Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

The Quba Mosque in Medina was built in 622 CE. This is the first mosque that can be accurately dated and is described in the Islamic holy book, the Quran, as the first mosque to be built on piety.
Weka ushahidi wa hiki ulichokiandika. Msikiti wa kwanza ni wa Makka rejea katika Sahihi Bukhari kisha masjid al Aqsa na mtume akasema tofauti ya umri baina ya misikiti hiyo ni miaka 40.
KIJANA, uislamu na hekalu wapi na wapi
Jiamboe wewe sasa Hekalu kwa nabii Suleyman alikuwa analifanyia nini ?
unaleta janja janja,et chain,yaan mnaungaunga story, ili kudanganya umma
Hapa kwenye "chain" ndiyo huwa mnapoteana,kama hujui nini chain,wewe endelea kujadiliana na mimi kama hutakimbia hii mada. Sisi tunataka chain,hizi hanari mnazipata wapi ? Elimu hurithishwa vizazi na vizazi.
Hapo mlipovamia na kuweka msikiti wenu al aqsa, palikuwa na hekalu, historia haiongopi..
Suleyman alikuwa dini gani ? Niambie na unipe ushahidi.

Nipo ...
 
Historia isiyo kuwa na chain ni kama mazungumzo tu ya vijiweni,ndiyo maana dini zenu zinakapotoshwa sababu hazina chain.

Unajua nini kuhusu Hadithi ? Isiwe unaelewa Hadithi ya hapa ni kama zile za Esopo au Sinderela hapa tunaongelea Hadithi kwa istilahi ya kisheria.

Hakuna nabii wala Mtume wa Allah katika uso huu wa dunia ambaye hakuwa Muislamu.

Nakuacha na swali hili,Ibrahimu alikuwa ni dini gani au alikuwa anawafundisha watu nini ?
hahaaaa huu ndio uongo ambao tunauumbua, ibrahimu na uislamu wapi na wapi, ibrahimu ni wa dini ya kiyahudi hadi kina yakobo, na wanae 12 , uislamu wa 622AD , wapi na wapi na kina ibrahimu, huu uongo ndio hatuutaki
 
Weka ushahidi wa hiki ulichokiandika. Msikiti wa kwanza ni wa Makka rejea katika Sahihi Bukhari kisha masjid al Aqsa na mtume akasema tofauti ya umri baina ya misikiti hiyo ni miaka 40.

Jiamboe wewe sasa Hekalu kwa nabii Suleyman alikuwa analifanyia nini ?

Hapa kwenye "chain" ndiyo huwa mnapoteana,kama hujui nini chain,wewe endelea kujadiliana na mimi kama hutakimbia hii mada. Sisi tunataka chain,hizi hanari mnazipata wapi ? Elimu hurithishwa vizazi na vizazi.

Suleyman alikuwa dini gani ? Niambie na unipe ushahidi.

Nipo ...
makka ilikuwa inakaliwa na wapagan... huo uislamu ulikuwepo lini

Kwahiyo LEO HEKALU ni nyumba ya ibada ya waislamu? maana twajua uislamu kaja nao mudy,Ukweli uko wazi kwenye Qur’an yenyewe (hata kama inajichanganya) kwamba Muhammad ndiye alikuwa mwanzo wa Uislamu, before mudy hakujawahi kuwepo hata dalili kama kuliwahi kuwepo dini inayoitwa uislamu, wala jengo liitwalo MSIKITI ,

suleiman ni dini ya kiyahudi akitokea moja ya makabila 12, kabila la YUDA, , moja ya dini kongwe , uislamu hata historia inauumbua , hakuwahi kuwepo kabla ya 622AD

Wale watoto 12 wa YAKOBO, walikuja kuwa makabila 12, na manabii wengi wametoka humo, hawaijui wala hawahusiki na dini ya kiislamu iliyokuja miaka 1500 BAADAE,

Dini ya ubudha tu ipo kabla ya ukristo, na historia inathibitisha, cha ajabu hakuna dalili kuliwahi kuwepo mtu wa dini ya kiislamu before 622A.D,


UNALETA HADITH ZA BUKHARI ambazo tu zimekuja kujulikana miaka 1000AD huko mudy kashakufa, ndio unataka kuthibitishia JAMBO la miaka 1300 B.C? unajitambua kweli
 
Kwa sisi weusi.kama mkaa aya tuusu sana aya natamani ya uane ya uko kubaki alone tuamie uko.

