi wengi zaidi katika nchi hii ya Tanzania.