Wajuba msaada kwenye bajeti

Wajuba msaada kwenye bajeti

Mbali na hivyo kuna Ajali zipo nyingi tuu, unaweza kupatwa na ugonjwa au Ajali itakayokufanya ushindwe kuendelea na kazi.
Alafu muda huo hauna nyumba, mbona chamoto utakipata.
Hapo Ankali ROBERT HERIEL umenena kweli kabisa

Watu wanasahau kua NHIF imekufa kwa mujibu wa Ummy Mwalimu sasa itabidi wachukue ushauri wako

Na kwa maisha ya sasa Afya ndio kila kitu ukiondoa pesa maana huwezi fanya kazi km afya yako itakua imeingia kwenye mgogoro wa hapa na pale
 
Achana na 80k mkuu, 50k unapata chumba cha master saaafi kabisa... Kikubwa na chenye kila kitu ndani...

Limtu liko single unaenda kukaa nyumba ya 250k ya nini? Kwani una wakwe kwamba atakuja kukutembelea wakose pa kulala?[emoji23][emoji23]
Na vya 50 vipo vingi sana vyenye master

Na ghetto ukalijaza likawa kalii

Mwamba anataka ujiko
 
Hbr za humu wadau,

Ninaomba muongozo kwa malegend jinsi gani ninaweza survive kwa mshahara wa 895k per month baada ya makato yote...chini hapa ni ufafanuzi wa jinsi naweza kugawanya.
1. Kodi 250,000
2. Mafuta ya gari 200,000
3. Wazazi 100,000
4. Matumizi etc 200,000
5. Saving ni amount iliyobaki ambayo ni 145,000.

Je, kwa wenye uzoefu hapo juu naweza kutoboa au kama kuna changamoto how to go about?
Vijana wa kiume kutoboa ni ngumu sana..kwa hio mshahara wote inabaki pesa ambayo hata seapiano mpya hupati

Mtu mwenye akili timamu mshahara wa 300k after miaka miwili anaweza kukuzidi maendeleo

Nyumba ya 200k unaishi na Nani ? Mafuta unaenda wapi na gari mshahara haufiki hata 1m😁
 
Hapa nakaa chumba cha laki ambacho ni master na jiko,so nikipanga cha 50k ni kurudi nyuma kimaisha
Kichwa ako ni empty kurudi nyuma kwenye nyumba ya watu 😂😂 nilijua kwako wamekwambia uvunje😂

Sasa jiko we unapika nini au sehemu ya kupashia maji asee dhuu,
 
Kiuhalisia hiyo pesa inamtosha bachela asiye na majukumu hata ya kusaidia wazazi, lakini kibongobongo unakuta ndo mshahara wa afisa mkubwa kabisa huko kwenye siri kali, ukiambiwa bongolala ni nchi ya miujiza usibishe.....hatari sana.​
 
Kula 300000,Kodi ya nyumba 100000 Kwa mwez,na (400000 kikoba ikazae huko)
 
pesa zako upangiwe budget na sisi... Hiyo pesa kubwa sana kuna wajuba wanapokea mshahara wa 400,000 net anamiliki gari kilasiku anakuja nalo kazin, anakula na familia, kodi, umeme na maji, na wazaz wanapata chochote kitu...
 
pesa zako upangiwe budget na sisi... Hiyo pesa kubwa sana kuna wajuba wanapokea mshahara wa 400,000 net anamiliki gari kilasiku anakuja nalo kazin, anakula na familia, kodi, umeme na maji, na wazaz wanapata chochote kitu...
mchanganuo tafadhali nasisi tujipange
 
Bila shaka wewe ni wale mmekulia familia za mboga saba.

Kama umekulia madongo kuinama kama mimi usingekuwa unawaza nyumba ya 250k, gari, na vikorokoro vingine unnecesary.