Waenga wanasema adui yako muombee njaa kwaiyo mayahudi na maarabu na yaombea yafumuane mpka kubaki.mashimo tu uko.
 
Weka ushahidi wa hiki ulichokiandika. Msikiti wa kwanza ni wa Makka rejea katika Sahihi Bukhari kisha masjid al Aqsa na mtume akasema tofauti ya umri baina ya misikiti hiyo ni miaka 40.

Jiamboe wewe sasa Hekalu kwa nabii Suleyman alikuwa analifanyia nini ?

Hapa kwenye "chain" ndiyo huwa mnapoteana,kama hujui nini chain,wewe endelea kujadiliana na mimi kama hutakimbia hii mada. Sisi tunataka chain,hizi hanari mnazipata wapi ? Elimu hurithishwa vizazi na vizazi.

Suleyman alikuwa dini gani ? Niambie na unipe ushahidi.

Nipo ...
Umeishawahi kujiuliza Maka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa? Hakukuwahi kuwepo msikiti zaidi ni ibada za UPAGANI, ambazo mudy alipoanzisha uislamu aliziingiza humo....

Watu wa kabila la Kureshi wa Maka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba.

Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu wa Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.

Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Maka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam.

Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.

Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Maka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.


Kwa muhtasari, Maka wakati wa Muhammad ulikuwa mji wenye watu toka mataifa mbalimbali. Wasabaiani (Sabaeans), na kabila la Muhammad yaani Wakureshi waliabudu sanamu mwezi iliyoitwa Al-ilah au Allah, pamoja na mabinti zake watatu


HEKALU NI NYUMBA YA IBADA YA WAYAHUDI NA HUMO NDANI MWA HEKALU KULIKUWA NA IBADA ZA KUCHINJA WANYAMA ILI KUSAMEHEWA DHAMBI,KULIKUWA NA SANDUKU LA AGANO

Swali, haya mambo yanahusihana nini na uislamu, hadi muwasingizie Wakina IBRAHIMU, MUSA, SULEIMAN walikuwa dini ya kiislamu?
Hekalu la kwanza lilijengwa na mtoto wa mfalme Daudi,Mfalme Suleimani. Lilijengwa mnamo mwaka 957 KK.

Hekalu hili likabomolewa na mfalme Nebukadreza II mnamo 586 KK.
Hekalu la pili,
Lilijengwa 536 KK -515KK baada ya uhamisho wa Babeli.

BAADAE LILIVAMIWA MWAKA 70AD, historia haiongopi, baadae WAISLAMU walivamia hapo
 
Yaani unataka nipinge hadith ya abunuasi, wakati historia ipo wazi hapo palikuwa na hekalu na lilivamiwa na waislamu

Waroma walijenga hapohapo hekalu kubwa kwa mungu wao Jupiter lililobomolewa baada ya ushindi wa Ukristo katika Dola la Roma.

Mara mbili kulitokea majaribio ya kujenga tena hekalu la Kiyahudi: mara ya kwanza chini ya Kaisari Julian Apostata, na mara ya pili wakati wa uvamizi wa Uajemi kwenye vita dhidi ya Bizanti mnamo 614 lakini majaribio yote yalishindikana.

Waislamu walipovamia Yerusalemu walikuta mlima wa hekalu kama mahali pa maghofu tu wakajenga hapo misikiti miwili: msikiti wa Al Aqsa pamoja na Kubba ya Mwamba.
Shida yako huna marejeo,unaandika kama unahadithia wenzako kijiweni.

Hadithi za Abunuwas zikoje na unazitofautishaje na Hadithi za Mtume,maana katika Hadithi za mtume zinaelezea mambo ya Historia na nukuu niliyo kuwekea ni hadithi ya Mtume katika kuelezea Historia ya ujengwaji wa msikiti wa al Aqsa.

Naona ulichokitarajia sicho.

Tuendelee....
 
hahaaaa huu ndio uongo ambao tunauumbua, ibrahimu na uislamu wapi na wapi, ibrahimu ni wa dini ya kiyahudi hadi kina yakobo, na wanae 12 , uislamu wa 622AD , wapi na wapi na kina ibrahimu, huu uongo ndio hatuutaki
Safi kabisa,nakuonyesha kama wewe hujui chochote katika historia.

Asili ya jina Uyahudi limetokana na nini na wapi na lini uyahudi ulijulikana...?

