fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika na wewe kidogoMoja kati ya thread za ovyoo
Moderator futa huu upuuzi haraka
Mimi noma waulize majamaa niliosoma nao watakwambiaMkuu mbona una kelele waksti hata kuandika imla tu huwezi
Hahaha we jamaa unavyomalizia sentensi zako za mwisho[emoji3] [emoji3] [emoji3]5/Boris Yeltsin
![]()
Alizaliwa mnamo mwaka 1931 na kufariki dunia 2007 akiwa na umri wa miaka 76 baada ya kupambana na maradhi kwa kipindi kirefu![]()
Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mnamo mwaka 1998.
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani na kuambiwa ni dikteta na mzee wa kukurupuka kama yule wa Chato akaamua fasta kuachia huo Uwaziri mkuu na kumteua mtu mwingine
Yaani alikuwa Waziri mkuu ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!
Naunga mkono hojatukimaliza uzi huu nitakuomba pia utuletee pia waliokaa kwenye uongozi kwa mda mrefu katika dunia yetu
Siku anafariki Dr Ali Juma,niko ndani ya treni naenda Kigoma ,taarifa nilizipata niko Dodoma to TaboraMiaka 6 mkuu kuanzia 1995 hadi alipofariki mwaka 2001 yaani muhula wa pili ulioanza oktoba mwaka 2000 aliutumikia kwa miezi kazdhaa tu
Aseee, basi tuishie hapa MkuuDuh mimi sijui ndio nilikuwa shule au nachunga ng,ombe
Yeah bae...nimeipata hiyoooooo....!!!!