Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wewe na hao waisilamu wako (kama wapo) wote mmejichanganya.

Masjid al aqsa ni eneo kama unavyo sema kinondoni,

Waisilamu hawa swali kwenye Dome of the rock, wanaswali kwengine, na dome of the rock imejengwa mtume Ameshafariki, na Hilo eneo lilikuwa takatifu toka kipindi cha mtume hivyo haimake sense kwa jengo jipya kuwa ni msikiti wa al aqsa hali ya kuwa mitume wa zamani wametumia.

Ushahidi nakupa hii picha
thumbs_b_c_318ed6db8923ceb5f0c9c14304cb624e.jpg


Hao ni waisilamu wanaswali AL Aqsa wameipa mgongo dome of the rock, kwa mbali unaona dome of the rock. Hivyo dome of the rock sio masjid al aqsa kama mnavyotaka kupiga watu kamba.

Conclusion, masjid al aqsa ni eneo si jengo, waisilamu wa naenda hapo na ku swali chini kwenye michanga, Dome of the rock ni Jengo.
mbona alichosema mtoa mada na ww ni tofauti,like kama umekurupuka
 
mbona alichosema mtoa mada na ww ni tofauti,like kama umekurupuka
Mtoa mada Ana accuse kupitia Dome, kwetu sisi msikiti wa al Aqsa sio jengo (hilo dome) Bali ni hio ardhi yote.

Wewe moja kwa moja unafikiria Sababu unaitwa msikiti wa al aqsa ni jengo, ndio hapo wewe na mtoa mada mnapokosea, AL aqsa ni eneo kama ilala knondoni Temeke etc na si jengo, sijui unaelewa.?

Ndio maana nikaleta ushahidi wa picha kuonesha watu wakiswali eneo la wazi na sio kwenye Hilo jengo.

Take your time Google Islam pray Al aqsa utaona picha zote watu Wana swali sehemu nyengine na sio hapo kwenye dome.
 
msikiti wa AL AQSA umejengwa lin na nan aliujenga,
AL aqsa Una stori ndefu, ni eneo takatifu muda mrefu, kwa mafundisho ya Kiisilamu umejengwa kipindi cha Nabii Ibrahim, tofauti ya Masjid AL aqsa na Msikiti wa Makka ni miaka 40, kwa hadith hii

Abu Dharr (may Allaah be pleased with him) who said: “I said, ‘O Messenger of Allaah, which mosque was built on earth first?’ He said, ‘Al-Masjid al-Haraam [in Makkah].’ I said, ‘Then which?’ He said, ‘Al-Masjid al-Aqsa.’ I said, ‘How much time was there between them?’ He said, ‘Forty years.

Then Nabii Suleiman akaja kuujenga tena Sunan al-Nasaa’i (693)
"When Sulaiman bin Dawud finished building Bait Al-Maqdis, he asked Allah for three things: Judgement that was in harmony with His judgement, and he was given that. And he asked Allah for a dominion that no one after him would have, and he was given that. And when he finished building the Masjid he asked Allah, the Mighty and Sublime, that no one should come to it, intending only to pray there, but he would emerge free of sin as the day his mother bore him."

Then baadae Tena Umar (as) akaja kuukomboa msikiti, kipindi hiki ndio wakristo waliufanya kama dampo la uchafu, Sababu wayahudi walikuwa wakiabudia hapa, alivyoukomboa ndio akatafuta eneo ambalo halijaathiriwa na uchafu, msome Ulamaa wetu Hapa

Shaykh al-Islam Ibn Taymiyah (may Allaah have mercy on him) in Majmoo’at al-Rasaa’il al-Kubra, 2/61: “Al-Masjid al-Aqsa is the name for the whole of the place of worship built by Sulaymaan (peace be upon him). Some people started to give the name of al-Aqsa to the prayer-place which was built by ‘Umar ibn al-Khattaab in front of it. Praying in this prayer-place which ‘Umar built for the Muslims is better than praying in the rest of the mosque, because when ‘Umar conquered Jerusalem there was a huge garbage dump on the rock, since the Christians wanted to show their scorn for the place towards which the Jews used to pray. So ‘Umar issued orders that the filth be removed and he said to Ka’b: ‘Where do you think we should build a place of prayer for the Muslims?’ He said, ‘Behind the rock.’ He said, ‘O you son of a Jewish woman! Are influenced by your Jewish ideas! Rather I will build it in front of it.’

