Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Ndugu yangu, pole sana. Na yeyote anayepata hofu juu ya hili suala na yanayofanana na hayo. Wala haipo sababu ya kuwa na hofu yoyote. Hawa woote na mapesa yao, madhahabu yao, almasi na madaraka yao kwa hii dunia, amini nakuambia ni ubatili mtupu. Naamini kuwa haya mambo yapo 100%. Na anavyoeleza mleta mada ni kweli. Lakini huna sababu ya kuogopa. Sikiliza:

Ukiangalia tafsiri ya alama-mficho zilizo kwenye noti ya dola ya marekani, lile jicho moja ambalo liko juu kabisa ya pyramid, lile ni jicho la Lucifer. Na habari yooote hii unayoona na usiri wake wote, agenda ni moja tu, sio kumdhuru binadam kwa hali ya mwili, bali kwa hali ya roho. Hapa panahitaji ufaham kuelewa maana yake. Agenda kuu ya masuala yote haya ni KUMPINGA YESU KRISTO.

Nasema bila woga (sina nia ya kuoffend imani ya mtu hapa) kuwa hawa watu watafanya fujo zoote na kuwahangaisha wanadam hasa kwa kuwaficha ukweli ama wasione au kuipotosha kweli iliyopo, lakini shida yao kubwa na hofu yao ni YESU KRISTO. Huyu ndiye wanayemuogopa kama moto. Na kwa waamini, huyu YESU amesema katika agano jipya hasa Ufunuo kuwa mambo haya yatakuwapo siku za mwisho. Hawa watu na utajiri wao linapokuja suala la YESU KRISTO, wanakuwa wadogo kama pilton. Sasa kwanini wanahangaika na binadam?

Ni hivi, kwa waamini, ni kuwa Lucifer na YESU KRISTO wao wako katika war. Na hii ni kwa vile, sisi binadam tukiwa hai hatujahukumiwa bado, mpaka tufe. Lakini Lucifer yeye tayari alishahukumiwa kuwa ataenda Jehanam milele na milele na milele wakati huo ukifika. Sasa anachofanya ni kuwahadaa wanadam ili wao pia wakifa wahukumiwe kama yeye na wote wamjoin huko motoni. Na wanajua anayeweza kuwasaidia wanadam kuepuka hili ni YESU KRISTO. Maana mimi na wewe tunasema tunamjua YESU? Nakwambia hatuwezi kumjua YESU kuliko jinsi ambavyo Lucifer anamjua YESU. Usisahau Lucifer anapajua mbinguni palivyo na alitimuliwa huko.

Hivyo basi usiwe na hofu juu yao maana kinga yako ni imani yako katika Mungu wa kweli. Wao watahangaika sana na hii dunia na kusumbua wanadam lakini mwisho wao utafika na wote hawana ujanja hata utajiri wao ni ubatili mtupu hautawasaidia kuepuka kipondo kutoka kwa YESU KRISTO.

Na kuhusu utajiri huo wala usipate tabu, kwa waamini, yale maswali ambayo lucifer alimuuliza YESU kule jangwani kuwa ukinisujudia ntakupa hiki au kile "kwa kuwa dunia yote na milki zake ni mali yang" hadi leo anawauliza maelfu ya watu na wanaokubali ni kweli anawapa mali ila sharti ni moja tu - waende kinyume na ALIYE JUU (THE MOST HIGH). Pia ukisoma biblia utaona biblia yenyewe inamuita lucifer ni "mungu wa dunia hii"

Hivyo ni kuomba na kusali sana hayo yote ni ubatili mtupu.


