Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

wakuu habari za siku?tusameheane kidogo kazi zimebana sana.hata hivyo tuendelee taratibu tutafika tu.hebu chekini kitu kinaitwa PROJECT YELLOW BOOK au ZETA RETICULI EXCHANGE PROGRAME.

welcome back, na pole na majukumu mkuu. Lets move on. Ila kuna mambo mengine muhimu (vile nahisi nayenyewe tungepata kuyadadisi) hili la symbolic or common signs katika fedha, mfano nitazamapo noti yetu ya fedha ya sh.500 na alama ya Nyoka katika mti ni kiashiria cha nini?
Na je wanaopendekeza alama hizi na wakina nani? Mfano mwingine ni nembo ya muhimbili hosp, ili nalo limekaaje ulionavyo wewe?
 
wakuu habari za siku?tusameheane kidogo kazi zimebana sana.hata hivyo tuendelee taratibu tutafika tu.hebu chekini kitu kinaitwa PROJECT YELLOW BOOK au ZETA RETICULI EXCHANGE PROGRAME.

how Eben being the Jesus Christ!? Ni kwa nini source ya mambo yote haya ni U.S? What is the reason beahind with that land states?
 
hawa jamaa wapo njema sana they control every thing na utajiri wao sio wa leo long time ago!!
 
Mkuu Juve.

Ina maana hizi secret project ziko financed na kina Rockerfellers?
 
Ikawa wanadamu walipoongezeka usoni pa nchi,wana wa kike wazuri na wa kuvutia walizaliwa kwao.Na malaika,wana wa mbinguni,waliwaona hao binti za wanadamu,wakawatamani.Basi wakaambizana wao kwa wao,"Twendeni,tukajitwalie wake katika binti za wanadamu,nao watuzalie wana".Na Semjaza,kiongozi wao,akawaambia:"Naogopa ya kwamba hamtakubali kutenda jambo hili,na mimi pekee nitaibeba adhabu ya dhambi hii kubwa".Wote wakamjibu na kumuambia 'Na tujifunge kwa kiapo,ya kwamba tutatekeleza jambo hili'.Wote wakajifunga kwa kiapo.Na jumla yao walikuwa mia mbili,walioshuka katika kilele cha mlima Hermon,katika siku za Jared.Pakaitwa mahali pale Hermon,kwa sababu ya kiapo kile.Na haya ndio majina ya wakuu wao:Semjaza,Araklba,Rameel,Kokablel,Tamlel,Ramlel,Danel,Ezeqeel,Baraqijal,Asael,Armaros,Batarel,Ananel,Zaqlel,Samsapeel,Satarel,Turel,Jomjael na Sariel.Hawa ndio wakuu wa vikosi.Na wengineo wote waliokuwa pamoja nao walijitwalia wake,kila mmoja akaoa mke mmoja,wakawaendea na kujinajisi pamoja nao,wakawafundisha elimu ya hirizi na uchawi,na mizizi,na kuwafahamisha elimu ya miti.Wakawatunga mimba,nao wakawazalia wana,ambao walikua na kufikia urefu wa eli elfu tatu(futi 450),wakawalisha chakula chao chote hadi pale waliposhindwa kuwahudumia zaidi,majitu yakawageuka binadamu na kuanza kuwatafuna.Majitu yakanajisi ndege wa angani,wanyama,viumbe vitambaavyo,samaki na hata wenyewe kwa wenyewe walitafunana,na kunywa damu.Dunia ikalaaniwa,ikaomboleza kwa ajili ya viumbe hawa wasio na sheria wala ustaarabu.Na Azazel(malaika) akawafundisha watu kufua chuma,kutengeneza upanga,na visu,na ngao,na dirii,akawafahamisha madini yaliyoko chini ya ardhi na jinsi ya kuyageuza kwa matumizi,na vikuku,na mapambo,na matumizi ya wanja,na jinsi ya kupamba kope za macho,na mawe yote ya thamani,na rangi zote za maji.Kukatokea uovu mkubwa sana,wakafanya uasherati,wanadamu wakapotoshwa,na kuharibika njia zao zote.Semjaza akawafundisha uchawi na mizizi,Armaros akafundisha uganga(kutatua uchawi),Baraqijal unajimu,Kokablel akafundisha elimu ya buruji(constellations),Ezeqeel elimu ya mawingu,Araqiel ishara za dunia,Shamsiel ishara za jua,na Sariel elimu kuhusu Mwezi.Binadamu wakaangamia,na walivyozidi kuangamia walilia,na kilio chao kilifika hadi mbinguni.Na Michael,Uriel,Raphael na Gabriel wakatazama chini, na kuona damu nyingi ikimwagika duniani,na uovu wote,wakaambizana wao kwa wao,"Dunia iliumbwa huku wakazi wake wakiwa hawajui huzuni wala vilio,mbona tunawasikia wakilia hadi kwenye milango ya mbinguni?Enyi watakatifu wa mbinguni,roho za wanadamu zinatulilia zikisema,pelekeni kilio chetu mbele yake Aliye Juu."Wakamwambia Bwana wa enzi,"Ewe Bwana wa Mabwana,Mungu wa Miungu,Mfalme wa Wafalme,na Mungu wa enzi zote,kiti cha enzi cha ufalme wako kinasimama katika vizazi vyote,na Jina lako takatifu na tukufu limebarikiwa katika vizazi vyote!Umeumba vyote,una nguvu juu ya yote,na mambo yote yako wazi machoni pako,unayaona yote na hakuna linalojificha mbele zako.Umeyaona yote Azazel aliyofanya,kuwafundisha wanadamu uovu wote na kuwafunulia siri zilizofichwa mbinguni,ambazo binadamu alihangaika kujifunza kuzielewa:Na Semjaza uliyempa mamlaka juu ya malaika wenzake.Nao wamekwenda kwa binti za wanadamu duniani,wakalala nao,wakajinajisi,wakawafunulia kila aina ya dhambi.Na wanawake hao wamezaa majitu,na dunia yote imejazwa damu na dhuluma.Tazama,roho za wale waliouawa zinalia na kutoa mashtaka yake katika milango ya mbinguni,na maombolezo yao yamezidi,wala hayaishi kutokana na dhuluma inayotendwa duniani.Wewe unajua mambo yote kabla hayajatokea,unayaona haya yote na yanakuumiza,lakini hujatuambia la kufanya juu ya yote haya."......
 
