Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.
mkuu kuna vitu hufichwa kwasababu vina umuhimu kwa wanaoficha au wanaofichwa na pia kina madhara kwa pande zote husika,muhimu jaribu kuingia mtandaoni google vitu ambavyo juve2012 kaviongea napia haya mambo yapo yalitabiriwa na yatatokea keep in mind? what to do?ndo swali ambalo binadamu yabidi tukae tulitaftie majibu but absolutely we are late illuminate washatake control kila kitu na option iliyobakia ni kuamini imani uliyozaliwa nayo,amini ukifanyacho never trust anyone ata kama ni mtumishi wa MUNGU kama yaonekana yuko kinyume na unachokiamini.
 
Hawa wote wamejiunga JF mwaka jana 2016 na mwaka huu 2017,ukiangalia na namna wanavyoandika utaona tu kama siyo watoto basi ni watu ambao hawapo makini kabisa....

Unawezaje kuandika tu kirahisi "uongo mtakatifu" bila kuelezea ni uongo namna gani na kwa nini na ukweli ni upi?

Hawa watoto wanaharibu sana majukwaa mengi hapa JF haswa jukwaa hili maana lilikuwa linatusaidia sana kwenye mambo mengi.....
mkuu tujibie basi maswali about Jay z na rocafella

Nahitaji kujua kuhusu hawa vampires/zombies wanaotuaminisha kupitia movie

je ni kweli wapo au ndio ni moja ya project zijazo
 
Nimeamini kile nilichosoma kwenye vitabu vya mama mmoja hivi sitamtaja mana nitapigwa mawe mpaka basi.

Ila hii elimu nimeithibitisha Mungu yupo pia naamini kile alichosema kupitia maandiko ni hakika tena ni dhahiri kabsa
 
Naweka alama tu jamani nisije nikapoteza huu uzi.
 
Soma zaidi na ukitaka kujua zaidi fungua moyo wako kasome Quran na kuna uwezekano usirud kanisan
Mkuu hili la kutokurud kanisani limefanya ni qout post yako.

Sio kweli kabsa biblia ina mambo yote yanayoendelea kwenye uzi huu.

Tena ukitaka uifurahie kubali kujifunza futa mtazamo wako wa awali then gain something new.

Kuna vitabu vya mwandishi mmoja wa kike E G White amefunua kwa ukaribu sana haya mambo ukivisoma kwa kujifunza utaona Dunia inaangamizwa kesho kwani kuna siri nzito amefunua.

Ni suala la mda tu yote yatakuwa wazi mbele ya macho yetu.

Yani hii kitu inayoendelea nyuma ya pazia iko wazi kwa biblia sana napendekeza nawewe uwe msomaji wa hiko kitabu si ili uwe mkristo bali uongeze maarifa.
Asante
 
Back
Top Bottom