Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

I strongly disagree,,,do you know Rockerfeller family is a branch of Rothschild,,,na Rothschild ndo wanaimiliki dunia,,starting from giving capital to david rockerfeller sr and supporting him to giving money to george soros to own the bank of england,fixing gold prices and they own four biggest companies that have rights in world's biggest co-operations,,,even breznsky who owns/has power over democratic and republic party in u.s.a is a rothschilds,israel is a nation of rothschilds and hitler a rothschild too ,,,so ROTHSCHILDS OWN THE WORLD
 
Wakuu,nawashukuru kwa kuwa pamoja katika mjadala huu.ninaona kwa hekima,i can not cross this line kwa sasa,kwa sababu yaliyobaki itakuwa premature kuyazungumza!endeleeni kufuatilia mambo haya mtaelewa mengi,mengine mtayaona strange na "conspiracy theories"kwa sasa but don't worry,time will give you enough exposure to understand things which are strange to us today because of limited information and exposure.!tusali sana,tuombe Mungu sana.that's all i can say!niwaage na hivi vitu viwili,cha kwanza naomba google this,"George Bush heart of darkness,minerals and Africa"utapata ripoti fulani ya mwaka 1997 kutoka executive intelligence review(kwa wale ambao hawajaisoma ripoti hii,please,read it!).pili,kwa wale ambao ni free mind,hawana shida na material zinazochanganya sayansi na dini,please,google "KT EXTINCTION" halafu kasome ufunuo sura ya 8,fuatilia ripoti za ongezeko la natural disasters duniani,prediction za kisayansi juu ya huko tuendako,siri za Fatima(wakatoliki wanajua sana hii),pamoja na kitabu cha mwandishi mmoja wa zamani anaitwa Ellen G White,kinaitwa last days events!rafiki yangu Consigliere,uelewe tu kwamba UKWELI NI FACT ISIYOHITAJI FACTS NYINGINE ZAIDI YA YENYEWE,IT ONLY NEED TIME TO PROVE ITSELF!stay blessed but ninapopita barabarani,mashuleni na kuwaona watu wakienda kazini na watoto wetu wakisoma na kucheza...mzigo mzito moyoni..mzito sana..FUTURE TIMES ni mzigo mzito sana moyoni mwangu!naumwa kabisa!bora nisingejua niyajuayo,yamekuwa heavy burden,na hata nikiyasimulia vipi,hayawezi kuwa burden kwa mwingine,hajaipitia njia yangu!gentlemen,beware,there is GOD above,and Devil below!thanks!
 
Ok, baada ya yoote hayo ....conclusion ni nini?

there will be a one world government.wether you like it or not.
Kuelekea hiyo serikali moja lazima wapunguze idadi ya watu(depopulation)wanataka kukata idadi ya watu dunianiani toka hiyo bilioni 6 na ushee hadi milion 500.
Wanasema ,'we will get rid of uselesseater''
na wanafikia malengo hayo pale itakapopiganwa vita ya tatu ya dunia ambayo silaha za nyuklia zitatumika.
Na huo ni mpango ulio kwenye ratiba yao.research Alfred pike.
 
I strongly disagree,,,do you know Rockerfeller family is a branch of Rothschild,,,na Rothschild ndo wanaimiliki dunia,,starting from giving capital to david rockerfeller sr and supporting him to giving money to george soros to own the bank of england,fixing gold prices and they own four biggest companies that have rights in world's biggest co-operations,,,even breznsky who owns/has power over democratic and republic party in u.s.a is a rothschilds,israel is a nation of rothschilds and hitler a rothschild too ,,,so ROTHSCHILDS OWN THE WORLD

Dah! Mkuu unatuaga wakati mchango wako bado unahitajika 100%,,,honestly umetufanya tujue vitu vingi chini ya hilg jua.
Mkuu nakuomba uendelee kutuelimisha maana ni m1 wa Great Thinker.
 
there will be a one world government.wether you like it or not.
Kuelekea hiyo serikali moja lazima wapunguze idadi ya watu(depopulation)wanataka kukata idadi ya watu dunianiani toka hiyo bilioni 6 na ushee hadi milion 500.
Wanasema ,'we will get rid of uselesseater''
na wanafikia malengo hayo pale itakapopiganwa vita ya tatu ya dunia ambayo silaha za nyuklia zitatumika.
Na huo ni mpango ulio kwenye ratiba yao.research Alfred pike.

dooh! inatisha sana ...
 
Kweli dunia mti mkavu, kiumbe usiegemee.

Ila mtoa mada ni busara zaidi kama utarudi tuendelee, maana somo ni zuri na linaeleweka, w'funzi wana morari na kiu yao haijakatika.

Mkuu C.T.U., juve na wote wenye elimu hiyo, tugawieni zaidi tafadhali mpaka w'funzi tuogope wenyewe tuseme basi, 'mwl. inatosha'.
 
