Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

kuna mambo mengi tunafichwa lakini wapo watu ambao wamejaaliwa kufunuliwa na wengine wamewahi kushiriki na wakaachana na haya mambo ila tutaweza kuona ni namna gani wanatumia madhehebu na hata biblia nyingi zinazochapishwa na bible society kuwa na mapungufu kwa kubadilisha maana na kufuta mafungu mengine mfano unaweza kuta labda fungu la 21 then 23 la 22 halipo hili limo kwenye biblia nyingi hasa za kiingereza za siku hizi by bible society association tujifunze pamoja wapendwa
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

Mkuu, juve ameelezea vizuri sana kuwa hizo ni siri ambazo wenye kuresearch ndo wanaufahamu nazo. Hao watu unadhani wanapenda kujulikana?
Kwao it is better wawe in the background na kumuacha Gates aonekane ana dominate chart lakini in reality si kweli. Unadhani hizi story ukiuliza eti serikali ya Marekani inamilikiwa na watu wachache kuna atakayekuelewa huko Marekani? Hata hao wamarekani hawaamini kitu kama hiki kipo. Enewei, fanya research yako ila majibu ya kuanzia ushapewa.
 
Mkuu, juve ameelezea vizuri sana kuwa hizo ni siri ambazo wenye kuresearch ndo wanaufahamu nazo. Hao watu unadhani wanapenda kujulikana?
Kwao it is better wawe in the background na kumuacha Gates aonekane ana dominate chart lakini in reality si kweli. Unadhani hizi story ukiuliza eti serikali ya Marekani inamilikiwa na watu wachache kuna atakayekuelewa huko Marekani? Hata hao wamarekani hawaamini kitu kama hiki kipo. Enewei, fanya research yako ila majibu ya kuanzia ushapewa.

Sina muda mchafu huo.
 