Swali:

1. Ina maana hawa jamaa wanashinda hata hizo familia za kitajiri waarabu wa umangani umangani?

2. Wataka kuniambia utajiri wa familia za mabilionea wa Arusha uhaufikii au kuwapita akina Rockafellers?

3. China je, hakuna hata familia moja yenye utajiri kama hawa jamaa? Tunaambiwa wachina ni matajiri sana
 
Hawawezi kujenga makanisa kwa sababu wao ndio watakaomwandaa Ant Christ'

Una uhakika kwamba hawajengi makanisa?na hujui kuwa ant Christ amejikita vizuri sana makanisani ukiachilia mbali imani nyingine ambazo ziko wazi wazi kutekeleza matendo ya mpinga Kristo?Siri ya uasi ilishaanza kutenda kazi mambo mengine yanasubiri muda tu kudhihirika wazi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ikawa wanadamu walipoongezeka usoni pa nchi,wana wa kike wazuri na wa kuvutia walizaliwa kwao.Na malaika,wana wa mbinguni,waliwaona hao binti za wanadamu,wakawatamani.Basi wakaambizana wao kwa wao,"Twendeni,tukajitwalie wake katika binti za wanadamu,nao watuzalie wana".Na Semjaza,kiongozi wao,akawaambia:"Naogopa ya kwamba hamtakubali kutenda jambo hili,na mimi pekee nitaibeba adhabu ya dhambi hii kubwa".Wote wakamjibu na kumuambia 'Na tujifunge kwa kiapo,ya kwamba tutatekeleza jambo hili'.Wote wakajifunga kwa kiapo.Na jumla yao walikuwa mia mbili,walioshuka katika kilele cha mlima Hermon,katika siku za Jared.Pakaitwa mahali pale Hermon,kwa sababu ya kiapo kile.Na haya ndio majina ya wakuu wao:Semjaza,Araklba,Rameel,Kokablel,Tamlel,Ramlel,Danel,Ezeqeel,Baraqijal,Asael,Armaros,Batarel,Ananel,Zaqlel,Samsapeel,Satarel,Turel,Jomjael na Sariel.Hawa ndio wakuu wa vikosi.Na wengineo wote waliokuwa pamoja nao walijitwalia wake,kila mmoja akaoa mke mmoja,wakawaendea na kujinajisi pamoja nao,wakawafundisha elimu ya hirizi na uchawi,na mizizi,na kuwafahamisha elimu ya miti.Wakawatunga mimba,nao wakawazalia wana,ambao walikua na kufikia urefu wa eli elfu tatu(futi 450),wakawalisha chakula chao chote hadi pale waliposhindwa kuwahudumia zaidi,majitu yakawageuka binadamu na kuanza kuwatafuna.Majitu yakanajisi ndege wa angani,wanyama,viumbe vitambaavyo,samaki na hata wenyewe kwa wenyewe walitafunana,na kunywa damu.Dunia ikalaaniwa,ikaomboleza kwa ajili ya viumbe hawa wasio na sheria wala ustaarabu.Na Azazel(malaika) akawafundisha watu kufua chuma,kutengeneza upanga,na visu,na ngao,na dirii,akawafahamisha madini yaliyoko chini ya ardhi na jinsi ya kuyageuza kwa matumizi,na vikuku,na mapambo,na matumizi ya wanja,na jinsi ya kupamba kope za macho,na mawe yote ya thamani,na