Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Swali:

1. Ina maana hawa jamaa wanashinda hata hizo familia za kitajiri waarabu wa umangani umangani?

2. Wataka kuniambia utajiri wa familia za mabilionea wa Arusha uhaufikii au kuwapita akina Rockafellers?

3. China je, hakuna hata familia moja yenye utajiri kama hawa jamaa? Tunaambiwa wachina ni matajiri sana




mkuu katika hizi familia zaidi ya 90% ni za kiyahudi, kuna moja ni ya kichina na moja pia ya kiarabu.
 
Ikawa wanadamu walipoongezeka usoni pa nchi,wana wa kike wazuri na wa kuvutia walizaliwa kwao.Na malaika,wana wa mbinguni,waliwaona hao binti za wanadamu,wakawatamani.Basi wakaambizana wao kwa wao,"Twendeni,tukajitwalie wake katika binti za wanadamu,nao watuzalie wana".Na Semjaza,kiongozi wao,akawaambia:"Naogopa ya kwamba hamtakubali kutenda jambo hili,na mimi pekee nitaibeba adhabu ya dhambi hii kubwa".Wote wakamjibu na kumuambia 'Na tujifunge kwa kiapo,ya kwamba tutatekeleza jambo hili'.Wote wakajifunga kwa kiapo.Na jumla yao walikuwa mia mbili,walioshuka katika kilele cha mlima Hermon,katika siku za Jared.Pakaitwa mahali pale Hermon,kwa sababu ya kiapo kile.Na haya ndio majina ya wakuu wao:Semjaza,Araklba,Rameel,Kokablel,Tamlel,Ramlel,Danel,Ezeqeel,Baraqijal,Asael,Armaros,Batarel,Ananel,Zaqlel,Samsapeel,Satarel,Turel,Jomjael na Sariel.Hawa ndio wakuu wa vikosi.Na wengineo wote waliokuwa pamoja nao walijitwalia wake,kila mmoja akaoa mke mmoja,wakawaendea na kujinajisi pamoja nao,wakawafundisha elimu ya hirizi na uchawi,na mizizi,na kuwafahamisha elimu ya miti.Wakawatunga mimba,nao wakawazalia wana,ambao walikua na kufikia urefu wa eli elfu tatu(futi 450),wakawalisha chakula chao chote hadi pale waliposhindwa kuwahudumia zaidi,majitu yakawageuka binadamu na kuanza kuwatafuna.Majitu yakanajisi ndege wa angani,wanyama,viumbe vitambaavyo,samaki na hata wenyewe kwa wenyewe walitafunana,na kunywa damu.Dunia ikalaaniwa,ikaomboleza kwa ajili ya viumbe hawa wasio na sheria wala ustaarabu.Na Azazel(malaika) akawafundisha watu kufua chuma,kutengeneza upanga,na visu,na ngao,na dirii,akawafahamisha madini yaliyoko chini ya ardhi na jinsi ya kuyageuza kwa matumizi,na vikuku,na mapambo,na matumizi ya wanja,na jinsi ya kupamba kope za macho,na mawe yote ya thamani,na rangi zote za maji.Kukatokea uovu mkubwa sana,wakafanya uasherati,wanadamu wakapotoshwa,na kuharibika njia zao zote.Semjaza akawafundisha uchawi na mizizi,Armaros akafundisha uganga(kutatua uchawi),Baraqijal unajimu,Kokablel akafundisha elimu ya buruji(constellations),Ezeqeel elimu ya mawingu,Araqiel ishara za dunia,Shamsiel ishara za jua,na Sariel elimu kuhusu Mwezi.Binadamu wakaangamia,na walivyozidi kuangamia walilia,na kilio chao kilifika hadi mbinguni.Na Michael,Uriel,Raphael na Gabriel wakatazama chini, na kuona damu nyingi ikimwagika duniani,na uovu wote,wakaambizana wao kwa wao,"Dunia iliumbwa huku wakazi wake wakiwa hawajui huzuni wala vilio,mbona tunawasikia wakilia hadi kwenye milango ya mbinguni?Enyi watakatifu wa mbinguni,roho za wanadamu zinatulilia zikisema,pelekeni kilio chetu mbele yake Aliye Juu."Wakamwambia Bwana wa enzi,"Ewe Bwana wa Mabwana,Mungu wa Miungu,Mfalme wa Wafalme,na Mungu wa enzi zote,kiti cha enzi cha ufalme wako kinasimama katika vizazi vyote,na Jina lako takatifu na tukufu limebarikiwa katika vizazi vyote!Umeumba vyote,una nguvu juu ya yote,na mambo yote yako wazi machoni pako,unayaona yote na hakuna linalojificha mbele zako.Umeyaona yote Azazel aliyofanya,kuwafundisha wanadamu uovu wote na kuwafunulia siri zilizofichwa mbinguni,ambazo binadamu alihangaika kujifunza kuzielewa:Na Semjaza uliyempa mamlaka juu ya malaika wenzake.Nao wamekwenda kwa binti za wanadamu duniani,wakalala nao,wakajinajisi,wakawafunulia kila aina ya dhambi.Na wanawake hao wamezaa majitu,na dunia yote imejazwa damu na dhuluma.Tazama,roho za wale waliouawa zinalia na kutoa mashtaka yake katika milango ya mbinguni,na maombolezo yao yamezidi,wala hayaishi kutokana na dhuluma inayotendwa duniani.Wewe unajua mambo yote kabla hayajatokea,unayaona haya yote na yanakuumiza,lakini hujatuambia la kufanya juu ya yote haya."......

