Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani



Asante umeeleza si kwa kirefu sanaa,but imebeba maana yoote na msaada wa mwanadamu anaoweza kuupata kupitia kwa KRISTO YESU. So ni uamuzi wa mtu kuchagua kumwamini YESU ili asalimike na mkakati huu ovu wa ibilisi au kuendelea kuanguka katika mtego wa ibilisi na kunasaw'

 
wanza;6837167]mkuu mengi uliyoyasema ni kweli ila tu kwa kuongezea ni kuwa Rockafeller family kama unavyosema ni moja ya familia iliyotajirika kwa uwekezaji wa Rothchilds family kwa US. kipindi John D. Rockafeller anatajirika mikopo ya biashara zake alipata kutoka katika mabenki ya Rothchilds family ( Citi Bank, JP Morgan) hayo ndio yaliyoprovide mitaji katika biashara za Rockafeller.

Rothchilds ndio wanao control Reserve bank of America kwa kushirikiana na Rockafeller na ndio wanaolipwa pesa nyingi na central bank ya UK kwa mikopo waliotoa wakati wa vita enzi zile.

Kwa kukumbusha tu ni kuwa hata ardhi ya Israel ya sasa ilinunuliwa na familia ya Rothchilds ( kwani hawa wote ni wayahudi) na ndio walioleta mpango wa UN ( makao makuu ya UN ni ardhi iliyotolewa na Rockafeller bule kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu).

na kingine kumbuka huu mfumo wa benki tulizonazo ni mfumo ulioanzishwa na babu yao Rothchilds ndio maana wana-control ya benki nyingi duniani. Na wana-control kwa kutumia mfumo wa gold ( rejea utajiri wa central banks zote duniani hutambuliwa kwa reserve ya gold uliyonayo benki). na hata makampuni mengi makubwa ya kuchimba dhahabu huwa ni ya kwao. (barrick gold soma wamiliki wake).

kwa nini wanasema Rothchilds wanatawala hii dunia? ni kwamba wanatoa mikopo mingi sana kwenye mataifa almost 75% ya dunia hii ikiwemo US, UK, France, German na ulaya yote kwa ujumla na hutoa mitaji ya biashara nyingi duniani kwa kutumia watu na familia mbali mbali.( Rockafeller, Ford family). na hii ndio maana mataifa yote makubwa hulinda Israel kwani ndio msingi wa utajiri wao.

labda tu kwa kumalizia ni kuwa familia ya rothchilds haiwezi kufilisika labda dunia yote imefilisika na kubadili mifumo yote ya biashara. na tatizo lingine ni kuwa huwa hana-control information zote zinazohusu utajiri wao kwani mashirika makubwa ya biashara duniani ni sehemu ya miliki zao (Reuters).

kwa habari zaidi tafuta family history ya Rothchilds na jinsi walivyotoa mikopo kwenye biashara za vita kwa mataifa ya ulaya. kwani baba yao aliamini na alifanya biashara zaidi wakati wa vita kwani mataifa mengi yalienda kukopa kwao ili yapigane vita.[/QUOTE]

This brings more sense!!
 
Rockafellers ni agent wa House of Rothschild.

Pesa yote ya dunia hii inamilikiwa na Rothschild. Wana control all reserve banks (isipokuwa Cuba, Iran na North Korea). Pia wana control BIS.
 
Hawa Rothschild wana "nchi yao" ipo UK... inaitwa "City of London".

City of London ndio makao makuu ya benki zote kubwa duniani, makampuni makubwa, law firms kubwa.

UK Queen hana control yoyote pale City of London, akitaka kwenda lazima aombe ruhusa kwa House of Rothschild pia akiingia pale anakuwa chini ya mayor wa huo mji.

Mayor wa City of London ana kiti cha kudumu kwenye House of Lords na huyu major anachaguliwa na House of Rothschild na anakwenda pale kwa ajiri ya kuwakilisha maslahi ya Rothschild.
 
