Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

King Mansa Musa’s astounding wealth came from his country Mali’s production of more than half the world’s gold and salt, Celebrity Net Worth said. A photograph of Mansa Musa on a map of North Africa circa 1375. King Mansa Musa wasn’t just the 1% of the 14th century — he may be the richest person of all time.
As the obscure ruler of West Africa’s Mali Empire, Musa amassed a jaw-dropping $400 billion during his reign from 1312 to 1337, according to a new inflation-adjusted list by celebritynetworth.com.
That outranks the Rothschild family, whose European banking dynasty landed them second on the list with $350 billion, and John D. Rockefeller, the American industrialist worth $340 billion.
PHOTOS: THE TOP 10 RICHEST PEOPLE OF ALL TIME
The 25 billionaires and families listed have made some megabucks, with a combined worth of $4.3 trillion.
As for Musa’s moolah, his “shocking wealth came from his country’s vast production of more than half the world’s supply of salt and gold,” according to the Celebrity Net Worth survey, which converted each billionaire’s fortunes into 2012 dollars.
Musa was a devout Muslim who spearheaded an extensive building program of palaces and mosques.
But his money was eventually lost after his death in 1337, when he was believed to be in his late 50s.
“His heirs were not able to fend off civil war and invading conquerors. Just two generations later, his world record net worth was gone,” Celebrity Net Worth said.
Of the list’s top 25, 14 are Americans, including Microsoft founder Bill Gates, whose inflation-adjusted worth is about $136 billion.
rich18n-2-web.jpg
[h=4]Jason DeCrow/AP[/h] [h=4]Mexican telecom tycoon , chairman of Grupo Carso SA de CV, is the richest living person in today’s dollars, according to Forbes.[/h]
Gates, who turns 57 this month, is currently the world’s second-richest living person in today’s dollars, behind Mexican telecom tycoon Carlos Slim, according to the latest Forbes ranking.
Slim ties for 22nd place on the Celebrity Net Worth list.
eortiz@nydailynews.com
* * *
Celebrity Net Worth's list
1. Mansa Musa I, (Ruler of Malian Empire, 1280-1331) $400 billion
2. Rothschild family (banking dynasty, 1740- ) $350 billion
3. John D. Rockefeller (industrialist, 1839-1937) $340 billion
4. Andrew Carnegie (industrialist, 1835-1919) $310 billion
5. Tsar Nicholas II of Russia (last Emperor of Russia, 1868-1918) $300 billion
6. Osman Ali Khan, Asaf Jah VII (last ruler of Hyderabad, 1886-1967) $236 billion
7. William the Conqueror (King of England, 1028-1087) $229.5 billion
8. Moammar Khadafy (former Libyan leader, 1942-2011) $200 billion
9. Henry Ford (Ford Motor Company founder, 1863-1947) $199 billion
10. Cornelius Vanderbilt (industrialist, 1794-1877) $185 billion
11. Alan Rufus (Fighting companion of William the Conqueror, 1040-1093) $178.65
12. Bill Gates (Founder of Microsoft, 1955- ) $136 billion
13. William de Warenne, 1st Earl of Surrey (Norman nobleman, ??-1088) $146.13 billion
14. John Jacob Astor (businessman, 1864-1912) $121 billion
15. Richard Fitzalan, 10th Earl of Arundel (English nobleman, 1306-1376) £118.6 billion
16. John of Gaunt (son of Edward III, 1330-1399) £110 billion
17. Stephen Girard (shipping and banking mogul, 1750-1831) $105 billion
18. Alexander Turney Stewart (entrepreneur, 1803-1876) $90 billion
19. Henry, 1st Duke of Lancaster (English noble, 1310-1361) $85.1 billion
20. Friedrich Weyerhaeuser (timber mogul, 1834-1914) $80 billion
21. Jay Gould (railroad tycoon, 1836-1892) $71 billion
22. Carlos Slim (business magnate, 1940- ) $68 billion (TIE)
22. Stephen Van Rensselaer (land owner, 1764- 1839) $68 billion (TIE)
23. Marshall Field (Marshall Field & Company founder, 1834-1906) $66 billion
24. Sam Walton (Walmart founder, 1918-1992) $65 billion
25. Warren Buffett (investor, 1930- ) $64 billion
 
