www.thewatcherfiles.com,www.thetruthbehindthescenes.org,www.beginningandend.com.Pia unaweza google keywords hizi:grand druid council,annunaki,nephillims,illuminati,bohemian grove,new world order,etc!zipo habari nyiingi kwenye mtandao nyingine za kweli,nyingine uongo na kweli,nyingine uongo mtupu ambao wenyewe illuminati wanadisinform watu ili shughuli ya kuwafuatilia iwe pevu na pia kukatisha tamaa watu wasiamini mambo yao.cha msingi jipe miaka mingi ya kufanya research kadri siku zinavyosogea unaanza kupata picha sahihi kiasi cha kujua uongo na ukweli but you must dedicate yourself.hii si shughuli ndogo.kuna mambo meengi sana.kuyaandika hapa yote ni kazi ngumu lakini tusaidiane hivi hivi tutafika tu maana hii ni somo muhimu kwa kila mwanadamu.kuna kitabu nilisoma miaka 8 iliyopita kinaitwa EN ROUTE TO GLOBAL OCCUPATION kimeandikwa na afisa wa zamani wa mambo ya nje wa marekani anaitwa GARY KAH!nashangaa jamaa alichosema miaka ile kuhusu middle east conflict ni exactly na ninachokiona sasa.ni kizuri sana please wana jf,tafuteni hiki kitabu.mie niliagiza online.sasa hapa nina jambo jamani.hili jambo limeshaharibu uhusiano wangu na padre na wazee wengi wa kanisa kiasi kwamba nikienda church(mara moja moja)huwa inakuwa kama fasheni tu na kuamua kujumuika na watu kwani kiimani sipo kabisa.niliuliza maswali,nikajibiwa kwa ukali na kukaripiwa,mbaya zaidi,nilichohoji ndio naona kinatokea leo kanisani!jambo lenyewe ni hili,kuna kitu kinaitwa baraza la Nicea,ni baraza la dini ya ukatoliki lilikaa huko nyuma miaka mingi na kufanya marekebisho mengi katika dini ya ukristo.actually waliiweka dini hii vile walivyotaka wao nini kifahamike na kifahamike vipi na nini kisifahamike.madhambi mengi yaliyofanywa na wafalme wa kirumi dhidi ya wakristo(zaidi ya wakristo milioni 60 waliuawa kinyama enzi za warumi) yalifichwa hapa!ni hapa pia ambapo kuna vitabu vya biblia ambavyo vilipigwa marufuku na kutambulika kama vitabu visivyo rasmi na vikaondolewa.vilikuwa vitabu vingi si chini ya 30.katika miaka ya baadae nadhani ni 1952 kama sijakosea,kuna scrolls nyingi sana ziligunduliwa palestine na kijana mmoja aliyeingia mapangoni kutafuta kondoo wake aliyepotea.habari zikafika hadi taasisi za kiyahudi Jerusalem,wakaenda wataalam wa mambo ya kale na kufumua dozens and dozens of scrolls kutoka underground carvens za hilo eneo linaitwa qumran(kama sijakosea herufi).zilikuwa zimeandikwa kiebrania lakini nyingine lugha ya zamani mno ya kiaramu.baada ya research ya mwaka 1 nadhani,iligundulika zile scrolls ni vitabu vya biblia pamoja na miongozo ya maisha ya wakristo wa zamani sana ambao walijitenga na kujificha wakati wa vurugu mbalimbali za wafalme wa zamani dhidi ya christians.taarifa hizi zilipofika vatican,mara moja umoja wa mataifa uliamuru kufungwa kwa uchunguzi wa mapango ya qumran na miaka 2 baadae U.N walikabidhi kazi hiyo kwa kanisa katoliki na tangu wakati huo,halijazungumzwa jambo lolote kuhusu scrolls zilizobakia mle mapangoni hadi leo na wala vatican haipendelei habari hiyo kuzungumzwa kabisa.katika vitabu vile vilivyogunduliwa mapema,kipo kimoja kinaitwa kitabu cha Enoch!Enoch alikuwa babu yake nabii Nuhu.kwa mujibu wa biblia takatifu,Enoch hakufa bali Mungu aliamua kumchukua akapotea.inasemekana hapajawahi kutokea binadamu kamili mswalihina kama huyu Enoch na ndio maana Mungu alimchukua.niliambiwa kuwa muslims wanamwita nabii Idris,sijui kama ni kweli habari hiyo.?!kabla ya kuchukuliwa,Enoch alielekezwa kuandika mambo yote kuanzia wakati wake hadi mwisho wa dunia kama alivyoelekezwa na Malaika aliyemfuata(Gabriel kama sikosei).kitabu chake kikachukuliwa na kizazi chake kuanzia akina Nuhu hadi Musa na wengineo.cha ajabu ukisoma Biblia,kuna mitume waliandika nabii zao wakifanya reference kwenye kitabu hiki mfano Yuda(kitabu cha Yuda) kuprove kuwa walikuwa nacho kitabu hiki.leo hii pale qumran ziligunduliwa baadhi tu ya paragraph za Enoch,wakaja Vatican na U.N wakapiga marufuku the rest.hicho kitabu kimeeleza kwa ufasaha what happened wakati wa Nuhu hadi dunia ikapigwa gharika!jisomeeni wenyewe online,we google tu "the book of Enoch".pia walikuja kugundua kitabu kama hicho kwa waethiopia kikiwa kimeandikwa kwa kiethiopia!kuja kulinganisha wakakuta ni kile kile isipokuwa Qumran waligundua pages nyingi zaidi ila si kitabu kizima(kazi ilistopishwa na U.N)!wakristo wanakatazwa kabisa kusoma kitabu hicho.wanaambiwa ni cha kizushi.we are only advised to read "canonized books" blessed by Nicea council!someni hicho kitabu muone kinachozungumzwa kuhusu fallen angels interaction with humans!pia kuna hizi channels kama history channel,discovery channel,national geographic channel,huwa zinazungumzia sana mambo ya alliens.pia fanyeni research kwenye masuala ya pyramids hasa za Egypt,Mexico,India,far east!tutaendelea kujuzana!dunia ni zaidi ya tuijuavyo..ah nataka kusahau,wazee hebu geuzeni hili neno "illuminati"kinyume halafu hilo neno utakalopata liandike kama website ukianza na www na kumalizia na .com uone nini kinafunguka!