Mkuu nashukuru kwa kutupa elimu kubwa hivi ambayo tusingeweza ipata popote pale, quote hapo juu inaonekana kama ya bible, unaweza nipa source nichimbe zaidi? Huwa nipo interested sana na ile vita iliyotokea mbinguni ambayo majeshi ya lipo kuwa ya kiongozwa na lucifer alipokuwa as akitaka kumpimdua muumba, yalipopigana na yale ya mungu yakiongozwa na michael, na lucifer kushindwa na kutupwa chini, hii vita uliyokot hapo juu ina uhusiano na ile? Na huyu Semjaza ndo lucifer? Au ni vitu tofauti? Usichoke kutujuza mkuu
 
Mi nakuambia sasa hivi hakuna dini, kuna biashara ya dini, watu wananunua nguvu za giza ili waweze kufanya maajabu na miujiza, wakuu wa dini wanataka zaid maisha ya kifahari na anasa, mi nilishasema hata yule yesu halisi wanaemhubiri akirudi leo akawa ambia hivi sivyo, watamuona anawaharibia na watamuua tena.
 


Mkuu kazi ipo tena pevu .wanatawala mpaka akili.? Au ndo ile kwenye bible ilisema kuwa .' Watakuwa na alama kwenye mapaji ya nyuso.! Habari ya 666.!

Naomba kuuliza hivi wao kina bush au rockafeller hawajielewi au wanafanya kusudi.? Na ilitokeaje hizo roho kuingia kwwa wazungu tu ., na hizo familia 13 inamana hazikuzaliwa na roho za kibinadamu au ziiingiliwa na roho ovu baada ya kuumbwa.?
 
Shukran kwa kutufungua macho wakuu.ingawa sijabahatika kujibiwa maswali yangu.! Na uliza hivi kuna uhusiano gani wa vifo vya Lincoln na Jfk.hawa ni maraisi wa US .
 

Hehehe hehehe yan na kweli ivje kuwa dola za zimbabwe.....
 
Familia ya Rockeffeller,five brothers. John. D jr ambaye amekufa katika car accident,. Nelson ambaye amekufa kwa heart attack[actually amepigwa risasi],. David ambaye yuko'hai',lakini acually amepigwa risasi London. Huyu David aliyepo sasa ni robotoid. Huyu jamaa anayefanya hii research take note. Nelson alikufa friday 26 Jan 1979. David amekufa mwezi uliofuata,feb 5 nadhani,. Lawrence pia amekufa. Kama Lawrence yuko hai,that is a mistake, Lawrence ameshakufa. Kama ukipewa tarehe aliyekufa mtu,ni rahisi kufanya research. Kulinganisha before and after photos. Kwa mfano, Jimmy Carter ameuawa kwa kupigwa risasi . 22. April 1979, Pope John Paul II ameuawa kwa sumu. 16 October 1978. Fanya research,tazama picha,especially tazama masikio.. Again nasema. David na. Lawrence Rockefeller wameshakufa. Rais wengi wa Marekani wameuawa na wamekuwa replaced by robotoids. Obama kama siyo robotoia,. I would be very surprised. Lakini sina specific information kuhusu Obama. Hizi replacements zinafanyika Camp David. This is interesting ukifikiria utakuwepo mkutano wa viögozi wa Ghuba Camp David tarehe 13 May. Tafadhali mtu yeyote asiseme kwamba naandika fables. It annoys me.
 
Familia ya Rockeffeller,five brothers. John. D jr ambaye amekufa katika car accident,. Nelson ambaye amekufa kwa heart attack[actually amepigwa risasi],. David ambaye yuko'hai',lakini acually amepigwa risasi London. Huyu David aliyepo sasa ni robotoid. Huyu jamaa anayefanya hii research take note. Nelson alikufa friday 26 Jan 1979. David amekufa mwezi uliofuata,feb 5 nadhani,. Lawrence pia amekufa. Kama Lawrence yuko hai,that is a mistake, Lawrence ameshakufa. Kama ukipewa tarehe aliyekufa mtu,ni rahisi kufanya research. Kulinganisha before and after photos. Kwa mfano, Jimmy Carter ameuawa kwa kupigwa risasi . 22. April 1979, Pope John Paul II ameuawa kwa sumu. 20 November1978 at 4pm local time. Fanya research,tazama picha,especially tazama masikio.. Again nasema. David na. Lawrence Rockefeller wameshakufa. Rais wengi wa Marekani wameuawa na wamekuwa replaced by robotoids. Obama kama siyo robotoia,. I would be very surprised. Lakini sina specific information kuhusu Obama. Hizi replacements zinafanyika Camp David. This is interesting ukifikiria utakuwepo mkutano wa viögozi wa Ghuba Camp David tarehe 13 May. Tafadhali mtu yeyote asiseme kwamba naandika fables. It annoys me.
 

Bro naona umekuja kuharibu uzi kabisa!!!

HAHAHAHAHAHA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…