King Mansa Musa’s astounding wealth came from his country Mali’s production of more than half the world’s gold and salt, Celebrity Net Worth said. A photograph of Mansa Musa on a map of North Africa circa 1375. King Mansa Musa wasn’t just the 1% of the 14th century — he may be the richest person of all time.
As the obscure ruler of West Africa’s Mali Empire, Musa amassed a jaw-dropping $400 billion during his reign from 1312 to 1337, according to a new inflation-adjusted list by celebritynetworth.com.
That outranks the Rothschild family, whose European banking dynasty landed them second on the list with $350 billion, and John D. Rockefeller, the American industrialist worth $340 billion.
PHOTOS: THE TOP 10 RICHEST PEOPLE OF ALL TIME
The 25 billionaires and families listed have made some megabucks, with a combined worth of $4.3 trillion.
As for Musa’s moolah, his “shocking wealth came from his country’s vast production of more than half the world’s supply of salt and gold,” according to the Celebrity Net Worth survey, which converted each billionaire’s fortunes into 2012 dollars.
Musa was a devout Muslim who spearheaded an extensive building program of palaces and mosques.
But his money was eventually lost after his death in 1337, when he was believed to be in his late 50s.
“His heirs were not able to fend off civil war and invading conquerors. Just two generations later, his world record net worth was gone,” Celebrity Net Worth said.
Of the list’s top 25, 14 are Americans, including Microsoft founder Bill Gates, whose inflation-adjusted worth is about $136 billion.
rich18n-2-web.jpg
Jason DeCrow/AP

Mexican telecom tycoon , chairman of Grupo Carso SA de CV, is the richest living person in today’s dollars, according to Forbes.


Gates, who turns 57 this month, is currently the world’s second-richest living person in today’s dollars, behind Mexican telecom tycoon Carlos Slim, according to the latest Forbes ranking.
Slim ties for 22nd place on the Celebrity Net Worth list.
eortiz@nydailynews.com
* * *
Celebrity Net Worth's list
1. Mansa Musa I, (Ruler of Malian Empire, 1280-1331) $400 billion
2. Rothschild family (banking dynasty, 1740- ) $350 billion
3. John D. Rockefeller (industrialist, 1839-1937) $340 billion
4. Andrew Carnegie (industrialist, 1835-1919) $310 billion
5. Tsar Nicholas II of Russia (last Emperor of Russia, 1868-1918) $300 billion
6. Osman Ali Khan, Asaf Jah VII (last ruler of Hyderabad, 1886-1967) $236 billion
7. William the Conqueror (King of England, 1028-1087) $229.5 billion
8. Moammar Khadafy (former Libyan leader, 1942-2011) $200 billion
9. Henry Ford (Ford Motor Company founder, 1863-1947) $199 billion
10. Cornelius Vanderbilt (industrialist, 1794-1877) $185 billion
11. Alan Rufus (Fighting companion of William the Conqueror, 1040-1093) $178.65
12. Bill Gates (Founder of Microsoft, 1955- ) $136 billion
13. William de Warenne, 1st Earl of Surrey (Norman nobleman, ??-1088) $146.13 billion
14. John Jacob Astor (businessman, 1864-1912) $121 billion
15. Richard Fitzalan, 10th Earl of Arundel (English nobleman, 1306-1376) £118.6 billion
16. John of Gaunt (son of Edward III, 1330-1399) £110 billion
17. Stephen Girard (shipping and banking mogul, 1750-1831) $105 billion
18. Alexander Turney Stewart (entrepreneur, 1803-1876) $90 billion
19. Henry, 1st Duke of Lancaster (English noble, 1310-1361) $85.1 billion
20. Friedrich Weyerhaeuser (timber mogul, 1834-1914) $80 billion
21. Jay Gould (railroad tycoon, 1836-1892) $71 billion
22. Carlos Slim (business magnate, 1940- ) $68 billion (TIE)
22. Stephen Van Rensselaer (land owner, 1764- 1839) $68 billion (TIE)
23. Marshall Field (Marshall Field & Company founder, 1834-1906) $66 billion
24. Sam Walton (Walmart founder, 1918-1992) $65 billion
25. Warren Buffett (investor, 1930- ) $64 billion
 
Ni kweli mkuu Hii mijitu ni hatari sn Lkn kukomea kwangu Vatican nilikua na maana kwamba huko ndiko Oder zinakotoka! Nafahamu wako ulimwenguni kote!