Juve nimekuelewa sana na uzuri ni kwamba nimekuwa nikifuatilia sana haya mambo tena thankx a lot for the information.Nakuomba tu unieleweshe vitu viwili:kwanza kwenye hayo majina ya malaika waliomuasi Mwenyezi Mungu,Satan yeye yuko wapi hapo au Satan aliasi wakati gani??Pili naomba tu uniambie kwa kifupi kuwa aliens,UFO na ET walizaliwaje au uzao wao ulikujaje na wanaishi planets zipi?
 
Nashukuru mtoa mada umeendelea kupanua upeo wangu hapo kwenye hizo deal zao za revenge kwa ajili ya kurudisha biashara ya mafuta ni kweli na mipango ya kuitumia serikali na walalahoi kwa vita ili wauze silaha dah maisha ni zaidi ya unachokiona
 
Hii mbona noma sasa kama ni hivyo c wanaweza wakaamua kuinunua Tanzania,Kenya na Uganda
duuuh Hatariiiiiiii...................
But mbona cjaona mahali kwamba WAMEJENGA MSKITI AU KANISA AU NDO WALEWALE WA <G>
 
waungwana.kuna kitabu kinaitwa "the book of Enoch".ndio kinaelezea haya kwa undani.ni kitabu ambacho kiliandikwa na nabii Enoch(Idris).ni descendent wa karibu wa Adam.kimekuwa sehemu ya biblia hata wakati wa Yesu na hata mmojawapo wa mitume wake,Yuda(sio Iskariote) alinukuu kitabu hiki wakati akizungumzia kiama.kitabu hiki ni mojawapo ya vitabu vingi vya biblia vilivyopigwa marufuku na warumi wakati walipojihalalishia umiliki wa dini ya ukristo na kuchakachua baadhi ya maana za mafundisho yake.interaction ya malaika walinzi na binadamu waliopewa jukumu la kuwalinda lakini wakaacha na kuwaelekeza mambo tofauti na Mungu kwa tamaa ya uzinzi na mamlaka ya kujifanya miungu wa wanadamu ndio the biggest issue inayofichwa na kanisa na serikali za dunia ya leo na kuban any serious material inayoreveal siri hiyo.sasa hii issue wameifichaa,lakini wsmeshindwa,wameingia plan b,kuwafanya watu kupuuzia na kutoamini ukweli wa sources zenye story hii.kwa nini?wakuu wa dunia hii wanatoa nguvu zao huko,ndio maana hawataki tujue,maana ukijua historia,utajua ukweli,n ukijua ukweli,utajua uhalali wa jambo,kama zuri au baya.kama wote tungeujua kwa usahihi asili ya ku kujua tu historia ya kweli ya binadamu na mazingira yake,tusingehangaika kutenganisha uongo na ukweli.lakini haya mafundisho meengi huku kila mtu akiongea lake,inaleta diversity ambayo inawajengea watu mashaka juu ya vyote,ukweli na uongo na hivyo hawaamini tena,imani inaondoka,faida kwa aletengeneza hiyo diversity.ni serious researcher tu atakayejua ukweli,wale wenzake na yule wanaosubiri padri na sheikh kusema au mfalme wa nchi hakosei,..inakula kwao sana na huko tuendako huko..
 
