Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

ndio hivyo kaka.Ukitaka kujua undani wa hayo fuatilia historia ya kanisa enzi za dark ages wakati ule watu wananunua msamaha wa Mungu kwa kulipia pesa kanisani.Tumetoka mbali na tunarudishwa tena huko huko.Malaika Hallel(shetani) yuko ndani ya religious system nzima ya dunia hii na he operates from there!The whole system is corrupt.Hakuna cha ukatoliki,ulutheri,ubaptist,uanglikana,upresbiterian,uorthodox,ulokole,usabato,uislam wala unini!ila cha ajabu watu wa Mungu watatoka humo humo kwenye corrupt system!Wataelewa taratibu na kujitoa na kuanzisha network zisizo rasmi ambazo itakuwa ngumu kufuatiliwa na kuchafuliwa na maajenti wa Hallel na mfumo huo wa kujichuja toka kwenye taasisi utasababisha wanaofanya hivyo kuwa ni wale tu walio serious kweli kumtafuta Mungu na ukweli wake.Hebu kaa kanisani halafu niambie ni mara ngapi unasikia biblia ikisomwa intensively!kaa msikitini uniambie how many times watu wanaquote aya za quran zaidi ya kupiga soga na hadithi za kutunga na hate speeches?yaani imefika mahali hivi sasa ukitaka kuhukumu dini kwa kutazama sera na taratibu za taasisi za dini na matendo na mahubiri ya waumini wake utapotoshwa kabisa maana taasisi na waumini wako nje kabisa ya dini zenyewe.Ukitaka kuujua ukristo soma biblia,uyahudi soma Torah na talmud,uislam soma quran na uhindu soma vedas manake ukitaka kujua toka kwa waumini utapotoka kabisaa.Hawafanani nazo wala hawaamini vitabu vyao!the next move naona wataviharibu na vyenyewe,"kuvirekebisha" viendane na mazingira yao tena kwa biblia na quran hilo lilishaanza.Kuna version feki kibao!Cha ajabu jinsi Mungu alivyo na powerful influence hivi vitabu hata wakivichafua bado mtu akisoma anapata intro ambayo inamuelekeza kujua zaidi na hapo ndio hutafuta mengineyo na kuanza kugundua ukweli halisi.Kwa hiyo Mungu ni kama ameruhusu hii corruption ili kuwe na initiations au ngazi za kuufunua ukweli na ni wale watakaokuwa na nia thabiti tu ndio watakokuwa initiated ngazi hadi ngazi kwa kutegemea juhudi yako.it's just like masonic degrees,illuminati pyramid au madarasa ya elimu!humo humo kwenye uasi wao bado wanatekeleza kazi za Mungu bila kuelewa ha ha haa!Mungu ni mwanasiasa wa kiwango cha juu sana aisee!yaani hata ufanye kosa,yeye atalitumia kosa hilo hilo kuonyesha wema ulipo na ulivyo.Complicated philosophy isn't it?I'm very proud to serve such a genius God!anyway,ukijitazama ulivyoumbwa unapata ka-intro kidogo juu ya intelligence iliyokuumba labda uwe hujijui lakini kwa wale waliopata kutoa tongotongo kwenye sayansi kidogo tu,it's very interesting!nashangaa kusikia eti kuna wanasayansi wasioamini Mungu,wakati wengine tukisoma mambo ya sayansi tunaanza kuona presence ya Mungu kabisa!tafuta kitabu cha padre mmoja anaitwa Malachi Martin,"Keys of this blood",nadhani kuna mahali kipo online.

Ntafatilia kwa karibu. Mimi nilisoma bible knowledge olevel na divinity advance, mwalimu wangu wa advance alikuwa anatuambia kwa kifupi mambo mengi ambayo hayakuwa kwenye syllubus akihofia tunaweza kuacha kufata imani zetu. Nadhani alikuwa anajua mambo mengi yanayoendelea ambayo ni uongo. Sisi tunakaririshwa tu (dogmatism),hata viongozi wa dini nao hawajui. Huwa nafiria mambo mengi sana nikiwa kanisana,mahali ambapo kuna kila aina ya watu na tabia zao mifukoni. Tunaishi kwa maigizo( pretend to live in church principles while we are not). We live in a world of full of lies kwakweli. Na siku ukweli ukijulikana,ndo yatatokea kama ilivyoandikwa katika mathayo 24;1-31
 
naam mkuu.ni.hicho kitabu.ujumbe nimeupata.samahani kwa kuchelewa kujibu.kazi zimenibana sana mkuu.nitakupm.wanajamvi tutaendelea na maswali yatajibiwa au kutoa reference mkajisomee wenyewe maana haya mambo ni meengi sana tutakesha miaka na miaka humu jamvini tukitaka kuzungumzia kila kitu wakuu.

hicho kitabu cha enoch kinapatikana wap? kama kuna softcopy yake tunaomba ushee nasi.
 
hicho kitabu cha enoch kinapatikana wap? kama kuna softcopy yake tunaomba ushee nasi.

mkuu hiki kitabu kipo everywhere around the internet.We google "the book of Enoch by Charles" utapata version ya huyo Charles ambayo naona imetafsiriwa vizuri kuliko wengine.Hata hivyo inabidi uwe na background nzuri ya biblia,dini ya ukristo,jewish history and culture na world's ancient history ili kukielewa vizuri zaidi.
 