''if you control the world's money,making elite society through education,mainstream media information and spiritual power,then you own the world'' quotes of nelson rothschilds,,,

as C.T.U said though its a romour rothschilds have big percent at federal reserve through city state co,vanguard and black rocky companies,followed by rockerfellers,j.p morgan chase and family,,,all these families have shares in four companies that own worlds money systems that is federal reserve,bank of england,i.m.f,world bank to mention but a few,,and the companies are vanguard,black rocky,city state and j.p morgan,,,,,,

in eduaction C.T.U has explained well

these fellows own reuters and a.p as they are source of propaganda

and in spiritual relm they are inner circle of elders of zion and illuminati,,,,,
 
Wakuu,nawashukuru kwa kuwa pamoja katika mjadala huu.ninaona kwa hekima,i can not cross this line kwa sasa,kwa sababu yaliyobaki itakuwa premature kuyazungumza!endeleeni kufuatilia mambo haya mtaelewa mengi,mengine mtayaona strange na "conspiracy theories"kwa sasa but don't worry,time will give you enough exposure to understand things which are strange to us today because of limited information and exposure.!tusali sana,tuombe Mungu sana.that's all i can say!niwaage na hivi vitu viwili,cha kwanza naomba google this,"George Bush heart of darkness,minerals and Africa"utapata ripoti fulani ya mwaka 1997 kutoka executive intelligence review(kwa wale ambao hawajaisoma ripoti hii,please,read it!).pili,kwa wale ambao ni free mind,hawana shida na material zinazochanganya sayansi na dini,please,google "KT EXTINCTION" halafu kasome ufunuo sura ya 8,fuatilia ripoti za ongezeko la natural disasters duniani,prediction za kisayansi juu ya huko tuendako,siri za Fatima(wakatoliki wanajua sana hii),pamoja na kitabu cha mwandishi mmoja wa zamani anaitwa Ellen G White,kinaitwa last days events!rafiki yangu Consigliere,uelewe tu kwamba UKWELI NI FACT ISIYOHITAJI FACTS NYINGINE ZAIDI YA YENYEWE,IT ONLY NEED TIME TO PROVE ITSELF!stay blessed but ninapopita barabarani,mashuleni na kuwaona watu wakienda kazini na watoto wetu wakisoma na kucheza...mzigo mzito moyoni..mzito sana..FUTURE TIMES ni mzigo mzito sana moyoni mwangu!naumwa kabisa!bora nisingejua niyajuayo,yamekuwa heavy burden,na hata nikiyasimulia vipi,hayawezi kuwa burden kwa mwingine,hajaipitia njia yangu!gentlemen,beware,there is GOD above,and Devil below!thanks!

Asante sana Mungu akubariki kwa somo hili
 
Basi kama wanapanga nani awe rais wa marekani that means wanapanga marais wote wa Africa. Wa kwetu mwenyewe itakuwa ni mipango yao tu coz they control the world.

Mkuu labda tu kwa kukusaidia ni kuwa position ya makamu wa rais marekani ni kwa ajili ya kulinda maslahi yao tu jaribu kuangalia kazi za makamu wa raisi anazofanya ndio utapata jibu.
 
This people own most part of new york. Ofcz USA kiburi yao iko apo kwa washkaji. Wanatumika kuendelea kuwatajirisha. Alienacho huongezewa!!
 
I strongly recommend hiki kitabu cha ellen g white "last days event" kinatoa mwanga ya jinsi itakavvokuwa na pia on how to prepare your self for whats coming ni kizuri sana kwakweli kitafuteni popote mtakapo kipata kitawasaidia sana

Huyu Hellen G White si Msabato( the cult religion) aliye wapotosha Wasabato(mafarisayo/wayahudi) kwa mafundisho yake...?
 
Huyu Hellen G White si Msabato( the cult religion) aliye wapotosha Wasabato(mafarisayo/wayahudi) kwa mafundisho yake...?
siku zote ukitaka kujifunza mambo usiyoyajua nenda kwa lengo la kujifunza usiangalie usabato jifunze wana kitu gani ambacho hukijui na jaribu kutazama kama kina ukweli au ni uongo tu.ndugu gharama ya kutafuta ukweli ni kazi sana ila penda kujifunza tena kupitia vitabu
 
c.t.u na juve watu wana kiu kubwa ya kutaka kufunuliwa mambo haya hebu tumieni vipawa vyenu wafundisheni watu ambao hawajapata kufahamu mambo ambayo wana macho lakini wameshindwa kuona wana masikio ila hayajasikia itakuwa ni kosa nyie mliobahatika kuwaacha watu hawa wakiwa na shauku
 
dhumuni kubwa la hii familia ni kuhakikisha wanatumia kila uwezo kuhakikisha marekani inakuwa top economy na ni kwasababu maalumu kwa wasiojua marekani ni taifa litakalompatia nguvu mpinga kristo kwa kutii matakwa na sheria zake na hii ikilatibiwa kwa umakini wa hali ya juu huku sababu kubwa ikiwa ni kuzorota kwa uchumi duniani.kumbuka wao ndio waliosababisha global financial crisis ya mwaka 1932 na 2008 haikutokea kwa bahati mbaya wanajua wanalolifanya kwa asilimia zote tutaendelea kufahamishana wapendwa
 
Back
Top Bottom