Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

inaonekana hata vuzi hujaanza kunyoa kijana wa CBE πŸ˜…πŸ˜‚
 

ungesa kuwa na biashara wamerithi kwa wazazi wao. sisi wazazi wetu maskini acha kutupeleka puta
 
Frank Mtei kijana wa real estate, the don
 
Haya ndiyo mambo ya kuongea--- hawa mataikuni,siyo kupanda jukwaa kumsifia Samia Suluhu,wakati pasenti moja ya watu inahodhi pasenti 50 ya utajiri wa nchi.
 
Utajiri una siri nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…