Hapa sasa ndio ukaona hio picha waisilamu wanaswalia kwa mbele ya Dome of the rock kama picha zinavyoonesha.
4ee793eb15189001b3c2627efb81d01e.jpg


Jengo kama jengo lilijengwa na Abd al-Malik ibn Marwan kama miaka 1500 iliopita.
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143
Ajabu umeandika uongo mwanzo mwisho. Kijana historia inataka chain (sanadi) hujatupa sanadi.

Nakuja kuendelea hapa nilipoishia...
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143
Hii inatusaidia nini waswahili wakati ukoloni na utumwa vilivyotutesa vilitokana na ujinga huu?
 
Unawapigia mbuzi gitaa wacheze

Hawa Waislam hawana asili ya kupenda Elimu wala Ukweli, hapa watakutukana na kukubeza sana bila kujali mwezi huu wanaouita mtukufu.

Ngoja waje wale walioshiba vizuri futari waanze kukujambia utakoma
 
Wanadai mpaka ikulu ya Tanzania ni yao mkuu
Na kudai hadi Adam na Eva walikuwa Waislam wenzao, sijui walisilimu wapi wakati aliyeleta Uislam Mtume Mudy hakuwepo

Wafuasi wa Bwn.Mudy wanachekesha sana

[emoji317][emoji317][emoji317]
 
umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before
Nani amekwambia kwamba msikiti huo umejengwa na Swahaba Umar bin al Khattab ?

Doom of Rock ilijengwa na khalifa Abd al-Malik ibn Marwaan mwaka 72 AH. Rejea kitabu "Ma'usuat fi filistiin".

Masjidi al Aqsa una mapokezi mawili,yapo masimulizi yanayosema umejengwa na nabii Suleyman hii ni kwa mujibu wa mapokezi ya Imaam an Nasai na yapo mapokezi ya Imaam al Bukhari katika sahihi yake yanasema ulijengwa kabla ya nabii Suleyman.

Sasa tupe maandiko na rejea kusadikisha unachosema.

Nipo ...
 
Unawapigia mbuzi gitaa wacheze

Hawa Waislam hawana asili ya kupenda Elimu wala Ukweli, hapa watakutukana na kukubeza sana bila kujali mwezi huu wanaouita mtukufu.

Ngoja waje wale walioshiba vizuri futari waanze kukujambia utakoma
Sasw elimu gani ameiandika hapo,kuna muda mnatakiwa msiwe vipofu wa akili na muwr mnahoji. Historia inataka chain mzee,hana chain wala marejeo ya waz hapo.

Huwezi kuwalinganisha Waislamu na wowote katika kutunza elimu na kuihakiki. Nasema tena HAKUNA.
 
Sasw elimu gani ameiandika hapo,kuna muda mnatakiwa msiwe vipofu wa akili na muwr mnahoji. Historia inataka chain mzee,hana chain wala marejeo ya waz hapo.

Huwezi kuwalinganisha Waislamu na wowote katika kutunza elimu na kuihakiki. Nasema tena HAKUNA.
Nitajie Elimu mliyoitunza inayotusaidia hivi sasa
 
Nitajie Elimu mliyoitunza inayotusaidia hivi sasa
Elimu ya Hadithi/Uhakiki wa habari na nyingine nyingi katika nyanja mbali mbali.