mkuu na akina jay z na crew yake i mean rockafella record/family wanamahusiano gan mpk kutumia hlo jna?
 
waungwana.kuna kitabu kinaitwa “the book of Enoch”.ndio kinaelezea haya kwa undani.ni kitabu ambacho kiliandikwa na nabii Enoch(Idris).ni descendent wa karibu wa Adam.kimekuwa sehemu ya biblia hata wakati wa Yesu na hata mmojawapo wa mitume wake,Yuda(sio Iskariote) alinukuu kitabu hiki wakati akizungumzia kiama.kitabu hiki ni mojawapo ya vitabu vingi vya biblia vilivyopigwa marufuku na warumi wakati walipojihalalishia umiliki wa dini ya ukristo na kuchakachua baadhi ya maana za mafundisho yake.interaction ya malaika walinzi na binadamu waliopewa jukumu la kuwalinda lakini wakaacha na kuwaelekeza mambo tofauti na Mungu kwa tamaa ya uzinzi na mamlaka ya kujifanya miungu wa wanadamu ndio the biggest issue inayofichwa na kanisa na serikali za dunia ya leo na kuban any serious material inayoreveal siri hiyo.sasa hii issue wameifichaa,lakini wsmeshindwa,wameingia plan b,kuwafanya watu kupuuzia na kutoamini ukweli wa sources zenye story hii.kwa nini?wakuu wa dunia hii wanatoa nguvu zao huko,ndio maana hawataki tujue,maana ukijua historia,utajua ukweli,n ukijua ukweli,utajua uhalali wa jambo,kama zuri au baya.kama wote tungeujua kwa usahihi asili ya ku kujua tu historia ya kweli ya binadamu na mazingira yake,tusingehangaika kutenganisha uongo na ukweli.lakini haya mafundisho meengi huku kila mtu akiongea lake,inaleta diversity ambayo inawajengea watu mashaka juu ya vyote,ukweli na uongo na hivyo hawaamini tena,imani inaondoka,faida kwa aletengeneza hiyo diversity.ni serious researcher tu atakayejua ukweli,wale wenzake na yule wanaosubiri padri na sheikh kusema au mfalme wa nchi hakosei,..inakula kwao sana na huko tuendako huko..