Asante umeeleza si kwa kirefu sanaa,but imebeba maana yoote na msaada wa mwanadamu anaoweza kuupata kupitia kwa KRISTO YESU. So ni uamuzi wa mtu kuchagua kumwamini YESU ili asalimike na mkakati huu ovu wa ibilisi au kuendelea kuanguka katika mtego wa ibilisi na kunasaw'

 
wanza;6837167]mkuu mengi uliyoyasema ni kweli ila tu kwa kuongezea ni kuwa Rockafeller family kama unavyosema ni moja ya familia iliyotajirika kwa uwekezaji wa Rothchilds family kwa US. kipindi John D. Rockafeller anatajirika mikopo ya biashara zake alipata kutoka katika mabenki ya Rothchilds family ( Citi Bank, JP Morgan) hayo ndio yaliyoprovide mitaji katika biashara za Rockafeller.

Rothchilds ndio wanao control Reserve bank of America kwa kushirikiana na Rockafeller na ndio wanaolipwa pesa nyingi na central bank ya UK kwa mikopo waliotoa wakati wa vita enzi zile.

Kwa kukumbusha tu ni kuwa hata ardhi ya Israel ya sasa ilinunuliwa na familia ya Rothchilds ( kwani hawa wote ni wayahudi) na ndio walioleta mpango wa UN ( makao makuu ya UN ni ardhi iliyotolewa na Rockafeller bule kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu).

na kingine kumbuka huu mfumo wa benki tulizonazo ni mfumo ulioanzishwa na babu yao Rothchilds ndio maana wana-control ya benki nyingi duniani. Na wana-control kwa kutumia mfumo wa gold ( rejea utajiri wa central banks zote duniani hutambuliwa kwa reserve ya gold uliyonayo benki). na hata makampuni mengi makubwa ya kuchimba dhahabu huwa ni ya kwao. (barrick gold soma wamiliki wake).

kwa nini wanasema Rothchilds wanatawala hii dunia? ni kwamba wanatoa mikopo mingi sana kwenye mataifa almost 75% ya dunia hii ikiwemo US, UK, France, German na ulaya yote kwa ujumla na hutoa mitaji ya biashara nyingi duniani kwa kutumia watu na familia mbali mbali.( Rockafeller, Ford family). na hii ndio maana mataifa yote makubwa hulinda Israel kwani ndio msingi wa utajiri wao.

labda tu kwa kumalizia ni kuwa familia ya rothchilds haiwezi kufilisika labda dunia yote imefilisika na kubadili mifumo yote ya biashara. na tatizo lingine ni kuwa huwa hana-control information zote zinazohusu utajiri wao kwani mashirika makubwa ya biashara duniani ni sehemu ya miliki zao (Reuters).

kwa habari zaidi tafuta family history ya Rothchilds na jinsi walivyotoa mikopo kwenye biashara za vita kwa mataifa ya ulaya. kwani baba yao aliamini na alifanya biashara zaidi wakati wa vita kwani mataifa mengi yalienda kukopa kwao ili yapigane vita.[/QUOTE]

This brings more sense!!
 
Rockafellers ni agent wa House of Rothschild.

Pesa yote ya dunia hii inamilikiwa na Rothschild. Wana control all reserve banks (isipokuwa Cuba, Iran na North Korea). Pia wana control BIS.
 
Hawa Rothschild wana "nchi yao" ipo UK... inaitwa "City of London".

City of London ndio makao makuu ya benki zote kubwa duniani, makampuni makubwa, law firms kubwa.

UK Queen hana control yoyote pale City of London, akitaka kwenda lazima aombe ruhusa kwa House of Rothschild pia akiingia pale anakuwa chini ya mayor wa huo mji.

Mayor wa City of London ana kiti cha kudumu kwenye House of Lords na huyu major anachaguliwa na House of Rothschild na anakwenda pale kwa ajiri ya kuwakilisha maslahi ya Rothschild.
 