Ukitazama upande mmojawapo wa noti ya dola moja ya marekani,utaona pyramid.hii wenyewe wanaita "great seal".wana namna yao ya kuipa tafsiri njema lakini kila mahali penye illuminati hii ndio symbol yao kubwa sana.YES,noti ya dola moja ya marekani ina alama ya illuminati.this shows how deep things are!yes,they control the federal reserve bank!nawaomba mfanye research na kuelewa uhusiano uliokuwepo kati ya bank moja inaitwa Chase Manhattan na federal reserve,halafu mchunguze uhusiano uliopo kati ya federal reserve na World Bank,na nadhani wote tunaelewa uhusiano wa World Bank na central bank nyingi duniani.pia tunaelewa uhusiano uliopo kati ya central banks na other local banks!fuatilieni hiyo chain,halafu muendelee kusema pesa ni za kwenu!tukumbuke kuwa pesa inabeba thamani ya vitu na mambo yote ambayo kwayo transaction inafanyika.so whoever controls money controls global economy.hawa Rothschilds ndio wanapanga bei ya soko la dhahabu duniani kutoka London!Bilderbegers wanaweka vikao na kusimamia masuala ya kisiasa na policies mbalimbali duniani halafu kupeleka maazimio yao duniani kote kupitia mtandao wa taasisi zinazojihusisha na foreign policy.taasisi hizo zinaitwa central for foreign relation(CFR).Huko ndiko globalists wanakopikwa.ni uwanja ambao ellites wanapata nafasi ya kuwasiliana,kuwatengeneza wanasiasa ambao watatekeleza mambo yao kwa ufanisi.!watu wengi wanaofanya kazi wizara za mambo ya nje huzalishwa kwenye vituo hivi na wengi huingizwa kwenye mtandao wa intelijensia wakiwa huko.ni kitu cha kufikiria mara nyingi sana na kwa uangalifu mkubwa,kabla hamjaamua kuchukua mtu mwenye background ya idara hizi za foreign policy and diplomacy na kumkabidhi madaraka makubwa makubwa kwenye nchi,hasa ktk nchi zetu hizi "bendera fuata upepo".sina nia mbaya na watu waliosomea kazi hizi,lakini natahadharisha tu,huko ndiko mtandao wa dunia unakoingilia sana policy za nchi!Tukirudi kwenye mada,ile pyramid kwenye dola,ina maneno ya kilatini juu na chini!juu yameandikwa ANNUIT COEPTIS ikiwa na maana ya "amekubali(amebariki,ameridhia) matendo au mpango wetu".chini ya pyramid kuna maneno NOVUS ORDO SECLORUM ikiwa na maana ya "new order of ages".unganisha maana ya juu na chini halafu jiulize ni nani huyu ambae illuminati wanatamba kuwa amebariki mpango wao wa new order of ages?jibu linapatikana hapo hapo kwenye pyramid.ukiitazama kwa makini,utagundua sehemu ya juu ya pyramid(kilele au kofia)imetenganishwa na pyramid yote.katikati ya ile capstone yaani kale kakofia ka juu kalikojitenga,utaona jicho linaloangaza mchoro mzima wa pyramid kutoka pale juu hadi chini.hili jicho linaitwa all seeing eye au the eye of osiris,Mungu wa illuminati!halafu ukiitazama pyramid yenyewe inayomulikwa na jicho huku chini,utagundua kuwa ina ngazi 13(hesabu horizontal lines zinazokatiza pyramid!ile ngazi ya chini kabisa imeandikwa kwa kirumi 1776.ni mwaka ambao america ilipata uhuru lakini pia ni mwaka ambao tarehe 1,May Adam Weishaupt alianzisha illuminati kutokana na imani na mabaki ya Knight Templars!do a research on Knight templars uwajue!tafakari,mchoro wa pembetatu,unavyozidi kwenda juu ndio unazidi kuchongoka na kuwa mdogo.hii ndio structure ya utawala wa illuminati U.S na duniani.kule juu ile capstone na jicho ni light bearer,mwangaza unaoangaza yaani chanzo cha ufahamu.ni nani anayeitwa light bearer,aliyempa ufahamu mwanadamu ya kuwa "atajua mema na mabaya" pale Edeni?ile ngazi ya kwanza juu ya pyramid inayoifuatia capstone ni council of alliens(nephillims)ngazi inayofuatia chini ni council of 13 ikiwa chini ya mwenyekiti anayeitwa Pindar(pinnacle or pennis of dragon).mara nyingi mwenyekiti huyu ni kaka mkubwa wa Rothschilds!chini ya 13,kuna council of 33,chini 33 kuna 300,halafu 500(remember forbes "fortune 500"?kacheki logo za kampuni hizo!)chini ya hizi councils kuna intelligence organisations,chini ya hizo kuna CFRs,chini ya hapo kuna international institutions and religious organisations,chini ya hapo kuna world leaders,scientists na kadhalika hadi ngazi ya chini tulipo mie na wewe.notice that unapokwenda chini pyramid inaongezeka kumaanisha information awareness na mamlaka ni ya watu wengi,lakini kadri unavyopanda ngazi za juu kwa madaraka ya dunia ya leo,ni wachache walio nayo na ndio ufahamu wa kinachoendelea unavyozidi.wachache walio juu ndio mabosi wa dunia,wakitawala kwa msaada wa "mwangaza" wa capstone!mfumo mzima toka juu hadi chini unakuwa coordinated na illuminati na freemasons kulingana na ngazi husika!wako kila ngazi,ni itelligence within intelligence!nadhani mmepata picha ya mahusiano ya NSA na illuminati sivyo?jiulize mtu wa kawaida anaweza kudirect domain yake kwenda mtandao rasmi wa NSA na White house ?kwenye haya mambo ya intelijensia ogopa sana "third person",ni adui usiyemjua na ndio key player!sasa waungwana hebu tutafakari maana nzima ya hii pyramid,ujumbe wa kilatini iliyobeba,halafu ikiwa ndani ya noti ya dola,currency ya taifa kubwa duniani,major media of exchange worldwide,unapata ujumbe toka kwao?

