Kasoro hii kubwa iliyopo kwenye Katiba ya nchi hii Kamwe HAIREKEBISHIKI.
Njia pekee iliyopo ili kuepukana na kasoro hiyo ni moja tu, nayo ni Kutunga Katiba Mpya ambayo Mchakato wake wa Utungaji Utashirikisha Umma wa Wananchi wengi zaidi katika nchi hii ya Tanzania.