Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Juve nimekusoma I always do the homework I.e nilipata booka of enock na za david icke etc etc bildberg arch ni kitabu au na ninakipata online?
mkuu tafuta kitabu kinaitwa THE GRAND CHESSBOARD,American primacy and it's geostrategic imperative cha Zbigniew Brzezinski.Kweli watu hawasomi.Jamaa wameweka mikakati yao kwenye vitabu but nobody read them.
Bilderbeg group ni taasisi fulani iliyoundwa na hawa world ellites kama tunaowazungumzia hapa.Kazi yake ni kuintergrate ideas za wakubwa hao na policies za serikali za duniani hapa na institutions zenye mamlaka makubwa duniani kama U.N e.t.c.Wanafanya mkutano mara moja kila mwaka na mkutano huo hufanyika under secrecy and very tight security ukiwahusisha watu wakubwa hao na viongozi mbalimbali duniani wa siasa,dini,tamaduni,wataalam,wanasayansi,media n.k karibu kila nyanja wanakuwepo mabingwa pale.Inatengenezwa mikakati pale kulingana na sera za wakubwa.Mikakati hiyo hupelekwa kwenye mtandao wa taasisi mbalimbali za kimataifa zinazojihusisha na international affairs kwa ajili ya utekelezaji.Karibu nchi nyingi utakuta kitengo cha mahusiano ya kimataifa kwenye wizara ya mambo ya nje lakini pia zipo nchi nyingi ambazo zina taasisi inayojitegemea inayohusika na mambo hayo ambazo huitwa "central for foreign relation(CFR).Taasisi hizi hutengeneza watu ambao huwa key players katika kutekeleza mikakati ya Bilderbeg kwenye eneo husika.Ndio maana napiga kelele kila siku humu kuwa lazima tuwe waangalifu sana kwa nchi zetu maskini hizi kuwapa uongozi na mamlaka za juu za nchi wasomi wetu wenye backgrounds za kimataifa kama hizo.Ni vema tuwachunguze vya kutosha kabla ya kuwapa nchi.Sasa hawa Bilderbeg wana mkakati wao fulani wa "siasa za mafuta" kule middle east.Walianza kuutekeleza siku nyingi tu.Ndio huu "Bilderbeg's arc of crisis".Mmojawapo wa victims wa mwanzo kabisa wa mkakati huo ni mfalme Shah wa Iran!Kuna siku Shah aliwahi kuhojiwa kuhusu Ayatollah na kusema hivi,"ukizinyanyua ndevu zake(Ayatollah),utaona neno "made in England" kwenye kidevu chake.Kapitiepitie haya mambo mkuu nyakato bwana.We google tu upate sources nyingi ili "akili za kupewa" uchanganye na "za kwako" ha ha haa!
Kwa hiyo Juve,unaniambia huyo kiongozi wa Iran Ayatollah ni kibaraka wa UK?Sasa Mbona Mara nyingi anawatukana sana hawa westerners?