Pili,Yakobo ni mjukuu wa nabii Ibrahimu ambaye alimzaa nabii Is'haqa. Sasa nionyeshe kama Uyahudi ulikuwepo tu kipindi cha nabii Yusufu au baba yake Yakobo achilia mbali kipindi cha baba yetu wa Imani Ibrahimu,huko mbali sana.

Kisha utaniambia nini maana ya Uislamu.

Nipo ...
 
makka ilikuwa inakaliwa na wapagan... huo uislamu ulikuwepo lini
Hii ilikuwa lini ? Bado tunaduru katika Historia,nataka nikuonyeshe Historia sahihi ni ile yenye "chain".
Kwahiyo LEO HEKALU ni nyumba ya ibada ya waislamu? maana twajua uislamu kaja nao mudy,Ukweli uko wazi kwenye Qur’an yenyewe (hata kama inajichanganya) kwamba Muhammad ndiye alikuwa mwanzo wa Uislamu, before mudy hakujawahi kuwepo hata dalili kama kuliwahi kuwepo dini inayoitwa uislamu, wala jengo liitwalo MSIKITI ,
Usiniulize swali ambalo unapaswa kujibu wewe,hekalu ni nini ? Ni kanisa ? Au hekalu ni soko ?

Huwa najiuliza inakuwaje mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo ?

Uislamu umegawanyika sehemu kuu mbili :

1. Uislamu wa ujumla huu ni ule ambao mitume na manabii wote waliufundisha ya kwamba aabudiwe Mola peke yake wala wasimshirikishe na chochote na kuwapiga vita mataghuti na washirikina kwa hali zao zote. Mafundisho haya yalifundishwa na mitume wote na manabii,ndiyo kuanzia Nuhu mpaka Mtume muhammad imani yao ilikuwa moja.

2. Kuna Uislamu maalumu ambao huu amekuja nao Mtume Muhammad.
suleiman ni dini ya kiyahudi akitokea moja ya makabila 12, kabila la YUDA, , moja ya dini kongwe , uislamu hata historia inauumbua , hakuwahi kuwepo kabla ya 622AD
Usipate shida kijana,thibitisha wapi Suleyman alikuwa myahudi,sababu Uyahudi ulilaaniwa kwa ulimi wa Yesu (Issa) na ulimi wa Dawood (Baba yake Suleyman).

Ukinithibitishia ya kuwa Suleyman alikuwa Myahudi kiimani mimi nitakuwa Myahudi.
Wale watoto 12 wa YAKOBO, walikuja kuwa makabila 12, na manabii wengi wametoka humo, hawaijui wala hawahusiki na dini ya kiislamu iliyokuja miaka 1500 BAADAE,
Wewe niambie tu lini Uyahudi ulianza na nani alikuwa wa mwanzo katika dini hii. Hizi stori nyingine hazina maana hapa,sababu hazielezei chimbuko la Uyahudi.
UNALETA HADITH ZA BUKHARI ambazo tu zimekuja kujulikana miaka 1000AD huko mudy kashakufa, ndio unataka kuthibitishia JAMBO la miaka 1300 B.C? unajitambua kweli
Ushawahi kukisoma hicho kitabu kwanza ? Ukweli uko hivi baada ya Qur'aan kwa usahihi hakuna kitabu kinazidi sahihi Bukhari kwa usahihi,kusanya vitabu vyote mpaka vya Sayansi hakuna duniani.

Sasa unatakiwa ujiuliza Bukhari ni nani na alikusanya vipi hizo hadithi je aliota au ilikuwaje kisha uje kujadiliana na mimi kuhusu Hadithi. Elimu yake ni elimu yenye sharafu.

Ndiyo maana sisi tunataka chain,Bukhari alikuwa na chain inayofika mpaka kwa mtume kupitia watu walio waona wanafunzi wa mtume mpaka walio muona mtume. Leo hii hapo ulipo unaamini ya kuwa Isaac Newton alikuwepo lakini tukikuuliza unamjua yeyote aliyemuona Newton na akatupasha sisi habari mpaka kufika leo hii,swali hili huwezi kujiuliza zaidi ya kukariri nw kufurahia stori za Sayansi,lakini huki kwetu lazima tumjue nani amesimulia toka kwa nani mpaka inafika kwa wa kwanza. Hii ndiyo Elimu ya Haidithi.

Tuendelee...
 