Nasikia hawa jamaa kipnd kile mwl anataka kujenga mji wa dom uwe makao makuu ya serikali,alifika marekan kutafta pesa,wakamwambia aache kuchangsha watanzania maskin kwa ajil ya ujenz wa mji,wakamwambia mwl wako tayari kutoa fedha za ujenz wa mji wote,shart uitwe rockafeller city,mwl akakataa.
 
1. Hizi habari za "net worth of so and so in 2007 dollars" is murky unless the accounting method is revealed.
2. The Rockafelleer Wiki is here , I am not seeing those figures, where are you getting those figures?3. What exactly constitute a "family"? Are we talking about the nucleus family or including extended family?

Nimefungua hiyo link ya Wiki uliyoambatanisha hapa na hizi information hapa chini zipo kaka!!!
[TABLE="class: infobox biography vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="align: left"]Net worth[/TH]
[TD]
11px-Increase2.svg.png
$663.4 billion in 2007 dollars, according to List of wealthiest historical figures, based on information from Forbes – February 2008.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Si mpaka huyo mwandishi awe anajua tofauti ya "a billion dollars in 2007" na "a billion in 2007 dollars"

Mansa Musa alikuwa anataka sifa, mke tu alikuwa na wajakazi 5000 wa kumhudumia

Alibeba twike kwa twike ya dhahabu, akauvuruga vuruga uchumi wa Masri

Ikisha Wazungu wanamtosa

Mansa Mussa ndiye bidamu tajiri kuliko woe mpaka sasa kihistoria. Rockeffer family wanashika nafasi ya 3 nyuma a Rothschild family. You can google it.
 
The story is too theoritical to be believed,something morebis that,rockafeller family ni kampuni tayari, na ukiangalia yapo makampuni mengi sana yaliyomzini Gates na Buffet au Slim Carlos kiutajiri,ukiwazungumzia kina bill gates unazungumzia individual wealth,hapa rockafeller ni familia, Forbes sio wajinga.
 
The story is too theoritical to be believed,something morebis that,rockafeller family ni kampuni tayari, na ukiangalia yapo makampuni mengi sana yaliyomzini Gates na Buffet au Slim Carlos kiutajiri,ukiwazungumzia kina bill gates unazungumzia individual wealth,hapa rockafeller ni familia, Forbes sio wajinga.

Especially so because the accounting method used to determine the figures is not made clear.

Different accounting tricks may give different figures when manipulated differently.

Ukitoa jibu tu ni sawa na ku compare GDP bila kusema ni PPP, expenditure, income, value added, real, nominal etc.
 
Especially so because the accounting method used to determine the figures is not made clear.

Different accounting tricks may give different figures when manipulated differently.

Ukitoa jibu tu ni sawa na ku compare GDP bila kusema ni PPP, expenditure, income, value added, real, nominal etc.




Well said Kiranga
 
Last edited by a moderator:
That the world is full of secret societies bent on control is undisputable, one has only to look at the LIBOR scandal, the mortgage rate fixing or even the just emerged German beer brewers cabal's price fixing to see that. Examples are legion.

That one family is controlling half of the world's economy is simply preposterous.
 
Wacheni utani basi!
Mi nilijua matajiiiiri kumbe hata robo ya mali za baba hawajazifikia!!!!!
 
The story is too theoritical to be believed,something morebis that,rockafeller family ni kampuni tayari, na ukiangalia yapo makampuni mengi sana yaliyomzini Gates na Buffet au Slim Carlos kiutajiri,ukiwazungumzia kina bill gates unazungumzia individual wealth,hapa rockafeller ni familia, Forbes sio wajinga.

mkuu hapo juu ni yaliyomzidi na sio 'yaliyomzini'.
 
Mansa Mussa ndiye bidamu tajiri kuliko woe mpaka sasa kihistoria. Rockeffer family wanashika nafasi ya 3 nyuma a Rothschild family. You can google it.

Asante kaka, nilitaka kuweka story ya huyu jamaa bahati mbaya makala niliyoandika iliftika kabla sijaiupload jf, nikaghaili! Huyu jamaa alikuwa kufuru, hao wayahudi na pesa zao za damu hakuna lolote!
 
Asante kaka, nilitaka kuweka story ya huyu jamaa bahati mbaya makala niliyoandika iliftika kabla sijaiupload jf, nikaghaili! Huyu jamaa alikuwa kufuru, hao wayahudi na pesa zao za damu hakuna lolote!

jitahidi mkuu hyo habar ya huyu jamaa uilete hapa jf
 
sikujua kama hawa jamaa ni balaa kiasi hiki hadi kumiliki vyuo.
 
Back
Top Bottom