Ikawa wanadamu walipoongezeka usoni pa nchi,wana wa kike wazuri na wa kuvutia walizaliwa kwao.Na malaika,wana wa mbinguni,waliwaona hao binti za wanadamu,wakawatamani.Basi wakaambizana wao kwa wao,"Twendeni,tukajitwalie wake katika binti za wanadamu,nao watuzalie wana".Na Semjaza,kiongozi wao,akawaambia:"Naogopa ya kwamba hamtakubali kutenda jambo hili,na mimi pekee nitaibeba adhabu ya dhambi hii kubwa".Wote wakamjibu na kumuambia 'Na tujifunge kwa kiapo,ya kwamba tutatekeleza jambo hili'.Wote wakajifunga kwa kiapo.Na jumla yao walikuwa mia mbili,walioshuka katika kilele cha mlima Hermon,katika siku za Jared.Pakaitwa mahali pale Hermon,kwa sababu ya kiapo kile.Na haya ndio majina ya wakuu wao:Semjaza,Araklba,Rameel,Kokablel,Tamlel,Ramlel,Danel,Ezeqeel,Baraqijal,Asael,Armaros,Batarel,Ananel,Zaqlel,Samsapeel,Satarel,Turel,Jomjael na Sariel.Hawa ndio wakuu wa vikosi.Na wengineo wote waliokuwa pamoja nao walijitwalia wake,kila mmoja akaoa mke mmoja,wakawaendea na kujinajisi pamoja nao,wakawafundisha elimu ya hirizi na uchawi,na mizizi,na kuwafahamisha elimu ya miti.Wakawatunga mimba,nao wakawazalia wana,ambao walikua na kufikia urefu wa eli elfu tatu(futi 450),wakawalisha chakula chao chote hadi pale waliposhindwa kuwahudumia zaidi,majitu yakawageuka binadamu na kuanza kuwatafuna.Majitu yakanajisi ndege wa angani,wanyama,viumbe vitambaavyo,samaki na hata wenyewe kwa wenyewe walitafunana,na kunywa damu.Dunia ikalaaniwa,ikaomboleza kwa ajili ya viumbe hawa wasio na sheria wala ustaarabu.Na Azazel(malaika) akawafundisha watu kufua chuma,kutengeneza upanga,na visu,na ngao,na dirii,akawafahamisha madini yaliyoko chini ya ardhi na jinsi ya kuyageuza kwa matumizi,na vikuku,na mapambo,na matumizi ya wanja,na jinsi ya kupamba kope za macho,na mawe yote ya thamani,na rangi zote za maji.Kukatokea uovu mkubwa sana,wakafanya uasherati,wanadamu wakapotoshwa,na kuharibika njia zao zote.Semjaza akawafundisha uchawi na mizizi,Armaros akafundisha uganga(kutatua uchawi),Baraqijal unajimu,Kokablel akafundisha elimu ya buruji(constellations),Ezeqeel elimu ya mawingu,Araqiel ishara za dunia,Shamsiel ishara za jua,na Sariel elimu kuhusu Mwezi.Binadamu wakaangamia,na walivyozidi kuangamia walilia,na kilio chao kilifika hadi mbinguni.Na Michael,Uriel,Raphael na Gabriel wakatazama chini, na kuona damu nyingi ikimwagika duniani,na uovu wote,wakaambizana wao kwa wao,"Dunia iliumbwa huku wakazi wake wakiwa hawajui huzuni wala vilio,mbona tunawasikia wakilia hadi kwenye milango ya mbinguni?Enyi watakatifu wa mbinguni,roho za wanadamu zinatulilia zikisema,pelekeni kilio chetu mbele yake Aliye Juu."Wakamwambia Bwana wa enzi,"Ewe Bwana wa Mabwana,Mungu wa Miungu,Mfalme wa Wafalme,na Mungu wa enzi zote,kiti cha enzi cha ufalme wako kinasimama katika vizazi vyote,na Jina lako takatifu na tukufu limebarikiwa katika vizazi vyote!Umeumba vyote,una nguvu juu ya yote,na mambo yote yako wazi machoni pako,unayaona yote na hakuna linalojificha mbele zako.Umeyaona yote Azazel aliyofanya,kuwafundisha wanadamu uovu wote na kuwafunulia siri zilizofichwa mbinguni,ambazo binadamu alihangaika kujifunza kuzielewa:Na Semjaza uliyempa mamlaka juu ya malaika wenzake.Nao wamekwenda kwa binti za wanadamu duniani,wakalala nao,wakajinajisi,wakawafunulia kila aina ya dhambi.Na wanawake hao wamezaa majitu,na dunia yote imejazwa damu na dhuluma.Tazama,roho za wale waliouawa zinalia na kutoa mashtaka yake katika milango ya mbinguni,na maombolezo yao yamezidi,wala hayaishi kutokana na dhuluma inayotendwa duniani.Wewe unajua mambo yote kabla hayajatokea,unayaona haya yote na yanakuumiza,lakini hujatuambia la kufanya juu ya yote haya."......
Mkuu nashukuru kwa kutupa elimu kubwa hivi ambayo tusingeweza ipata popote pale, quote hapo juu inaonekana kama ya bible, unaweza nipa source nichimbe zaidi? Huwa nipo interested sana na ile vita iliyotokea mbinguni ambayo majeshi ya lipo kuwa ya kiongozwa na lucifer alipokuwa as akitaka kumpimdua muumba, yalipopigana na yale ya mungu yakiongozwa na michael, na lucifer kushindwa na kutupwa chini, hii vita uliyokot hapo juu ina uhusiano na ile? Na huyu Semjaza ndo lucifer? Au ni vitu tofauti? Usichoke kutujuza mkuu
 