Yani uwe na take home ya 850K, kisha usevu 145k kwa mwezi na uko single? Hizo ni akili ama matope?😂😂

Mimi hapo mshahara wa kwanza ningehakikisha nalipa nyumba miezi 6(600k kwa rate ya 100k per month), kisha ningehakikisha kwa mwezi nasevu 500/400k, i.e kwa mwezi natumia 350k kwenye mambo yote.

Ukijibana ivo ndani ya miezi 10 tuu unakuwa na 5/6M yako iliyonyooka. Ukiendelea ivo ndani ya miaka 2 unakuwa umeshapiga hatua kubwa sana ukitukiza akili.

Kusave 5m kwa mshahara wa 850k kwa miezi 10

Anyways, Bwana anawajua walio wake na kila alitajae jina lake na auache uovu
 
Vijana wanafikiri maisha ni siku moja au yataisha Leo ndio maana wanataka kuyatumia vilivyo.

Nunua Gari ndogo Kwa kijana Mdogo, isiyokula Mafuta.

Panga chumba master cha walau Tsh 80,000/= Kama haujaoa.

Mwaka mmoja, nunua kiwanja. Kusanya pesa miaka mifano Jenga. Ukishamaliza,

Anza STAREHE zako, panga nyumba utakavyo, nunua Gari utakalo.

Ukifukuzwa kazi, Rudi kwenye nyumba yako, uza matembele maisha yaendelee

Sio kila mtu anaishi Morogoro ndugu wa fasihi
 
Hbr za humu wadau,

Ninaomba muongozo kwa malegend jinsi gani ninaweza survive kwa mshahara wa 895k per month baada ya makato yote...chini hapa ni ufafanuzi wa jinsi naweza kugawanya.
1. Kodi 250,000
2. Mafuta ya gari 200,000
3. Wazazi 100,000
4. Matumizi etc 200,000
5. Saving ni amount iliyobaki ambayo ni 145,000.

Je, kwa wenye uzoefu hapo juu naweza kutoboa au kama kuna changamoto how to go about?
Minilianza kulipwa 700k take home na
Nilikua Nafanya hivi
1.Kodi 150k
2.matumizii ya kawaida 300k(chakula,umeme ,maji,dstv)
3.matumizi ya dharura 100K
4.Posho posho zilikua zinazuia mavazi, vocha,outing nk
Miwsho wa mwezi inabaki 150k...na kama hamna dharura inakua 250k laizma ujibane
 
Mimi 850,000/= ningeifanyia hivi:

1. Ningeamia sehemu 150,000/= hafu nitakeep a car, ila nikiamia 250,000/= am ditching a car, unless nina biashara nyingine ambayo gari ni muhimu.

2. Wazazi na ndugu, michango ya ndoa, kila kitu ndio 100,000/= kwa mwezi.

3. Kula 300,000 kwa mwezi.

4. Gari NO.

5. Kusema kweli savings uwongo. Labda ukatwe moja kwa moja kwenye mshahara ila kuweka mwenyewe uwongo. Badala ya saving ningefungua kijiwe.

6.BILLS za Maji, umeme, takataka, ulinzi wa mtaani, etc 50,000/=

7. Mavazi, saloon, Msfuta, sabuni etc 100,000

8. Starehe 100,000/=

Hope imezidi kidogo au imepungua kidogo...

Faida za kuacha gari:
Mafuta kadiria elfu 10 kwa siku.
Kuosha elfu 20 kw mwezi.
Service
Emergency kama ajali trafic
Parking za Mlimani na unapolala
Kuonekana una hela wkt kawaida
Mademu kusema nipeleke sehemu
Etc etc

Sikushawishi lakini nina mwezi wa 2 tokea niuze gari naona mabadiliko flani. Sio kwamba halina faida, zipo nyingi sanaa, ila nasikilizia kidogo. Kama Fap challenge.. [emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye mademu nipeleke sehemu Pana extend bajeti ya mafuta laxima ifike 400k
 
Back
Top Bottom