HEKALU NI NYUMBA YA IBADA YA WAYAHUDI NA HUMO NDANI MWA HEKALU KULIKUWA NA IBADA ZA KUCHINJA WANYAMA ILI KUSAMEHEWA DHAMBI,KULIKUWA NA SANDUKU LA AGANO
Safi kabisa,sasa tuthibitishie ya kuwa Suleyman ni Myahudi.
Umeishawahi kujiuliza Maka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa? Hakukuwahi kuwepo msikiti zaidi ni ibada za UPAGANI, ambazo mudy alipoanzisha uislamu aliziingiza humo....
Siyo kwamba nimeshawahi,sema nikwambie hizi habari utazipata wapi. Vitabu vya historia ya Uislamu vimeelezea haya yote,rejea kitabu "Al Bidayah wa an Nihayah" cha Imaam Ibn Kathiri.

Rejea kadhalika kitabu "Tarekh al Kabiir" cha Imaam al Bukhari na vitabu vingine katika historia. Kadhalika rejea kitabu "Mu'ujam al Buldan" cha Yakut.
 
hahaaaa huu ndio uongo ambao tunauumbua, ibrahimu na uislamu wapi na wapi, ibrahimu ni wa dini ya kiyahudi hadi kina yakobo, na wanae 12 , uislamu wa 622AD , wapi na wapi na kina ibrahimu, huu uongo ndio hatuutaki
Unaweza kuthibitisha kuwa Ibrahim ni wa dini ya kiyahudi kimaandiko?
 
Na kudai hadi Adam na Eva walikuwa Waislam wenzao, sijui walisilimu wapi wakati aliyeleta Uislam Mtume Mudy hakuwepo

Wafuasi wa Bwn.Mudy wanachekesha sana

[emoji317][emoji317][emoji317]
Kama unakataa Adam na Eva walikuwa sio waislamu, bila Shaka unayo majibu walikuwa watu wa dini tofauti ebu tumbie walikuwa wa dini gani?
 
Unawapigia mbuzi gitaa wacheze

Hawa Waislam hawana asili ya kupenda Elimu wala Ukweli, hapa watakutukana na kukubeza sana bila kujali mwezi huu wanaouita mtukufu.

Ngoja waje wale walioshiba vizuri futari waanze kukujambia utakoma
Kujamba ni maumbile, labda wewe umekosa ladha hiyo pole sanaaaaaaa, ukweli huonekana haulazimishwi
 
unaleta hadithi badala ya historia?yaani mnamsingizia ibrahimu na kujenga misikiti?

uislamu umekuja na mudy 622AD, kabla hakukuwahi kuwepo hata chembe ya uislamu, wala jengo liitwalo msikiti..hakuna historia hiyo


unaleta ushahidi wa hadithi zaa abunwasi? HISTORIA ipo wazi hadi mwakaa 70AD, majeshi ya warumi yalipouvamia, historia ya kuthibitika ipo,wewe unaleta hadith za abunuasi?
Tatizo LA nyie jamaa hamsomi vitabu vyenu, mngekuwa mnasoma msingekuwa clueless hivi,

Hao mitume waliopita walikuwa wapoje? Walihubiri nini na Mtume Muhammad kahubiri nini? Na Leo waisilamu wanafanya nini?

Waisilamu Leo wamekuwa watu wanao Fuata Maelekezo ya yesu kushinda nyie mnaofuata dini ya tamaa.

Mpaka sasa hivi hujaleta ushahidi wowote wa kupinga nilicholeta mimi hapa, nimekuwekea hadi picha kwamba Dome of rock sio AL aqsa pekee kama mnavyoclaim.

Nakuletea ushahidi mwengine toka maandiko ya kiyahudi ambayo Yana lingana na maandiko ya kiisilamu

Lete na wewe ushahidi otherwise ukae kimya maana porojo hazisaidii
 
Nitajie Elimu mliyoitunza inayotusaidia hivi sasa
Vitu vingi vya mathematics, physics na chemistry asili yake ni uislamu na ndio maana ukisoma Kemia mambo mengi yanaanzi wa na AL ambayo kiarabu ni The, vitu kama Alchemy, Alkaline etc.

Juzi tu Hapa Unesco wamekubali kwamba University ya kwanza kutoa Degree ni invention ya Bibie Fatma huko Morocco toka Karne ya 9,

Leo katika ulimwengu wa kutoa Elimu kuna kitu bora kuliko Vyuo vya Elimu na maabara za Tafiti? Mbona vyote hivi ni legacy za waisilamu?
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143
Galatia lisilo na akili hili hapa
 
Back
Top Bottom