Hahahahahaaaaaaaa ....

Mkuu Vatican ni kijisehemu kidogo sana na wala hakina hadhi ya kutoa amri kwenye hili kundi ...

Vatican iko kwenye kijisehemu ambapo utawakuta watu wengi wa kiimani

Iko hivi,
Kwenye ile piramid kuna ngazi na kila ngazi moja inawakilisha familia moja ya hawa Illuminati na hakuna Vaticani mule,Vatican utakuna kuwakuta chini kabisa pamoja na madhehebu yote ya Kikristo unayoyajua wewe,kwa kifupi ni moja kati ya kijikundi kidogo sana kwenye kun di kubwa la hawa watu na wala hakina mamlaka ya kutoa amri yoyote ile kwani nacho kinapata amri kutoja juu

Kuna kundi la watu 6 tu ambalo ndio linalotoa amri ya nini kifanyike kwa wengine na kundi hili linazungumza moja kwa moja na "mtoa nuru" .......!!
 
Hahahahahaaaaaaaa ....

Mkuu Vatican ni kijisehemu kidogo sana na wala hakina hadhi ya kutoa amri kwenye hili kundi ...

Vatican iko kwenye kijisehemu ambapo utawakuta watu wengi wa kiimani

Iko hivi,
Kwenye ile piramid kuna ngazi na kila ngazi moja inawakilisha familia moja ya hawa Illuminati na hakuna Vaticani mule,Vatican utakuna kuwakuta chini kabisa pamoja na madhehebu yote ya Kikristo unayoyajua wewe,kwa kifupi ni moja kati ya kijikundi kidogo sana kwenye kun di kubwa la hawa watu na wala hakina mamlaka ya kutoa amri yoyote ile kwani nacho kinapata amri kutoja juu

Kuna kundi la watu 6 tu ambalo ndio linalotoa amri ya nini kifanyike kwa wengine na kundi hili linazungumza moja kwa moja na "mtoa nuru" .......!!

Huyo mtoa nuru ni nani ? na hilo kundi la hao watu ni akina nani ?
 
Hongereni Sana watoa mada na wote mliochangia ,hakika kujua kusoma na kutokusoma hakuna tofauti na MTU asiyejua kusoma.... Nime elimika vya kutosha japo sijui elimu hii nitaifanyia wapi kazi
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

Em nenda ka google acha kusumbua watu na ujinga wako
 
mkuu mengi uliyoyasema ni kweli ila tu kwa kuongezea ni kuwa Rockafeller family kama unavyosema ni moja ya familia iliyotajirika kwa uwekezaji wa Rothchilds family kwa US. kipindi John D. Rockafeller anatajirika mikopo ya biashara zake alipata kutoka katika mabenki ya Rothchilds family ( Citi Bank, JP Morgan) hayo ndio yaliyoprovide mitaji katika biashara za Rockafeller.

Rothchilds ndio wanao control Reserve bank of America kwa kushirikiana na Rockafeller na ndio wanaolipwa pesa nyingi na central bank ya UK kwa mikopo waliotoa wakati wa vita enzi zile.

Kwa kukumbusha tu ni kuwa hata ardhi ya Israel ya sasa ilinunuliwa na familia ya Rothchilds ( kwani hawa wote ni wayahudi) na ndio walioleta mpango wa UN ( makao makuu ya UN ni ardhi iliyotolewa na Rockafeller bule kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu).

na kingine kumbuka huu mfumo wa benki tulizonazo ni mfumo ulioanzishwa na babu yao Rothchilds ndio maana wana-control ya benki nyingi duniani. Na wana-control kwa kutumia mfumo wa gold ( rejea utajiri wa central banks zote duniani hutambuliwa kwa reserve ya gold uliyonayo benki). na hata makampuni mengi makubwa ya kuchimba dhahabu huwa ni ya kwao. (barrick gold soma wamiliki wake).

kwa nini wanasema Rothchilds wanatawala hii dunia? ni kwamba wanatoa mikopo mingi sana kwenye mataifa almost 75% ya dunia hii ikiwemo US, UK, France, German na ulaya yote kwa ujumla na hutoa mitaji ya biashara nyingi duniani kwa kutumia watu na familia mbali mbali.( Rockafeller, Ford family). na hii ndio maana mataifa yote makubwa hulinda Israel kwani ndio msingi wa utajiri wao.

