Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Halafu hatujaambiwa figures zimekuwa calculated vipi, na kwa nini Mansa Musa aliyegawa dhahabu hapo Cairo mpaka kuishusha bei yake kwa miaka hayumo kwenye hii list.

Si mpaka huyo mwandishi awe anajua tofauti ya "a billion dollars in 2007" na "a billion in 2007 dollars"

Mansa Musa alikuwa anataka sifa, mke tu alikuwa na wajakazi 5000 wa kumhudumia

Alibeba twike kwa twike ya dhahabu, akauvuruga vuruga uchumi wa Masri

Ikisha Wazungu wanamtosa
 
hii nlishaambiwa na babu yangu mda sana, inshort hawa rothchild na rocafeller ndo waanzilishi wa NWO, ni wayahudi na nimatajiri haswa, yani ile reserve bank au unaweza kusema BOT ya marekani wanaicontrol wao, vitu vyote ulivovisema kaka ni hivo hivo nilivoambiwa na babu yangu(msomi wa uchumi wa zamani USA) Anamavitabu kibao ambayo alinionyesha kama ushahidi. usibishe kama hujafanya research, just take sometimes kusoma then ukosoe lkn sio unatumia akili ya makalio kubisha tu.
 
Are they listed in the Forbes Magazine.....??!! if not basi Forbes is fake
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

ulitakiwa usome kwanza ndio uje uulize anyway
kwanza unatakiwa ujue maana ya
hii terminology ya

list of wealthiest historical figure

kwanza safisha macho uelewe kuhusu hii


List of wealthiest historical figures - Wikipedia, the free encyclopedia


and then sasa according na forbes information ya mwaka 2008 jamaa alikuwa na 663.4 billion dollar kwa value ya dollar ya 2007

ROCKERFELLER ALIKUWA ANAKAA ZIMBABWE?
 
utajiri wa rockerfeller ulikuwa una misuko suko mingi mpaka kufikia hapo alipokuwa alikutana na viunzi mbali mbali pamoja na vikwazo kwani katika biashara yake alikutana na "vichwa" ambavyo vilimpelekesha
kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa
[h=1]Cornelius Vanderbilt[/h]
huju jamaa bwana yeye alikuwa ni mmiliki wa meli na treni ikumbukwe biashara kubwa ya rockerfeller ilikuwa mafuta so alikuwa anatumia kampuni ya vanderbilt katika kusafirisha mafuta yake pande mbali mbali duniani na ulaya na varndebit yeye rockerfeller alikuwa ndie mteja wake mkubwa

sasa bwana vanderbilt tamaa ikamshika akaona kuwa rockerfeller anafaidi sana na kwakuwa kwa wakati huo yeye ndio alikuwa anamiliki ma treni, magari na meli akaona ana uwezo wa kum control rocckerfeller

akaampa jaribio la kwanza

akapandisha bei ya yeye kumcharge rockerfeller kupitisha mafuta yake katika vyombo vyake vya usafiri jamaa akakubali

fitna fitna fitna zikaendelea
kwa rockerfeller
verndebilt si alikuwa anajua yeye ndie ana kila kitu sasa
rockerfeller akafikiriaa weeee

akaja na mbinu hii

kutoka point moja kwenda point nyingine akajenga ma pipe kwa muda mfupi akawa ana pipes za mafuta zinapita underground sehemu kibao duniani
ukawa ndio mwanzo wa anguko la verndebilt
CHALIIIIII
 
[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Founded[/TH]
[TD]1913[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Headquarters[/TH]
[TD="class: label"]420 Fifth Avenue, New York City[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Key people[/TH]
[TD]President - Judith Rodin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Focus[/TH]
[TD="class: category"]"Smart Globalization"[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Mission[/TH]
[TD]"to promote the well-being of mankind throughout the world."[SUP][1][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Method[/TH]
[TD]Endowment[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Endowment[/TH]
[TD]$3.4 billion (2009)[SUP][2][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Website[/TH]
[TD]RockefellerFoundation.org[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


140px-29_-_New_York_-_Octobre_2008.jpg


140px-One_Chase_Manhattan_Plaza_1.jpg
 
ulitakiwa usome kwanza ndio uje uulize anyway
kwanza unatakiwa ujue maana ya
hii terminology ya

list of wealthiest historical figure

kwanza safisha macho uelewe kuhusu hii


List of wealthiest historical figures - Wikipedia, the free encyclopedia


and then sasa according na forbes information ya mwaka 2008 jamaa alikuwa na 663.4 billion dollar kwa value ya dollar ya 2007

ROCKERFELLER ALIKUWA ANAKAA ZIMBABWE?

Nimesoma, nimeuliza definition ya familia tu sijajibiwa bado.
 
  • Thanks
Reactions: ffn
Juve umenifungua akili saana mkuu naomba kuna una kitabu ambacho naweza soma kwa kununua au kudownload unipe link
 
Hata mimi nimeifuatilia hii familia saana. Ulichoongea ni ukweli mtupu.
 