Sasa muulize mtoa mada habari za Swahaba Umar bin Khattab kujenga msikiti huo au hiyo Dome of Rock amezipata wapi.
 
AL aqsa Una stori ndefu, ni eneo takatifu muda mrefu, kwa mafundisho ya Kiisilamu umejengwa kipindi cha Nabii Ibrahim, tofauti ya Masjid AL aqsa na Msikiti wa Makka ni miaka 40, kwa hadith hii

Abu Dharr (may Allaah be pleased with him) who said: “I said, ‘O Messenger of Allaah, which mosque was built on earth first?’ He said, ‘Al-Masjid al-Haraam [in Makkah].’ I said, ‘Then which?’ He said, ‘Al-Masjid al-Aqsa.’ I said, ‘How much time was there between them?’ He said, ‘Forty years.

Then Nabii Suleiman akaja kuujenga tena Sunan al-Nasaa’i (693)
"When Sulaiman bin Dawud finished building Bait Al-Maqdis, he asked Allah for three things: Judgement that was in harmony with His judgement, and he was given that. And he asked Allah for a dominion that no one after him would have, and he was given that. And when he finished building the Masjid he asked Allah, the Mighty and Sublime, that no one should come to it, intending only to pray there, but he would emerge free of sin as the day his mother bore him."

Then baadae Tena Umar (as) akaja kuukomboa msikiti, kipindi hiki ndio wakristo waliufanya kama dampo la uchafu, Sababu wayahudi walikuwa wakiabudia hapa, alivyoukomboa ndio akatafuta eneo ambalo halijaathiriwa na uchafu, msome Ulamaa wetu Hapa

Shaykh al-Islam Ibn Taymiyah (may Allaah have mercy on him) in Majmoo’at al-Rasaa’il al-Kubra, 2/61: “Al-Masjid al-Aqsa is the name for the whole of the place of worship built by Sulaymaan (peace be upon him). Some people started to give the name of al-Aqsa to the prayer-place which was built by ‘Umar ibn al-Khattaab in front of it. Praying in this prayer-place which ‘Umar built for the Muslims is better than praying in the rest of the mosque, because when ‘Umar conquered Jerusalem there was a huge garbage dump on the rock, since the Christians wanted to show their scorn for the place towards which the Jews used to pray. So ‘Umar issued orders that the filth be removed and he said to Ka’b: ‘Where do you think we should build a place of prayer for the Muslims?’ He said, ‘Behind the rock.’ He said, ‘O you son of a Jewish woman! Are influenced by your Jewish ideas! Rather I will build it in front of it.’

Hapa sasa ndio ukaona hio picha waisilamu wanaswalia kwa mbele ya Dome of the rock kama picha zinavyoonesha.
4ee793eb15189001b3c2627efb81d01e.jpg


Jengo kama jengo lilijengwa na Abd al-Malik ibn Marwan kama miaka 1500 iliopita.
unaleta hadithi badala ya historia?yaani mnamsingizia ibrahimu na kujenga misikiti?

uislamu umekuja na mudy 622AD, kabla hakukuwahi kuwepo hata chembe ya uislamu, wala jengo liitwalo msikiti..hakuna historia hiyo


unaleta ushahidi wa hadithi zaa abunwasi? HISTORIA ipo wazi hadi mwakaa 70AD, majeshi ya warumi yalipouvamia, historia ya kuthibitika ipo,wewe unaleta hadith za abunuasi?
 
Sasw elimu gani ameiandika hapo,kuna muda mnatakiwa msiwe vipofu wa akili na muwr mnahoji. Historia inataka chain mzee,hana chain wala marejeo ya waz hapo.

