Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc.

Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.

1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Mallya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara

Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.

Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Huwezi kukuta Mwajiriwa Yuko busy kujadili maisha ya mfanya biashara.

Lakini vitakataka vinavyo miliki hata genge kutwa kucha, waajiriwa hivi, waajiriwa vile.
 
 Ch
Pesa iko mingi sana mahotel ya kitalij Zanzibar, Arusha, Kilimanjaro, manyara, wote mvinyo wake upo, njoo local Bars mvinyo upo, supermarkets karibu zote, nchi mbalimbali ikiwamo za ulaya anaexport useme sio tajiri kweli
Chapa ya mvinyo wake ni ipi Mkuu
 
Huwezi kukuta Mwajiriwa Yuko busy kujadili maisha ya mfanya biashara.

Lakini vitakataka vinavyo miliki hata genge kutwa kucha, waajiriwa hivi, waajiriwa vile.
ukishapata pesa zenyewe zitakuwa zinakuja bila taarifa
 
View attachment 2492342
Kato muhaya anaezalisha wine mbalimbali na kuuza ndani na nje ya nchi sio wa leo ni tajiri muda mrefu sana jamaa ni bilionea kweli sema sijui kwa nini hua hawamtaji hizo ni baadhi ya bidhaa zake
Hizo bidhaa mbona hata laki 7 hazifiki.
Kama ni bilionea mrudi tena.
Hizo pombe naweza nunua jioni moja tu bila kuuliza chenchi.
Na sijawai kuwa bilionea wala milionea nipo nipo tu.
 
Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc.

Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna Wafanyabiasha wakubwa , Angalia katika Orodha hii Hawa ni wafanyabiashara matajiri Zaidi Dodoma.

1. Rahim Bhanji - Biashara mbalimbali.
2. Priscuss Mallya - Biashara
3. Ahmed Shabiby - Biashara
4. Frank Mtei - Biashara

Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.

Dar es salaam Ina mataicoon wakubwa Tena wengine ni waajiriwa wa Serikali lakini utajiri wao una mchanganyiko na vipesa vya ujanja ujanja kutoka Serikalini. Pia Kilimanjaro , Mwanza na Arusha Kuna watu Wana Hela kama mchanga
Kwakuwa umewalenga vijana wajifunze toka kwa hawa ni vizuri ungeweka umri wa kila mmoja wao.
 
Mliwai kumjua Urafiki?
Route ya Dom-Mbeya kupita mtera kupita Moro huyo wa kwanza.
Alikua na Scania za kutosha
King Cross nae na mikarandinga ya Leyland njia moja mnafika.
NK Club?Sharuks Iringa road
hao walikua wanapiga hela haswa.
Shabiby mda wote dom simjui hakuwepo
 
Hili ni Somo zuri Kwa vijana kwani katika listi hii hakuna muajiriwa hata mmoja , Wala mtumishi, Hawa wote wamejiajiri na wametoa ajira, vijana msifikirie sana Kuajiriwa mkitaka utajiri.
Shabiby si ameajiriwa na wana Gairo au ni Shabiby yupi
 
Back
Top Bottom