Ntafatilia kwa karibu. Mimi nilisoma bible knowledge olevel na divinity advance, mwalimu wangu wa advance alikuwa anatuambia kwa kifupi mambo mengi ambayo hayakuwa kwenye syllubus akihofia tunaweza kuacha kufata imani zetu. Nadhani alikuwa anajua mambo mengi yanayoendelea ambayo ni uongo. Sisi tunakaririshwa tu (dogmatism),hata viongozi wa dini nao hawajui. Huwa nafiria mambo mengi sana nikiwa kanisana,mahali ambapo kuna kila aina ya watu na tabia zao mifukoni. Tunaishi kwa maigizo( pretend to live in church principles while we are not). We live in a world of full of lies kwakweli. Na siku ukweli ukijulikana,ndo yatatokea kama ilivyoandikwa katika mathayo 24;1-31
Mi nakuambia sasa hivi hakuna dini, kuna biashara ya dini, watu wananunua nguvu za giza ili waweze kufanya maajabu na miujiza, wakuu wa dini wanataka zaid maisha ya kifahari na anasa, mi nilishasema hata yule yesu halisi wanaemhubiri akirudi leo akawa ambia hivi sivyo, watamuona anawaharibia na watamuua tena.
 
Under certain circumstances ambazo viumbe hawa wawili walizilazimisha,malaika na binadamu hujamiiana,lakini ifahamike kuwa this is very abnormal and cursed stuff na kuna athari kubwa spiritual and physical kwa wote wawili lakini balaa kubwa ni hicho kinachotoka hapo!sijapata neno zuri la kiswahili kwa offspring hiyo zaidi ya neno JINI!binafsi nimewahi kuona majini at 100 meters from where i was standing kwa macho yangu usiku wa manane wakati wa tambiko milimani somewhere in this earth!uzoefu ule unanifanya nisipuuzie hata nukta ya mambo haya.kwenye biblia kuna kipande kimoja huwa kinapewa maana ndivyo sivyo.just read it and try to understand it literally wala usitie maono yako kichwani,MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya.Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA."hawa wanaitwa WANA WA MUNGU ndio waanzilishi wa cursed bloodline ambayo 13 illuminati families including Rockefellers zinatokea!marehemu sheikh Yahya aliposema kuwa kuna viongozi wakubwa duniani ambao si binadamu kama wanavyoonekana,wengi tuliona ni riwaya za kishirikina.marehemu Hugo Chavez siku moja baada ya Bush kuhutubia UN pale New York,alisimama pale pale kwenye kibweta ili na yeye ahutubie akasema,"nasikia harufu,shetani alikuwa kasimama hapa jana",tunadhani watu hawa huwa wanaongea mafumbo lakini sometimes huwa wanamaanisha wanachokisema kwa kuwa na ufahamu ambao watu wengi hawana.leo hii