Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
inaonekana hata vuzi hujaanza kunyoa kijana wa CBE 😅😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe JF nimejiunga 2006, hii ni akaunt yangu mpya ya 2012 we juzi tuinaonekana hata vuzi hujaanza kunyoa kijana wa CBE 😅😂
Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.
1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Malaya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Frank Mtei kijana wa real estate, the donKama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.
1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Malaya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Haya ndiyo mambo ya kuongea--- hawa mataikuni,siyo kupanda jukwaa kumsifia Samia Suluhu,wakati pasenti moja ya watu inahodhi pasenti 50 ya utajiri wa nchi.Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.
1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Malaya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Shabiby amekataa hajarithi kitu vyote ni vyakwakeungesa kuwa na biashara wamerithi kwa wazazi wao. sisi wazazi wetu maskini acha kutupeleka puta
Dr Shiva alikuwa member wa Wagner Group.Hivi yule chapombe piere Liquid yuko namba ngapi,najua mwenzake Dr shika alikufa akisubiria muamala wa pesa zake toka Wagner group
Utajiri una siri nyingi sanaKama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc .
Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.
1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Mallya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Lazima akatae Kwa sababu amerithi utajiri uliotokana na biashara ya Meno ya tembo,Shabiby amekataa hajarithi kitu vyote ni vyakwake
Biashara zake kituo kikuu ni Dodoma na sio Gairo!Ajabu kweli, yaani Gairo iliyo kilosa yahesabika ipo Dodoma!!
Address rasmi ya shabiby ni Gairo biashara anaoperate mikoa tofautitofautiBiashara zake kituo kikuu ni Dodoma na sio Gairo!