Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

mkuu kwa usalama,wazo zuri ila nina wasiwasi kama huu ni uwanja sahihi,manake naona mods wako strict sana na suala la dini,ndio maana unaona mambo mengi tunapeana link hapa.tunayasema hapa kama historical references na authority tu.sio extensive reading.
 
mkuu juve, link nasoma tena sana sema napata maswali mengi kuliko majibu ndo maana nikaomba kujifunza kutoka kwako.Nitazidi kujifunza .
 
Mkuu Juve2012

Nimesoma hii ishu ya HAARP, pia Snowden ame confess kuhusu bad intension ya hii project. Sasa kama kila kitu kipo wazi, huu mradi una maana yoyote tena kwa hawa jamaa.
 
Mkuu juve2012
asante kwa elimu ya bure wadau wote mliochangia huu uzi ki ukweli nimeipenda sana hii ulivyoichambua kutoka kwenye biblia mpaka kuwapata Wanefili nimevutiwa na uchambuzi wako makini na wa kina

C.T.U huu uzi ulivyo uachia tu, kuna vitu vimefunguka kichwani mwangu na nimepata majibu ambayo maswali yake ni vipolo vya mda mrefu saluti sana mkuu,,,,endelea kutunyambulia vitu vizuri ka hivi
asante kwa uzi mkuu..
 
Ni zaidi ya miaka sita sasa imepita toka nimefuatialia thread ya kusisimua kama hii! Kwa kweli Juve2012 umenifanya nipende jamii forums tena. Ombi langu kwako ni kwamba tafadhali endelea kuelimisha umma kwa kutupatia list ya vitabu na website ili na sisi tusome tuelimike na kuwaeleimisha watoto wetu. Lakini haya mambo yanatisha sana.
 
hapa tatizo sio kufa mkuu mzaramo. tatizo ni jinsi wanavyo badili the entire world kama wanavyotaka wao. upo uwezekano huyu mungu wanayetuhubiria wao sio mungu ambaye anatakiwa aabudiwe b'se they control everything nowadays.

Siku zote huwa nafikira kama hizi mkuu_maake ukiona hata hao wanaoitwa freemasons(sijui kama wapo lakn)wote ni hao hao_...najiuliza hivi hawa watu smart sana upstairs/kichwani wao hawapendi kwenda peponi mpaka wakaamua kumuasi huyo Mungu waliyetuletea,...anyway_time will tell kuhusu hili jambo la dini za mapokeo i.e uislam na ukristo.
 
juve2012 Nimefuatilia kwa makini na nimechukua muda kufanya research kidogo mbona naona kama
tuko ukingoni sana mwa kuendelea na maisha haya? nisaidie hiki kipindi kinaitwa cha dhiki kuu mbona naona
haya ndio maandalizi yake ya juu sana ya kutonunua na kutouza? na je kipindi hiki cha dhiki kuu je watakatifu
watakuwepo duniani pia? au ndio kuwa watakuwa wamenyakuliwa? Please help me,nimekuwa na maswali mengi
kuliko majibu'
 
C.T.U, juve2012, major mwendwa, Walas Ba...
Asanteni kwa kunitoa gizani...moyo umekuwa mzito yani mpaka stim ya kusaka maisha bora imetoweka ghafla. Kusoma mambo haya yataka ujasiri kiukweli. Endeleeni kumwaga somo wadau...
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!



salute mkuu#
 
Yani hapa nahisi nywele zimesimama!! Sasa kama hali ndio hii where are we goin?? Nimependa sana hili jukwaa nimependa sana mafunzo ya kwenye huu uzi!! Tupeni elimu wanajamvi kwa maana naamin yako mengi sana mnayajua na sisi hatuyajui...
 
juve2012 Nimefuatilia kwa makini na nimechukua muda kufanya research kidogo mbona naona kama
tuko ukingoni sana mwa kuendelea na maisha haya? nisaidie hiki kipindi kinaitwa cha dhiki kuu mbona naona
haya ndio maandalizi yake ya juu sana ya kutonunua na kutouza? na je kipindi hiki cha dhiki kuu je watakatifu
watakuwepo duniani pia? au ndio kuwa watakuwa wamenyakuliwa? Please help me,nimekuwa na maswali mengi
kuliko majibu'
Remsa anasema heri wafu wafao tangu sasa maana ake lazima watu wapitie hili joto wakristo wengine tunaamini zipo nafsi ambazo hazitaonja Mauti kama nabii Eliya zipo ambazo zitaonja mauti kwa muda mfupi kama musa na Wapo ambao watapitia mateso haswa kama walivyoteswa wanafunzi wa yesu unajua kifo alichokufa Yohanna Petro na wengine Ni kujikabidhi kwa mungu sababu ni lazima hao watu wayafanye hayo ili aliyeuymba ulimwengu aje mwenyewe
 
wakuu habari za siku?tusameheane kidogo kazi zimebana sana.hata hivyo tuendelee taratibu tutafika tu.hebu chekini kitu kinaitwa PROJECT YELLOW BOOK au ZETA RETICULI EXCHANGE PROGRAME.
 
Back
Top Bottom