labda tu kwa kumalizia ni kuwa familia ya rothchilds haiwezi kufilisika labda dunia yote imefilisika na kubadili mifumo yote ya biashara. na tatizo lingine ni kuwa huwa hana-control information zote zinazohusu utajiri wao kwani mashirika makubwa ya biashara duniani ni sehemu ya miliki zao (Reuters).

kwa habari zaidi tafuta family history ya Rothchilds na jinsi walivyotoa mikopo kwenye biashara za vita kwa mataifa ya ulaya. kwani baba yao aliamini na alifanya biashara zaidi wakati wa vita kwani mataifa mengi yalienda kukopa kwao ili yapigane vita.

Asante


mkuu mengi uliyoyasema ni kweli ila tu kwa kuongezea ni kuwa Rockafeller family kama unavyosema ni moja ya familia iliyotajirika kwa uwekezaji wa Rothchilds family kwa US. kipindi John D. Rockafeller anatajirika mikopo ya biashara zake alipata kutoka katika mabenki ya Rothchilds family ( Citi Bank, JP Morgan) hayo ndio yaliyoprovide mitaji katika biashara za Rockafeller.

Rothchilds ndio wanao control Reserve bank of America kwa kushirikiana na Rockafeller na ndio wanaolipwa pesa nyingi na central bank ya UK kwa mikopo waliotoa wakati wa vita enzi zile.

Kwa kukumbusha tu ni kuwa hata ardhi ya Israel ya sasa ilinunuliwa na familia ya Rothchilds ( kwani hawa wote ni wayahudi) na ndio walioleta mpango wa UN ( makao makuu ya UN ni ardhi iliyotolewa na Rockafeller bule kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu).

na kingine kumbuka huu mfumo wa benki tulizonazo ni mfumo ulioanzishwa na babu yao Rothchilds ndio maana wana-control ya benki nyingi duniani. Na wana-control kwa kutumia mfumo wa gold ( rejea utajiri wa central banks zote duniani hutambuliwa kwa reserve ya gold uliyonayo benki). na hata makampuni mengi makubwa ya kuchimba dhahabu huwa ni ya kwao. (barrick gold soma wamiliki wake).

kwa nini wanasema Rothchilds wanatawala hii dunia? ni kwamba wanatoa mikopo mingi sana kwenye mataifa almost 75% ya dunia hii ikiwemo US, UK, France, German na ulaya yote kwa ujumla na hutoa mitaji ya biashara nyingi duniani kwa kutumia watu na familia mbali mbali.( Rockafeller, Ford family). na hii ndio maana mataifa yote makubwa hulinda Israel kwani ndio msingi wa utajiri wao.

labda tu kwa kumalizia ni kuwa familia ya rothchilds haiwezi kufilisika labda dunia yote imefilisika na kubadili mifumo yote ya biashara. na tatizo lingine ni kuwa huwa hana-control information zote zinazohusu utajiri wao kwani mashirika makubwa ya biashara duniani ni sehemu ya miliki zao (Reuters).

kwa habari zaidi tafuta family history ya Rothchilds na jinsi walivyotoa mikopo kwenye biashara za vita kwa mataifa ya ulaya. kwani baba yao aliamini na alifanya biashara zaidi wakati wa vita kwani mataifa mengi yalienda kukopa kwao ili yapigane vita.
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!
hii kwenye biblia hipo agano LA kale kitabu cha mwanzo kwenye biblia inasema wanefili maana yake majitu
 
Ndugu zangu mbona hamleti jibu jamani?niliwapa kahome work sijui mmekasahau?niliwaomba mgeuze neno "illuminati"kinyume.Kwa kifupi linakuwa "itanimulli",sivyo?sasa bonya hiyo itanimulli.com!nini kinafunguka jamani?
Ndugu hii niliwahi kuitest some days back pia inafungua NSA (National Security Agency) ya U.S. Connecting dots...
 
