Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc.

Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.

1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Mallya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara

Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.

Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
 
Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.

1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Malaya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara

Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.


Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Kwa hivyo unakuja kuanika wanaume wenzio hapa!??
Jibidiishe kutafuta zako kumbaf
 
Mkifika Morogoro msimsahau Mandonga mtu kazi
Karim Mandonga (Mtu Kazi)
Ukipigwa Kama Umepiga
Ukipiga Umepiga


Kwasasa Morogoro Ndiyo Mtu Maarufu Sana Mpaka Google Inamjua
Amewashinda Mpaka Abood, BM, Hood, Sadiq Murad

Haa Bongo Raha Sana,
 
Nimekuelewa Mzee nilikuwa bado na fikra za mwaka 47 kumbe mambo yashabadilka
Gairi haipo kilosa, ni wilaya inajitegemea mkuu, gairo ji gairo na kilosa ni kilosa, Ila Ahmedy Shabiby ni mtu wa Gairo Morogoro...
 
Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.

1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Malaya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara

Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.


Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Unao uhakika hakuna viongozi wa CCM ambao ni matajiri zaidi ya hao?
 
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini.
Bila ya kupitia hayo maandishi mekundu huwezi kuwa tajiri kwenye nchi hii.
 
Hivi yule chapombe piere Liquid yuko namba ngapi,najua mwenzake Dr shika alikufa akisubiria muamala wa pesa zake toka Wagner group
 
Back
Top Bottom