Dah!Dunia imejaa mambo mengi sana,mengine ya ajabu sana
'
Hata Kagame nae anataka kutandika,kisa eti Kikwete anawatetea waasi
'
Hapa tuna ligi ya Rock-feller na Red-shield
'
Hapa tutaishia kwenye Freemason na ile protokali ya wazee wa Uzayuni
'
Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa,siri ni ile isiyojulikana lakini kwa kuwa tunajua kuwa kuna siri basi hiyo siri sio siri tena!
 
www.thewatcherfiles.com,www.thetruthbehindthescenes.org,www.beginningandend.com.Pia unaweza google keywords hizi:grand druid council,annunaki,nephillims,illuminati,bohemian grove,new world order,etc!zipo habari nyiingi kwenye mtandao nyingine za kweli,nyingine uongo na kweli,nyingine uongo mtupu ambao wenyewe illuminati wanadisinform watu ili shughuli ya kuwafuatilia iwe pevu na pia kukatisha tamaa watu wasiamini mambo yao.cha msingi jipe miaka mingi ya kufanya research kadri siku zinavyosogea unaanza kupata picha sahihi kiasi cha kujua uongo na ukweli but you must dedicate yourself.hii si shughuli ndogo.kuna mambo meengi sana.kuyaandika hapa yote ni kazi ngumu lakini tusaidiane hivi hivi tutafika tu maana hii ni somo muhimu kwa kila mwanadamu.kuna kitabu nilisoma miaka 8 iliyopita kinaitwa EN ROUTE TO GLOBAL OCCUPATION kimeandikwa na afisa wa zamani wa mambo ya nje wa marekani anaitwa GARY KAH!nashangaa jamaa alichosema miaka ile kuhusu middle east conflict ni exactly na ninachokiona sasa.ni kizuri sana please wana jf,tafuteni hiki kitabu.mie niliagiza online.sasa hapa nina jambo jamani.hili jambo limeshaharibu uhusiano wangu na padre na wazee wengi wa kanisa kiasi kwamba nikienda church(mara moja moja)huwa inakuwa kama fasheni tu na kuamua kujumuika na watu kwani kiimani sipo kabisa.niliuliza maswali,nikajibiwa kwa ukali na kukaripiwa,mbaya zaidi,nilichohoji ndio naona kinatokea leo kanisani!jambo lenyewe ni hili,kuna kitu kinaitwa baraza la Nicea,ni baraza la dini ya ukatoliki lilikaa huko nyuma miaka mingi na kufanya marekebisho mengi katika dini ya ukristo.actually waliiweka dini hii vile walivyotaka wao nini kifahamike na kifahamike vipi na nini kisifahamike.madhambi mengi yaliyofanywa na wafalme wa kirumi dhidi ya wakristo(zaidi ya wakristo milioni 60 waliuawa kinyama enzi za warumi) yalifichwa hapa!ni hapa pia ambapo kuna vitabu vya biblia ambavyo vilipigwa marufuku na kutambulika kama vitabu visivyo rasmi na vikaondolewa.vilikuwa vitabu vingi si chini ya 30.katika miaka ya baadae nadhani ni 1952 kama sijakosea,kuna scrolls nyingi sana ziligunduliwa palestine na kijana mmoja aliyeingia mapangoni kutafuta kondoo wake aliyepotea.habari zikafika hadi taasisi za kiyahudi Jerusalem,wakaenda wataalam wa mambo ya kale na kufumua dozens and dozens of scrolls kutoka underground carvens za hilo eneo linaitwa qumran(kama sijakosea herufi).zilikuwa zimeandikwa kiebrania lakini nyingine lugha ya zamani mno ya kiaramu.baada ya research ya mwaka 1 nadhani,iligundulika zile scrolls ni vitabu vya biblia pamoja na miongozo ya maisha ya wakristo wa zamani sana ambao walijitenga na kujificha wakati wa vurugu mbalimbali za wafalme wa zamani dhidi ya christians.taarifa hizi zilipofika vatican,mara moja umoja wa mataifa uliamuru kufungwa kwa uchunguzi wa mapango ya qumran na miaka 2 baadae U.N walikabidhi kazi hiyo kwa kanisa katoliki na tangu wakati huo,halijazungumzwa jambo lolote kuhusu scrolls zilizobakia mle mapangoni hadi leo na wala vatican haipendelei habari hiyo kuzungumzwa kabisa.katika vitabu vile vilivyogunduliwa mapema,kipo kimoja kinaitwa kitabu cha Enoch!Enoch alikuwa babu yake nabii Nuhu.kwa mujibu wa biblia takatifu,Enoch hakufa bali Mungu aliamua kumchukua akapotea.inasemekana hapajawahi kutokea binadamu kamili mswalihina kama huyu Enoch na ndio maana Mungu alimchukua.niliambiwa kuwa muslims wanamwita nabii Idris,sijui kama ni kweli habari hiyo.?!kabla ya kuchukuliwa,Enoch alielekezwa kuandika mambo yote kuanzia wakati wake hadi mwisho wa dunia kama alivyoelekezwa na Malaika aliyemfuata(Gabriel kama sikosei).kitabu chake kikachukuliwa na kizazi chake kuanzia akina Nuhu hadi Musa na wengineo.cha ajabu ukisoma Biblia,kuna mitume waliandika nabii zao wakifanya reference kwenye kitabu hiki mfano Yuda(kitabu cha Yuda) kuprove kuwa walikuwa nacho kitabu hiki.leo hii pale qumran ziligunduliwa baadhi tu ya paragraph za Enoch,wakaja Vatican na U.N wakapiga marufuku the rest.hicho kitabu kimeeleza kwa ufasaha what happened wakati wa Nuhu hadi dunia ikapigwa gharika!jisomeeni wenyewe online,we google tu "the book of Enoch".pia walikuja kugundua kitabu kama hicho kwa waethiopia kikiwa kimeandikwa kwa kiethiopia!kuja kulinganisha wakakuta ni kile kile isipokuwa Qumran waligundua pages nyingi zaidi ila si kitabu kizima(kazi ilistopishwa na U.N)!wakristo wanakatazwa kabisa kusoma kitabu hicho.wanaambiwa ni cha kizushi.we are only advised to read "canonized books" blessed by Nicea council!someni hicho kitabu muone kinachozungumzwa kuhusu fallen angels interaction with humans!pia kuna hizi channels kama history channel,discovery channel,national geographic channel,huwa zinazungumzia sana mambo ya alliens.pia fanyeni research kwenye masuala ya pyramids hasa za Egypt,Mexico,India,far east!tutaendelea kujuzana!dunia ni zaidi ya tuijuavyo..ah nataka kusahau,wazee hebu geuzeni hili neno "illuminati"kinyume halafu hilo neno utakalopata liandike kama website ukianza na www na kumalizia na .com uone nini kinafunguka!
 