C.T.U, juve2012, major mwendwa, Walas Ba...
Asanteni kwa kunitoa gizani...moyo umekuwa mzito yani mpaka stim ya kusaka maisha bora imetoweka ghafla. Kusoma mambo haya yataka ujasiri kiukweli. Endeleeni kumwaga somo wadau...
Ndugu yangu, pole sana. Na yeyote anayepata hofu juu ya hili suala na yanayofanana na hayo. Wala haipo sababu ya kuwa na hofu yoyote. Hawa woote na mapesa yao, madhahabu yao, almasi na madaraka yao kwa hii dunia, amini nakuambia ni ubatili mtupu. Naamini kuwa haya mambo yapo 100%. Na anavyoeleza mleta mada ni kweli. Lakini huna sababu ya kuogopa. Sikiliza:

Ukiangalia tafsiri ya alama-mficho zilizo kwenye noti ya dola ya marekani, lile jicho moja ambalo liko juu kabisa ya pyramid, lile ni jicho la Lucifer. Na habari yooote hii unayoona na usiri wake wote, agenda ni moja tu, sio kumdhuru binadam kwa hali ya mwili, bali kwa hali ya roho. Hapa panahitaji ufaham kuelewa maana yake. Agenda kuu ya masuala yote haya ni KUMPINGA YESU KRISTO.

Nasema bila woga (sina nia ya kuoffend imani ya mtu hapa) kuwa hawa watu watafanya fujo zoote na kuwahangaisha wanadam hasa kwa kuwaficha ukweli ama wasione au kuipotosha kweli iliyopo, lakini shida yao kubwa na hofu yao ni YESU KRISTO. Huyu ndiye wanayemuogopa kama moto. Na kwa waamini, huyu YESU amesema katika agano jipya hasa Ufunuo kuwa mambo haya yatakuwapo siku za mwisho. Hawa watu na utajiri wao linapokuja suala la YESU KRISTO, wanakuwa wadogo kama pilton. Sasa kwanini wanahangaika na binadam?

Ni hivi, kwa waamini, ni kuwa Lucifer na YESU KRISTO wao wako katika war. Na hii ni kwa vile, sisi binadam tukiwa hai hatujahukumiwa bado, mpaka tufe. Lakini Lucifer yeye tayari alishahukumiwa kuwa ataenda Jehanam milele na milele na milele wakati huo ukifika. Sasa anachofanya ni kuwahadaa wanadam ili wao pia wakifa wahukumiwe kama yeye na wote wamjoin huko motoni. Na wanajua anayeweza kuwasaidia wanadam kuepuka hili ni YESU KRISTO. Maana mimi na wewe tunasema tunamjua YESU? Nakwambia hatuwezi kumjua YESU kuliko jinsi ambavyo Lucifer anamjua YESU. Usisahau Lucifer anapajua mbinguni palivyo na alitimuliwa huko.

Hivyo basi usiwe na hofu juu yao maana kinga yako ni imani yako katika Mungu wa kweli. Wao watahangaika sana na hii dunia na kusumbua wanadam lakini mwisho wao utafika na wote hawana ujanja hata utajiri wao ni ubatili mtupu hautawasaidia kuepuka kipondo kutoka kwa YESU KRISTO.

Na kuhusu utajiri huo wala usipate tabu, kwa waamini, yale maswali ambayo lucifer alimuuliza YESU kule jangwani kuwa ukinisujudia ntakupa hiki au kile "kwa kuwa dunia yote na milki zake ni mali yang" hadi leo anawauliza maelfu ya watu na wanaokubali ni kweli anawapa mali ila sharti ni moja tu - waende kinyume na ALIYE JUU (THE MOST HIGH). Pia ukisoma biblia utaona biblia yenyewe inamuita lucifer ni "mungu wa dunia hii"

Hivyo ni kuomba na kusali sana hayo yote ni ubatili mtupu.
 
Acha ujinga wewe Google is the leading search engine on earth. Unataka kupotosha watu hapa. Haya kasearch hata hiyo unayojua peke yako utajua huko. Unataka ku-undermine Google wewe? Hebu acha hizo!!

Google is the leading search engine in what?

Just because you wallow is the bosom of mediocrity do not think everybody is.

When it comes to specialized quality information searching there are search engines that far outranks your tepid vortex of mob psychology.

I started using public search engines before there was a Google, back in the days of Asta Lavista and Yahoo Directories.

So it's not like you are telling me anything new.
 
Kwa hiyo rockafeller ndo mwasisi wa democrasia? Marekani na dunia kiujumla?
 
Back
Top Bottom