Wajuba msaada kwenye bajeti

oh kumbe skuhzi kuna gari hazili mafuta zinakula nn sasa. hebu acheni kutishia vijana washaurini wanunue magari yenye injini kubwa waenjoy maisha
 
Tumia baiskeli upunguze gharama za mafuta.
 
Wazazi huwatumiagi pesa hiyo unaweka humu kuturidhisha kukwepa mashambulizi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Achana na 80k mkuu, 50k unapata chumba cha master saaafi kabisa... Kikubwa na chenye kila kitu ndani...

Limtu liko single unaenda kukaa nyumba ya 250k ya nini? Kwani una wakwe kwamba atakuja kukutembelea wakose pa kulala?😂😂
Hapa nakaa chumba cha laki ambacho ni master na jiko,so nikipanga cha 50k ni kurudi nyuma kimaisha
 
Umeandika point tupu mkuu ila tatizo mwandiko wako unachosha kusoma..utadhani umeandika shairi bana!!

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wanafikiri maisha ni siku moja au yataisha Leo ndio maana wanataka kuyatumia vilivyo.

Nunua Gari ndogo Kwa kijana Mdogo, isiyokula Mafuta...
Ankali ROBERT HERIEL kuna wakati unafikiria mbali sana

Kumbe hua kuna kufukuzwa kazi alimaarufu km redundancy ikikumba imekukumba

Nimechukua notice tayari hili somo nmeweka kwenye kumbukumbu zangu mkuu

COMPreNde
😊
 
Mkuu nimekuuliza kazi yako Ina amgalau per diem hapa katikati.
 
Inaon Inaonekana kufanya saving ni ngumu kwa watu wengi
 
Ankali ROBERT HERIEL kuna wakati unafikiria mbali sana

Kumbe hua kuna kufukuzwa kazi alimaarufu km redundancy ikikumba imekukumba

Nimechukua notice tayari hili somo nmeweka kwenye kumbukumbu zangu mkuu

COMPreNde
😊

Mbali na hivyo kuna Ajali zipo nyingi tuu, unaweza kupatwa na ugonjwa au Ajali itakayokufanya ushindwe kuendelea na kazi.
Alafu muda huo hauna nyumba, mbona chamoto utakipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…