Mkuu unatisha dah hatari!
 
wakuu,kwa wale wanaopenda kujua kitu inaitwa "papal bloodline",wagoogle tu hiyo kitu,au to be specific,we google "the house of Medici".dunia hii ni zaidi ya tuijuavyo.
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana u.s wamejenga universities nyingi sana u.s.wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni rothschild,bundy,kennedy,russell,astor,collins,du pont,freeman,li,onassis,reynolds na van duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(u.k,holland,spain etc).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina agnelli,morgans,carnegie,warbug etc.sikumbuki kumuona gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,kijamii,kidini na kisiasa kama u.n,au,c.i.a,mossad,kgb,m16,ymca,lucis trust,benki,hospitali,viwanda,serikali etc!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda misri eneo linaitwa giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa mwenyezi mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,india na america.base yao kuu ilikuwa bara la atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).lakini kuna laana alitamka mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza nimrod kuijenga babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale babylon hadi leo.ndio hao akina goliath,ndio wale titans wa yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the biggest lie ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!


mkuu hapa naomba ntofautiane na wewe
siamini kama ile gharika ya nuhu ilipiga dunia nzima

la hasha ila ilipiga tu maeneo ambayo nuhu alikuwako kipindi kile na kwa kuwa hakuna mtu ambaye aligundua maeneo mengine ya dunia yaliyokaliwa na watu

siamini kama ile gharika ilipiga

botswana
siamini kama ile gharika iliigusa marekani

na siamini kama ile gharika iliipiga japan


ila naamini iliishia maeneo yale yale ambayo nuhu na watu wa kipindi kile walikuwa wanaishi
 
mkuu hapa naomba ntofautiane na wewe
siamini kama ile gharika ya nuhu ilipiga dunia nzima

la hasha ila ilipiga tu maeneo ambayo nuhu alikuwako kipindi kile na kwa kuwa hakuna mtu ambaye aligundua maeneo mengine ya dunia yaliyokaliwa na watu

siamini kama ile gharika ilipiga

botswana
siamini kama ile gharika iliigusa marekani

na siamini kama ile gharika iliipiga japan


ila naamini iliishia maeneo yale yale ambayo nuhu na watu wa kipindi kile walikuwa wanaishi

ntakuuliza swali C.T.U?kwa nini all the races of recent civilization all dates back to Noah instead of Adam?Umeshawahi kusikia mwafrika,mzungu,mchina,mwarabu kabla ya flood?ziko wapi hizo race ambazo zinadai kuwepo kabla ya gharika na kuprove lineage yake bila kumgusa Noah?swali lingine nakuuliza,kwa nini culture zetu nyingi ukizifuatilia zinaonyesha kuanzia Babylon?even freemasonry and many religions all dates back to Babylon,why?swali langu lingine,unafahamu ni kwa nini Mwenyezi Mungu katika kitabu cha ufunuo anaita ile corrupt system iliyomchefua "babylon"?kuna ugomvi gani kati ya Mungu na hili neno Babylon?swali langu la mwisho kwako wewe binafsi,do you believe in the bible?
 
ntakuuliza swali C.T.U?kwa nini all the races of recent civilization all dates back to Noah instead of Adam?Umeshawahi kusikia mwafrika,mzungu,mchina,mwarabu kabla ya flood?ziko wapi hizo race ambazo zinadai kuwepo kabla ya gharika na kuprove lineage yake bila kumgusa Noah?swali lingine nakuuliza,kwa nini culture zetu nyingi ukizifuatilia zinaonyesha kuanzia Babylon?even freemasonry and many religions all dates back to Babylon,why?swali langu lingine,unafahamu ni kwa nini Mwenyezi Mungu katika kitabu cha ufunuo anaita ile corrupt system iliyomchefua "babylon"?kuna ugomvi gani kati ya Mungu na hili neno Babylon?swali langu la mwisho kwako wewe binafsi,do you believe in the bible?


Naomba kwenye swali la mwisho ni gumu kukujibu so naomba nifuate tu misingi ambayo nimekuwa nimelelewa nayo
period

kwa maswali mengine nipe muda nikafanye research then nitakuja na nondo zenye point za kuweza kunisimamisha na kutetea hoja yangu....
 