kuna wakati huwa unafika nashindwa kabisa kuelewa dini yangu ni "nini"?nilikuwa najaribu kuchambua websites ili niipate yenye info zisizochanganywa na uongo manake jamaa wanaona wanashambuliwa sana sasa wameamua kujibu mapigo kwa kutengeneza websites kibao wakijifanya nao kuponda hawa "wakubwa" lakini wanamislead mambo mengi.Kuweni careful,si kila anayeshambulia hawa jamaa yuko sahihi.Labda pita hapa www.babylonmysteryreligion.com upate mwangaza wa kile ambacho naona uzito kukiandika hapa.Hayo mengine nilikuwa namzungumzia cardinal Ratzinger.Siku aliyojiuzulu kuongoza Vatican,muda mfupi baada ya tangazo lake la kujiuzulu radi ilipiga ule msalaba wa juu kabisa wa St.Peters basilica!yule mzee alikuwa na misimamo kupinga ushoga na ufisadi ndani ya kanisa.Alitaka kuwashughulikia kimya kimya bila kupiga kelele hadharani!akakuta "holy see" imejaa watu wengi wenye itikadi tofauti na hii yake.Akagundua mambo ambayo miaka yote aliyokaa pale Vatican hajawahi kuyajua.Akagundua "Rumi mpya".Akajipima na kuona hafanani na wala hana sifa za kuongoza hii Rumi mpya,na wapinzani wake wakawa wanazidi kumwandama wakitumia media na taasisi mbalimbali kulaumu uongozi wake kwa kushindwa kushughulikia matatizo ya kanisa.Ni kweli alishindwa,lakini si kwa sababu hakuwa na nia,ila kwa sababu nia yake ilikuwa tofauti na council,alitaka kuondoa uozo,kumbe jamaa wameoza na hawataki uozo uondolewe,wakashindwa kukubaliana,akagundua council pamoja na baadhi ya watu pale Vatican wana nguvu kuliko yeye,ingawa kiitifaki wanapaswa kuwa chini yake,akaona ajiondokee.Aliyemfuatia ni Jesuit wa kwanza kuwa papa.Mkuu hapa kwenye neno "Jesuit" naomba kafanye research za kutosha ujionee mwenyewe.Kuna kitu kinaendelea hivi sasa.Kuharmonise mafundisho strict ya kanisa yaendane na low ethical standards za binadamu wa leo,kushusha jina la Yesu liwe sawa na deity wengine wa kipagani,kushughulikia wale "siasa kali" wanaopinga mabadiliko hayo(viongozi kwa waumini),kupigia debe makosa ya kanisa(ambayo yalipandikizwa huko nyuma purposely) ili kupunguza imani thabiti ya waumini kwa kanisa na kutengeneza mioyo iliyo vulnerable kwa aina yoyote ya mabadiliko.After that,itafanyika juhudi ya kuunganisha dini zote na kuwa na dini moja itakayotumika kuwaondoa wanadamu kwa Mungu.Dini ni utamaduni.Wakubwa wanataka kutawala dunia.Ni lazima kumerge tamaduni zote ili wafanikiwe lengo lao.Ni lazima historia iliyopo iharamishwe na iletwe mpya.Wanaong'ang'ania tamaduni zao watakiona cha mtema kuni.Angalia middle east upate picha how serious is this issue.Pia hawa akina Rockfeller wanahangaika sana kumonopolize medical industry.Mh!hapo napo pagumu sana mkuu hebu kafuatilie angle hiyo pia.
Dah,mkuu pitia pitia elimu kuhusu ujasusi,utapata mwanga.Kwa mfano pale middle east pamejaa agent provocateurs wengi sana wa westerners ambao kutwa kucha wao huwaporomoshea matusi mabosi wao hao na kuaminiwa sana na wananchi wa middle east countries.mfano mzuri ni jinsi Kagame alivyokuwa akitumia jina la interahamwe kupata sababu ya kuendelea kuwepo Congo.Pia kuna wakati Hamas ilivurugika kutokana na viongozi wake kushutumiana kuwa provocateurs wa Israel.hawa ni watu wanaoipa marekani sababu ya kuendelea kuwepo middle east.kiongozi wa nchi anaweza kutengeneza hawa provocateurs kazi yao ikawa ni kumpinga tu,tena na michezo ya kuigiza provocateur,anakamatwa,anawekwa ndani,anatoka,anaendelea kutukana rais,kwa staili hiyo anawavuta wale wote wenye upinzani wa kweli kwa rais kujiunga naye,misimamo yao na agenda zao,tena anaanzisha mikakati kabambe,na wao wanampa yao kabambe,anawajua wote,anapeleka taarifa kwa rais,mtego unawekwa,unasikia mtu kafa kwa kuvamiwa na majambazi,ajali,n.k,kumbe kashashughulikiwa.nikuulize swali,hivi kati ya marekani na vikundi vya kigaidi,nani hasa anadestabilize middle east?
Movie uliyoiangalia kama si zamani usemavyo ni book of eli which is recently,which have same idea as u say
Mkuu samahani haya mambo mazito unayapata wapi ;naomba unisaidie na mimi niweze kuelezea vitu kama hivi.nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!