Mkuu juve tembelea inbox yako nakuomba nimekutext
 
Ikawa wanadamu walipoongezeka usoni pa nchi,wana wa kike wazuri na wa kuvutia walizaliwa kwao.Na malaika,wana wa mbinguni,waliwaona hao binti za wanadamu,wakawatamani.Basi wakaambizana wao kwa wao,"Twendeni,tukajitwalie wake katika binti za wanadamu,nao watuzalie wana".Na Semjaza,kiongozi wao,akawaambia:"Naogopa ya kwamba hamtakubali kutenda jambo hili,na mimi pekee nitaibeba adhabu ya dhambi hii kubwa".Wote wakamjibu na kumuambia 'Na tujifunge kwa kiapo,ya kwamba tutatekeleza jambo hili'.Wote wakajifunga kwa kiapo.Na jumla yao walikuwa mia mbili,walioshuka katika kilele cha mlima Hermon,katika siku za Jared.Pakaitwa mahali pale Hermon,kwa sababu ya kiapo kile.Na haya ndio majina ya wakuu wao:Semjaza,Araklba,Rameel,Kokablel,Tamlel,Ramlel,Danel,Ezeqeel,Baraqijal,Asael,Armaros,Batarel,Ananel,Zaqlel,Samsapeel,Satarel,Turel,Jomjael na Sariel.Hawa ndio wakuu wa vikosi.Na wengineo wote waliokuwa pamoja nao walijitwalia wake,kila mmoja akaoa mke mmoja,wakawaendea na kujinajisi pamoja nao,wakawafundisha elimu ya hirizi na uchawi,na mizizi,na kuwafahamisha elimu ya miti.Wakawatunga mimba,nao wakawazalia wana,ambao walikua na kufikia urefu wa eli elfu tatu(futi 450),wakawalisha chakula chao chote hadi pale waliposhindwa kuwahudumia zaidi,majitu yakawageuka binadamu na kuanza kuwatafuna.Majitu yakanajisi ndege wa angani,wanyama,viumbe vitambaavyo,samaki na hata wenyewe kwa wenyewe walitafunana,na kunywa damu.Dunia ikalaaniwa,ikaomboleza kwa ajili ya viumbe hawa wasio na sheria wala ustaarabu.Na Azazel(malaika) akawafundisha watu kufua chuma,kutengeneza upanga,na visu,na ngao,na dirii,akawafahamisha madini yaliyoko chini ya ardhi na jinsi ya kuyageuza kwa matumizi,na vikuku,na mapambo,na matumizi ya wanja,na jinsi ya kupamba kope za macho,na mawe yote ya thamani,na rangi zote za maji.Kukatokea uovu mkubwa sana,wakafanya uasherati,wanadamu wakapotoshwa,na kuharibika njia zao zote.Semjaza akawafundisha uchawi na mizizi,Armaros akafundisha uganga(kutatua uchawi),Baraqijal unajimu,Kokablel akafundisha elimu ya buruji(constellations),Ezeqeel elimu ya mawingu,Araqiel ishara za dunia,Shamsiel ishara za jua,na Sariel elimu kuhusu Mwezi.Binadamu wakaangamia,na walivyozidi kuangamia walilia,na kilio chao kilifika hadi mbinguni.Na Michael,Uriel,Raphael na Gabriel wakatazama chini, na kuona damu nyingi ikimwagika duniani,na uovu wote,wakaambizana wao kwa wao,"Dunia iliumbwa huku wakazi wake wakiwa hawajui huzuni wala vilio,mbona tunawasikia wakilia hadi kwenye milango ya mbinguni?Enyi watakatifu wa mbinguni,roho za wanadamu zinatulilia zikisema,pelekeni kilio chetu mbele yake Aliye Juu."Wakamwambia Bwana wa enzi,"Ewe Bwana wa Mabwana,Mungu wa Miungu,Mfalme wa Wafalme,na Mungu wa enzi zote,kiti cha enzi cha ufalme wako kinasimama katika vizazi vyote,na Jina lako takatifu na tukufu limebarikiwa katika vizazi vyote!Umeumba vyote,una nguvu juu ya yote,na mambo yote yako wazi machoni pako,unayaona yote na hakuna linalojificha mbele zako.Umeyaona yote Azazel aliyofanya,kuwafundisha wanadamu uovu wote na kuwafunulia siri zilizofichwa mbinguni,ambazo binadamu alihangaika kujifunza kuzielewa:Na Semjaza uliyempa mamlaka juu ya malaika wenzake.Nao wamekwenda kwa binti za wanadamu duniani,wakalala nao,wakajinajisi,wakawafunulia kila aina ya dhambi.Na wanawake hao wamezaa majitu,na dunia yote imejazwa damu na dhuluma.Tazama,roho za wale waliouawa zinalia na kutoa mashtaka yake katika milango ya mbinguni,na maombolezo yao yamezidi,wala hayaishi kutokana na dhuluma inayotendwa duniani.Wewe unajua mambo yote kabla hayajatokea,unayaona haya yote na yanakuumiza,lakini hujatuambia la kufanya juu ya yote haya."......

Mkuu juve.. maelezo zaidi naomba hiii mistar umeitoa kitab kipi? Cha enock au?
 
Mkuu juve.. maelezo zaidi naomba hiii mistar umeitoa kitab kipi? Cha enock au?

naam mkuu.ni.hicho kitabu.ujumbe nimeupata.samahani kwa kuchelewa kujibu.kazi zimenibana sana mkuu.nitakupm.wanajamvi tutaendelea na maswali yatajibiwa au kutoa reference mkajisomee wenyewe maana haya mambo ni meengi sana tutakesha miaka na miaka humu jamvini tukitaka kuzungumzia kila kitu wakuu.
 
Kuna uhausiano kati ya Roman Catholic kule Vatican na hizi familia 13?
Kama upo, uliaanza je na nini faida ya wahusika wote hao?
 
Back
Top Bottom