Mkuu Juve nikisoma vitu vyako napata picha ya vitu vingi embu mwaga data zaidi
 
Mkuu C.T.U ok,ntasubiri kwani hapa hatubishani tunaelimishana tu,tena ukizingatia tunazungumzia dunia ambayo hatukuwepo,ni muhimu kuresearch,ila sielewi ni kitu gani ambacho watu wanabishana na wewe kuhusu authority unayotumia wewe kuutaja utajiri wa Rockefeller mbona mie naona uko sahihi tu!umetoa link ya wealthiest historical figures toka wikipedia,sasa humo kwenye wikipedia mbona wametaja hiyo figure?tena hawajasema familia bali wamemtaja mtu mmoja JOHN D ROCKEFELLER kuwa mwaka 1937 wakati anakufa alikuwa na net worth in the range of 392 to 663 billion dollars equal to 1.53% of the total U.S annual GDP in his day!wakaongezea kuwa "when considering the real value of his wealth,Rockefeller(John D) is widely held to be the wealthiest person in history.tena huyu John hakurithi huu utajiri,aliutafuta mwenyewe(kwa mujibu wa hizi mainstream media mnazoziona ziko sahihi ingawa mie siamini kila wasemacho) kama akina Gates(kama kweli utajiri ni wa Gates mwenyewe isijekuwa ni Rockefellers hao hao secretly behind Microsoft kukwepa case kama za standard oil zisiwakute tena!),akitokea kuwa wholesale grocer?si kama namkubali no,simpendi huyu mtu kwa kuwa utajiri wake aliupata kwa usanii wa hatari!jamaa alianzisha kampuni ya kusafisha mafuta huko U.S.baadae akaanza kununua kampuni moja moja za kuchimba mafuta.akaanzisha stores na stations,akawa anachimba yeye,anasafisha yeye,anauza yeye.kuwamaliza wapinzani wake waliobakia akaweka mkakati ambao kila nikiukumbuka naangua kicheko huku hasira zimenishika.mafuta yalikuwa yakichimbwa kwa kiwango kikubwa kwenye eneo moja la U.S liitwalo Cleveland.jamaa aliongea na railway companies zote zilizokuwa zikisafirisha mafuta toka machimbo kuja viwandani,akawapa rushwa ili watengeneze rebate kwa mapipa yake na ya wapinzani wake,yaani kila pipa kama gharama yake ya kusafirisha ni 60 basi waipandishe hadi 100 halafu hiyo 40 inayozidi wamrudishie baadae lengo likiwa ni kuwakomoa wapinzani wake.hata zile 40 zilizozidi kwenye pipa za wapinzani wake akawa analamba na jamaa wa treni.kwa hiyo kadri wapinzani wake walivyosafirisha mapipa mengi walikuwa wakimchangia yeye na kujimaliza wao kwa pesa zao wenyewe.halafu wakifika sokoni,yeye mafuta bei chini,wenzie bei juu,jamaa wakafilisika mmoja baada ya mwingine na kumuachia machimbo mengi akawa main producer.kuwamaliza wenye viwanda vya kusafisha mafuta na station,stores kama zake,akaanza kupunguza uzalishaji mafuta huku akipandisha bei ya crude oil,matokeo yake wenzie wakashindwa kununua mafuta kwake,as long as yeye ndio mchimbaji mkubwa ikabidi wamwachie biashara yote hadi kuuza.akawa ana-monopolize biashara ya oil marekani nzima.jamaa wakamstukia na kumshitaki kukiuka sheria ya Sherman inayotetea uwepo wa ushindani wa kibiashara na 1911,mahakama kuu ya marekani ikaamuru standard oil igawanywe kuwa kampuni ndogo 33.kampuni hizi ndizo msingi mkuu wa makampuni makubwa ya mafuta marekani na duniani leo hii kama vile Esso,ExxonMobil,Carter Oil,Imperial Oil,Mobil,Chevron,Texaco,Amoco(imeungana na BP leo)Atlantic,Anglo-american na utitiri wa makampuni ya mafuta yenye jina la standard oil kulingana na states yalipo mf.standard oil of New Jersey,Brazil etc!hata hao Forbes wanalist jamaa kama the richest american in history huku akiwa na utajiri ambao ni 1.53% of U.S economy wakati huo.Wapo na wengine ambao utajiri wao ulivuka 100 billion kama Cornelia Vanderbilt(178.4 billion),Jacob Astor(116 billion),Andrew Carnegie(297.8 billion),J.P Morgan etc!hiyo 663.4 bilion ni mtu mmoja anaitwa JOHN D ROCKEFELER na si familia.(narudia kwa mujibu wa media rasmi mnazopenda nyie mie siamini sana story zao)haya yameandikwa wikipedia na mtu akitaka source wikipedia imetoa reference kibao,Forbes ikiwemo.sasa sielewi kwa nini watu bado wanabisha!labda sijaelewa dhana ya mabishano yenu!
 
Back
Top Bottom