Huwezi kuwalinganisha Waislamu na wowote katika kutunza elimu na kuihakiki. Nasema tena HAKUNA.
nani kakudanganya ikiwa hata historia tu inawakana...hakuna asiyejua jinsi historia ilivyotunzwa vzr kuhusu HEKALU la suleimani, na kubomolewa kwake mara kwa mara....


cha ajabu uislamu unadanganya watu MARA ohoo ibrahimu alijenga msikiti mara suleiman ndio kajenga, historia ipo wazi kabla ya muhamadi hapakuwahi kuwepo msikiti wala DINI inayoitwa uislamu,


HISTORIA kuhusu dini kama UHINDU, iliyokuwepo hata kabla ya yesu, hadi leo zipo, iwe uislamu wa juzi tu miaka ya 600 baada ya YESU...


hapa nitakufundisha hadi msikiti wa kwanza ulijengwa lini
 
Elimu ya Hadithi/Uhakiki wa habari na nyingine nyingi katika nyanja mbali mbali.

Sasa muulize mtoa mada habari za Swahaba Umar bin Khattab kujenga msikiti huo au hiyo Dome of Rock amezipata wapi.
kuna mwenzio hapo juu nimeona kaleta hii mambo yenu, soma uone

Shaykh al-Islam Ibn Taymiyah (may Allaah have mercy on him) in Majmoo’at al-Rasaa’il al-Kubra, 2/61: “Al-Masjid al-Aqsa is the name for the whole of the place of worship built by Sulaymaan (peace be upon him). Some people started to give the name of al-Aqsa to the prayer-place which was built by ‘Umar ibn al-Khattaab in front of it. Praying in this prayer-place which ‘Umar built for the Muslims is better than praying in the rest of the mosque, because when ‘Umar conquered Jerusalem there was a huge garbage dump on the rock, since the Christians wanted to show their scorn for the place towards which the Jews used to pray. So ‘Umar issued orders that the filth be removed and he said to Ka’b: ‘Where do you think we should build a place of prayer for the Muslims?’ He said, ‘Behind the rock.’ He said, ‘O you son of a Jewish woman! Are influenced by your Jewish ideas! Rather I will build it in front of it.’
 
nani kakudanganya ikiwa hata historia tu inawakana...hakuna asiyejua jinsi historia ilivyotunzwa vzr kuhusu HEKALU la suleimani, na kubomolewa kwake mara kwa mara....


cha ajabu uislamu unadanganya watu MARA ohoo ibrahimu alijenga msikiti mara suleiman ndio kajenga, historia ipo wazi kabla ya muhamadi hapakuwahi kuwepo msikiti wala DINI inayoitwa uislamu,


HISTORIA kuhusu dini kama UHINDU, iliyokuwepo hata kabla ya yesu, hadi leo zipo, iwe uislamu wa juzi tu miaka ya 600 baada ya YESU...


hapa nitakufundisha hadi msikiti wa kwanza ulijengwa lini
Sasa hoja yako iko wapi ? Unajua ukiambiwa Masjid al Aqsa unaelewa nini ?

Nini maana ya Hekalu mzee ni soko au sehemu ya kufanyia ibada ? Sisi Waislamu tunafata sanadi (Chain) ndiyo maana niliyo kuwekea yana chain. Sasa na wewe tuwekee marejeo yako usilete story na dibaji.
 
kuna mwenzio hapo juu nimeona kaleta hii mambo yenu, soma uone

Shaykh al-Islam Ibn Taymiyah (may Allaah have mercy on him) in Majmoo’at al-Rasaa’il al-Kubra, 2/61: “Al-Masjid al-Aqsa is the name for the whole of the place of worship built by Sulaymaan (peace be upon him). Some people started to give the name of al-Aqsa to the prayer-place which was built by ‘Umar ibn al-Khattaab in front of it. Praying in this prayer-place which ‘Umar built for the Muslims is better than praying in the rest of the mosque, because when ‘Umar conquered Jerusalem there was a huge garbage dump on the rock, since the Christians wanted to show their scorn for the place towards which the Jews used to pray. So ‘Umar issued orders that the filth be removed and he said to Ka’b: ‘Where do you think we should build a place of prayer for the Muslims?’ He said, ‘Behind the rock.’ He said, ‘O you son of a Jewish woman! Are influenced by your Jewish ideas! Rather I will build it in front of it.’
Hui ndiyo usahihi wa mambo,swahaba Umar hakujenga msikiti bali sehemu ya kusalia,sababu kulikuwa na hila iliyofanywa na mayahudi na wakristo. Lakini Masjid al Aqsa ndiyo kama alivyosema Ibn Taymiyyah (Allah amrehemu) . Sasa wewe pinga kwa hoja.
 