rangi zote za maji.Kukatokea uovu mkubwa sana,wakafanya uasherati,wanadamu wakapotoshwa,na kuharibika njia zao zote.Semjaza akawafundisha uchawi na mizizi,Armaros akafundisha uganga(kutatua uchawi),Baraqijal unajimu,Kokablel akafundisha elimu ya buruji(constellations),Ezeqeel elimu ya mawingu,Araqiel ishara za dunia,Shamsiel ishara za jua,na Sariel elimu kuhusu Mwezi.Binadamu wakaangamia,na walivyozidi kuangamia walilia,na kilio chao kilifika hadi mbinguni.Na Michael,Uriel,Raphael na Gabriel wakatazama chini, na kuona damu nyingi ikimwagika duniani,na uovu wote,wakaambizana wao kwa wao,"Dunia iliumbwa huku wakazi wake wakiwa hawajui huzuni wala vilio,mbona tunawasikia wakilia hadi kwenye milango ya mbinguni?Enyi watakatifu wa mbinguni,roho za wanadamu zinatulilia zikisema,pelekeni kilio chetu mbele yake Aliye Juu."Wakamwambia Bwana wa enzi,"Ewe Bwana wa Mabwana,Mungu wa Miungu,Mfalme wa Wafalme,na Mungu wa enzi zote,kiti cha enzi cha ufalme wako kinasimama katika vizazi vyote,na Jina lako takatifu na tukufu limebarikiwa katika vizazi vyote!Umeumba vyote,una nguvu juu ya yote,na mambo yote yako wazi machoni pako,unayaona yote na hakuna linalojificha mbele zako.Umeyaona yote Azazel aliyofanya,kuwafundisha wanadamu uovu wote na kuwafunulia siri zilizofichwa mbinguni,ambazo binadamu alihangaika kujifunza kuzielewa:Na Semjaza uliyempa mamlaka juu ya malaika wenzake.Nao wamekwenda kwa binti za wanadamu duniani,wakalala nao,wakajinajisi,wakawafunulia kila aina ya dhambi.Na wanawake hao wamezaa majitu,na dunia yote imejazwa damu na dhuluma.Tazama,roho za wale waliouawa zinalia na kutoa mashtaka yake katika milango ya mbinguni,na maombolezo yao yamezidi,wala hayaishi kutokana na dhuluma inayotendwa duniani.Wewe unajua mambo yote kabla hayajatokea,unayaona haya yote na yanakuumiza,lakini hujatuambia la kufanya juu ya yote haya."......

Kitabu gani mkuu?tujulishe nasi tuhakikishe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!
Ndugu yetu elimu hii umeipata katika vitabu gani nasi tuvitafute?
Nalog off
 
welcome back, na pole na majukumu mkuu. Lets move on. Ila kuna mambo mengine muhimu (vile nahisi nayenyewe tungepata kuyadadisi) hili la symbolic or common signs katika fedha, mfano nitazamapo noti yetu ya fedha ya sh.500 na alama ya Nyoka katika mti ni kiashiria cha nini?
Na je wanaopendekeza alama hizi na wakina nani? Mfano mwingine ni nembo ya muhimbili hosp, ili nalo limekaaje ulionavyo wewe?
Nami nitasubiri majibu kama wewe.
Nalog off
 
Back
Top Bottom