kila kitu kinakuwa centralized electronically!bank accounts,IDs,health cards,insurance cards,hata wafanyabiashara hapa bongo wanaambiwa kujiandaa na electronic machines zitakazotrack kila transaction wanayofanya na kutuma habari moja kwa moja taarifa zao TRA na Benki kuu.dunia nzima revolution hii inaendelea taratibu.kuna siku data zako zote zitaunganishwa ndani ya ID moja tu ambayo utaitumia kila mahali hata hospitali ID hiyo itasema hadi ugonjwa unaokusumbua.iko pale Massachusets institute of technology ikiwa developed kwa siri!nzuri eti eeh?mwisho wa kubeba lundo la vitambulisho au sio?well,upande huo mtamu kweli,turudi upande wa pili,hiyo ID ni microchip ndogo saana itakayowekwa kwenye paji la uso wako kwa kuingizwa na sindano na ina uwezo wa kusoma mwili wako kwa kutumia electrical signals kwenye nerves za fahamu,ikatoa habari zako nje ya mwili.what they are working on now ni kuifanya chip hiyo kuweza kuziamuru electrical signal za nerves zako kwa commands toka kwenye computer nje ya mwili,why?!ili iweje?nani mfadhili na mwanahisa mkubwa wa Massachusets institute of technology?unamjua?...ROCKEFELLER FOUNDATION!ni zaidi ya uwajuavyo!iwe ni dini,historia,sayansi,utamaduni vyote vinatoa habari ya uwepo wa interaction hii ya binadamu na majini physically!but only serious researcher ndio hujua mambo haya!yanafichwa kwa vile yana umuhimu mkubwa kwa wanaoyaficha na wanaofichwa!ukienda India ukakuta mhindi kasimamisha sanamu ya jitu kubwa anaiabudu,usimcheke,muulize historia ya imani yake,ukija africa ukakuta watu wanaabudu miti mikubwa usishangae,muulize kwa nini?ukienda mapango ya Amboni ukakuta michoro ya helikopta wakati walioichora waliishi kabla ndege haijagunduliwa usishangae,TAFAKARI!


Mkuu kazi ipo tena pevu .wanatawala mpaka akili.? Au ndo ile kwenye bible ilisema kuwa .' Watakuwa na alama kwenye mapaji ya nyuso.! Habari ya 666.!

Naomba kuuliza hivi wao kina bush au rockafeller hawajielewi au wanafanya kusudi.? Na ilitokeaje hizo roho kuingia kwwa wazungu tu ., na hizo familia 13 inamana hazikuzaliwa na roho za kibinadamu au ziiingiliwa na roho ovu baada ya kuumbwa.?
 
Shukran kwa kutufungua macho wakuu.ingawa sijabahatika kujibiwa maswali yangu.! Na uliza hivi kuna uhusiano gani wa vifo vya Lincoln na Jfk.hawa ni maraisi wa US .
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

Hehehe hehehe yan na kweli ivje kuwa dola za zimbabwe.....
 
