Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri ni mmoja tu Dodoma, Kato wa Alco Vintage, wengine uliowataja ni wanamiliki magari makubwa na huo si utajiri, wakati wowote unafilisika.
hivi shabibu si mwajiriwa anakula mshahara wa ubunge?Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.
1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Mallya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Kumbe Kato alishakuwa Tajiri? Nakumbuka enzi hizo tunamuuzia SpiritTajiri ni mmoja tu Dodoma, Kato wa Alco Vintage, wengine uliowataja ni wanamiliki magari makubwa na huo si utajiri, wakati wowote unafilisika.
Alivyokaa huwezi mdhania ni Billionaire.Very humbleView attachment 2492342
Kato muhaya anaezalisha wine mbalimbali na kuuza ndani na nje ya nchi sio wa leo ni tajiri muda mrefu sana jamaa ni bilionea kweli sema sijui kwa nini hua hawamtaji hizo ni baadhi ya bidhaa zake
Alivyokaa huwezi mdhania ni Billionaire.Very humble
Hivi HOOD bado yupo?Karim Mandonga (Mtu Kazi)
Ukipigwa Kama Umepiga
Ukipiga Umepiga
Kwasasa Morogoro Ndiyo Mtu Maarufu Sana Mpaka Google Inamjua
Amewashinda Mpaka Abood, BM, Hood, Sadiq Murad
Haa Bongo Raha Sana,
Gairo ndiyo kwao lakini kimaisha na kibiashara amejikita Dodoma. Ni kama BM origin yake ni Moshi, akaanzia biashara zake Turiani huko Morogoro na baadae akahamia na kujikita Morogoro mjini.Sasa shabiby ni wa dodoma au gairo ?
Wewe bando lenyewe unaweka la jeloMm mbona hujanitaja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kule hapafaiMtu alete hapa list ya Geita kuna kitu nataka kuona
Tanzania ina Billionaire 1 pekeeView attachment 2492342
Kato muhaya anaezalisha wine mbalimbali na kuuza ndani na nje ya nchi sio wa leo ni tajiri muda mrefu sana jamaa ni bilionea kweli sema sijui kwa nini hua hawamtaji hizo ni baadhi ya bidhaa zake
Mimi namsikiaga Frank Mtei wanasema ndie mmiliki wa zile Pub maarufu za Pestana na Bambalaga kule DodomaUtajiri upo kwenye biashara zipi? ukimuondoa Shabiby
Haha mkuu huko wasiguse kabisa maana watakutana na matycoon wa madini ni kufuru laana aseeMtu alete hapa list ya Geita kuna kitu nataka kuona
Haha mkuu huko wasiguse kabisa maana watakutana na matycoon wa madini ni kufuru laana asee
Na wako kimya tuKule hapafai