Sasa hoja yako iko wapi ? Unajua ukiambiwa Masjid al Aqsa unaelewa nini ?

Nini maana ya Hekalu mzee ni soko au sehemu ya kufanyia ibada ? Sisi Waislamu tunafata sanadi (Chain) ndiyo maana niliyo kuwekea yana chain. Sasa na wewe tuwekee marejeo yako usilete story na dibaji.
unaleta janja janja,et chain,yaan mnaungaunga story, ili kudanganya umma

KIJANA, uislamu na hekalu wapi na wapi


msikiti wa kwanza kujengwa duniani ni Quba Mosque

The Quba Mosque in Medina was built in 622 CE. This is the first mosque that can be accurately dated and is described in the Islamic holy book, the Quran, as the first mosque to be built on piety.


Hapo mlipovamia na kuweka msikiti wenu al aqsa, palikuwa na hekalu, historia haiongopi...
 
unaleta hadithi badala ya historia?yaani mnamsingizia ibrahimu na kujenga misikiti?

uislamu umekuja na mudy 622AD, kabla hakukuwahi kuwepo hata chembe ya uislamu, wala jengo liitwalo msikiti..hakuna historia hiyo


unaleta ushahidi wa hadithi zaa abunwasi? HISTORIA ipo wazi hadi mwakaa 70AD, majeshi ya warumi yalipouvamia, historia ya kuthibitika ipo,wewe unaleta hadith za abunuasi?
Historia isiyo kuwa na chain ni kama mazungumzo tu ya vijiweni,ndiyo maana dini zenu zinakapotoshwa sababu hazina chain.

Unajua nini kuhusu Hadithi ? Isiwe unaelewa Hadithi ya hapa ni kama zile za Esopo au Sinderela hapa tunaongelea Hadithi kwa istilahi ya kisheria.

Hakuna nabii wala Mtume wa Allah katika uso huu wa dunia ambaye hakuwa Muislamu.

Nakuacha na swali hili,Ibrahimu alikuwa ni dini gani au alikuwa anawafundisha watu nini ?
 
Hui ndiyo usahihi wa mambo,swahaba Umar hakujenga msikiti bali sehemu ya kusalia,sababu kulikuwa na hila iliyofanywa na mayahudi na wakristo. Lakini Masjid al Aqsa ndiyo kama alivyosema Ibn Taymiyyah (Allah amrehemu) . Sasa wewe pinga kwa hoja.
Yaani unataka nipinge hadith ya abunuasi, wakati historia ipo wazi hapo palikuwa na hekalu na lilivamiwa na waislamu

Waroma walijenga hapohapo hekalu kubwa kwa mungu wao Jupiter lililobomolewa baada ya ushindi wa Ukristo katika Dola la Roma.

Mara mbili kulitokea majaribio ya kujenga tena hekalu la Kiyahudi: mara ya kwanza chini ya Kaisari Julian Apostata, na mara ya pili wakati wa uvamizi wa Uajemi kwenye vita dhidi ya Bizanti mnamo 614 lakini majaribio yote yalishindikana.

Waislamu walipovamia Yerusalemu walikuta mlima wa hekalu kama mahali pa maghofu tu wakajenga hapo misikiti miwili: msikiti wa Al Aqsa pamoja na Kubba ya Mwamba.
 
Back
Top Bottom