Familia ya Rockeffeller,five brothers. John. D jr ambaye amekufa katika car accident,. Nelson ambaye amekufa kwa heart attack[actually amepigwa risasi],. David ambaye yuko'hai',lakini acually amepigwa risasi London. Huyu David aliyepo sasa ni robotoid. Huyu jamaa anayefanya hii research take note. Nelson alikufa friday 26 Jan 1979. David amekufa mwezi uliofuata,feb 5 nadhani,. Lawrence pia amekufa. Kama Lawrence yuko hai,that is a mistake, Lawrence ameshakufa. Kama ukipewa tarehe aliyekufa mtu,ni rahisi kufanya research. Kulinganisha before and after photos. Kwa mfano, Jimmy Carter ameuawa kwa kupigwa risasi . 22. April 1979, Pope John Paul II ameuawa kwa sumu. 16 October 1978. Fanya research,tazama picha,especially tazama masikio.. Again nasema. David na. Lawrence Rockefeller wameshakufa. Rais wengi wa Marekani wameuawa na wamekuwa replaced by robotoids. Obama kama siyo robotoia,. I would be very surprised. Lakini sina specific information kuhusu Obama. Hizi replacements zinafanyika Camp David. This is interesting ukifikiria utakuwepo mkutano wa viögozi wa Ghuba Camp David tarehe 13 May. Tafadhali mtu yeyote asiseme kwamba naandika fables. It annoys me.
 
Familia ya Rockeffeller,five brothers. John. D jr ambaye amekufa katika car accident,. Nelson ambaye amekufa kwa heart attack[actually amepigwa risasi],. David ambaye yuko'hai',lakini acually amepigwa risasi London. Huyu David aliyepo sasa ni robotoid. Huyu jamaa anayefanya hii research take note. Nelson alikufa friday 26 Jan 1979. David amekufa mwezi uliofuata,feb 5 nadhani,. Lawrence pia amekufa. Kama Lawrence yuko hai,that is a mistake, Lawrence ameshakufa. Kama ukipewa tarehe aliyekufa mtu,ni rahisi kufanya research. Kulinganisha before and after photos. Kwa mfano, Jimmy Carter ameuawa kwa kupigwa risasi . 22. April 1979, Pope John Paul II ameuawa kwa sumu. 20 November1978 at 4pm local time. Fanya research,tazama picha,especially tazama masikio.. Again nasema. David na. Lawrence Rockefeller wameshakufa. Rais wengi wa Marekani wameuawa na wamekuwa replaced by robotoids. Obama kama siyo robotoia,. I would be very surprised. Lakini sina specific information kuhusu Obama. Hizi replacements zinafanyika Camp David. This is interesting ukifikiria utakuwepo mkutano wa viögozi wa Ghuba Camp David tarehe 13 May. Tafadhali mtu yeyote asiseme kwamba naandika fables. It annoys me.
 
Familia ya Rockeffeller,five brothers. John. D jr ambaye amekufa katika car accident,. Nelson ambaye amekufa kwa heart attack[actually amepigwa risasi],. David ambaye yuko'hai',lakini acually amepigwa risasi London. Huyu David aliyepo sasa ni robotoid. Huyu jamaa anayefanya hii research take note. Nelson alikufa friday 26 Jan 1979. David amekufa mwezi uliofuata,feb 5 nadhani,. Lawrence pia amekufa. Kama Lawrence yuko hai,that is a mistake, Lawrence ameshakufa. Kama ukipewa tarehe aliyekufa mtu,ni rahisi kufanya research. Kulinganisha before and after photos. Kwa mfano, Jimmy Carter ameuawa kwa kupigwa risasi . 22. April 1979, Pope John Paul II ameuawa kwa sumu. 16 October 1978. Fanya research,tazama picha,especially tazama masikio.. Again nasema. David na. Lawrence Rockefeller wameshakufa. Rais wengi wa Marekani wameuawa na wamekuwa replaced by robotoids. Obama kama siyo robotoia,. I would be very surprised. Lakini sina specific information kuhusu Obama. Hizi replacements zinafanyika Camp David. This is interesting ukifikiria utakuwepo mkutano wa viögozi wa Ghuba Camp David tarehe 13 May. Tafadhali mtu yeyote asiseme kwamba naandika fables. It annoys me.

Bro naona umekuja kuharibu uzi kabisa!!!

HAHAHAHAHAHA!!!
 
Back
Top Bottom