Angalizo:ni busara hiyo website muifungue internet cafe.si vema sana kutumia simu yako ya mkononi au computer yako please!unaweza kuvitumia hamna kitakachotokea lakini si vizuri ukajijengea mazingira ya KUFUATILIWA especially kama wewe una nyadhifa kubwa serikalini au ni mtu ambaye unaweza kuvuta attention ya wanausalama kukufuatilia.nimetoa habari hizi kwa nia njema.if you will find it interesting ukawaandikia hao jamaa na kujiunga nao,DAMU YAKO NA IWE JUU YAKO MWENYEWE!Mwenyezi MUNGU kanisikia!nasubiri majibu yenu mniambie nini kimefunguka,niwaambie jambo!
 
Mmewahi kusikia kuwa maeneo mengi ya dunia yaliyokumbwa na merger disasters kama Japan,Indonesia kulikuwa na UFO sighting kibao punde kabla ya matukio?If you are interested to know why Japan is having so many natural disasters now and who is behind it please google the word HAAARP!
 
Angalizo:ni busara hiyo website muifungue internet cafe.si vema sana kutumia simu yako ya mkononi au computer yako please!unaweza kuvitumia hamna kitakachotokea lakini si vizuri ukajijengea mazingira ya KUFUATILIWA especially kama wewe una nyadhifa kubwa serikalini au ni mtu ambaye unaweza kuvuta attention ya wanausalama kukufuatilia.nimetoa habari hizi kwa nia njema.if you will find it interesting ukawaandikia hao jamaa na kujiunga nao,DAMU YAKO NA IWE JUU YAKO MWENYEWE!Mwenyezi MUNGU kanisikia!nasubiri majibu yenu mniambie nini kimefunguka,niwaambie jambo!

what i've been discovered, tokea siku ya nne nilipojiunga Jf, ili upate habari nzuri, za uhakika na siri sana na za kuupa ubongo wako changamoto kubwa hisivyo kawaida tembelea Jf mida ya "Nightmare". Yangu ni hayo tu kwa wale Jf members wasiopenda "Ukilaza". Shukrani za dhati kwa mkuu juve2012, C.T. U, et al. Sitachoka kujifunza mengi na kujua mengi kupitia kwenu.
 
what i've been discovered, tokea siku ya nne nilipojiunga Jf, ili upate habari nzuri, za uhakika na siri sana na za kuupa ubongo wako changamoto kubwa hisivyo kawaida tembelea Jf mida ya "Nightmare". Yangu ni hayo tu kwa wale Jf members wasiopenda "Ukilaza". Shukrani za dhati kwa mkuu juve2012, C.T. U, et al. Sitachoka kujifunza mengi na kujua mengi kupitia kwenu.


Yes man
 
Kuhusu hiyo project alosema juve ya HAAARP!, click hyo link hpa chini mahali nimeona ,kwamb h project n kubwa sana na imeanza hasa na military interest kipind cha vita kuu ya pili.

Kuna detail nying ambzo kimsing unatakiwa upitie na uone mwenyewe ujiridhishe, pia kuna baadh ya picha na michoro inaonesho namna project inafanya kazi!


the background of HAARP
 
Back
Top Bottom