Wajue viongozi kumi walioonja madaraka kwa kipindi cha muda mfupi

Wajue viongozi kumi walioonja madaraka kwa kipindi cha muda mfupi

5/Boris Yeltsin
ecace9321b02e553fc75758354aa19c2.jpg
98a5cbf3c244e27ef07db058ccb4d9ac.jpg
614aede5e039e0bc20eb5d090e3bd8d8.jpg
Alizaliwa mnamo mwaka 1931 na kufariki dunia 2007 akiwa na umri wa miaka 76 baada ya kupambana na maradhi kwa kipindi kirefu
Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mnamo mwaka 1998.
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani na kuambiwa ni dikteta na mzee wa kukurupuka kama yule wa Chato akaamua fasta kuachia huo Uwaziri mkuu na kumteua mtu mwingine

Yaani alikuwa Waziri mkuu ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!
Hapa umetulisha tango pori. Huyu alitawala kwa muda mfupi sawa huko Russia, lakini si kwa muda wa masaa uliyoyasema wewe. Ngoja nifuatilie google.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5/Boris Yeltsin
ecace9321b02e553fc75758354aa19c2.jpg
98a5cbf3c244e27ef07db058ccb4d9ac.jpg
614aede5e039e0bc20eb5d090e3bd8d8.jpg
Alizaliwa mnamo mwaka 1931 na kufariki dunia 2007 akiwa na umri wa miaka 76 baada ya kupambana na maradhi kwa kipindi kirefu
Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mnamo mwaka 1998.
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani na kuambiwa ni dikteta na mzee wa kukurupuka kama yule wa Chato akaamua fasta kuachia huo Uwaziri mkuu na kumteua mtu mwingine

Yaani alikuwa Waziri mkuu ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!
Mkuu acha kulisha watu matango pori. Utashitakiwa kwa kuwalisha watu sumu.

Kiongozi huyu alitawala Urusi iliyosambaratika baada ya Mikail Gorbachev na alitawala kwa kipindi cha takribani miaka minane na ushee!

Tena hili ndiyo limenistua hadi andiko lako lote nianze kufiatilia mmoja mmoja!

Lakini kuna ulazima gani kupotosha kama hauna uhakika na jambo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umetulisha tango pori. Huyu alitawala kwa muda mfupi sawa huko Russia, lakini si kwa muda wa masaa uliyoyasema wewe. Ngoja nifuatilie google.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu acha kulisha watu matango pori. Utashitakiwa kwa kuwalisha watu sumu.

Kiongozi huyu alitawala Urusi iliyosambaratika baada ya Mikail Gorbachev na alitawala kwa kipindi cha takribani miaka minane na ushee!

Tena hili ndiyo limenistua hadi andiko lako lote nianze kufiatilia mmoja mmoja!

Lakini kuna ulazima gani kupotosha kama hauna uhakika na jambo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nabaki kucheka tu mtu ansposhindwa kuelewa kilichoandikwa kisha anakuja juu kuanza kukosoa

Uliyoyasndika wewe yapo tofauti na niliyoelezea hivyo rudia kusoma ili uelewe kisha ujenge hoja

Mimi nimeandika akiwa rais alijiteua yeye mwenyewe kuwa waziri mkuu kisha kutengua uamuzi huo ndani ya masaa machache kutokana na kupingwa na wananchi].....hiki ndicho niliyoandika kama kwako ni matango pori sawa unaweza kushindia mapapai pia na ukashiba vizuri tu
 
Huwa nabaki kucheka tu mtu ansposhindwa kuelewa kilichoandikwa kisha anakuja juu kuanza kukosoa

Uliyoyasndika wewe yapo tofauti na niliyoelezea hivyo rudia kusoma ili uelewe kisha ujenge hoja

Mimi nimeandika akiwa rais alijiteua yeye mwenyewe kuwa waziri mkuu kisha kutengua uamuzi huo ndani ya masaa machache kutokana na kupingwa na wananchi].....hiki ndicho niliyoandika kama kwako ni matango pori sawa unaweza kushindia mapapai pia na ukashiba vizuri tu
Uandishi 'kabila' hiyo kamwe hauwezi kuelimisha mtu.
Mantiki yako ilikuwa kuelezea viongozi walioshikilia madaraka ya uongozi wa taifa kwa muda mfupi.

Je huyo Yeltisin alitawala kwa muda mfupi huo tu ulioutaja wewe?

Hapo ulitakiwa kufafanua kuwa; "Aliyekuwa rais wa Russia kwa muda wa miaka minane, pindi alipotaka kubadili cheo chake cha urais na kukifanya kiwe ni uwaziri mkuu, wananchi waliandamana kumpinga na kufanya akae kwenye cheo hicho kipya cha uwaziri mkuu kwa muda kadhaa"......
Hapo mtu 'biginner' ataelewa vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Mod wa Jamii Inrelligence ni mpuuzi
Sikuwepo km week jhivi nakuta msda zangu nyingi amezihamishia Habari na Hoja Mchanganyiko ila za wengine za ovyo ovyo zimeachea tu

Kwavile Jf tunapost kwa mapenzi tu sitegemei kuanzisha tena mada labda mwakani maana hizi ni dharau
No!
No!
No! My dear, don do that!!!
Nenda private uwaombe wawe wanaziacha mada zako.
Ukifanya hivo utaniumiza mie na jamii nzima.
 
Naunga mkono juhudi zako Madame B za kumuomba bwana Bitoz abaki na aendelee ku2pa elimu hapa jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah true kabisa my kaka lwamu
Tutakaopata shida ni sisi wasomaji na wapenda nakala, sio hao mods maana mods kazi yao kubanisha na kumuvuzisha.
Wengine sie makala kama zile huwa licha ya kutupa burudani, pia tunaingiza maarifa mapya kichwani.
Maisha yenyewe mafupi....yanini kujipa stress!!!!!
 
Naunga mkono juhudi zako Madame B za kumuomba bwana Bitoz abaki na aendelee ku2pa elimu hapa jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yeah true kabisa my kaka lwamu
Tutakaopata shida ni sisi wasomaji na wapenda nakala, sio hao mods maana mods kazi yao kubanisha na kumuvuzisha.
Wengine sie makala kama zile huwa licha ya kutupa burudani, pia tunaingiza maarifa mapya kichwani.
Maisha yenyewe mafupi....yanini kujipa stress!!!!!
Naheshimu maoni yenu

Ila huyo Mod kaniboa sana labda anataka jukwaa zima lijae thread za ulozi na kupinga uwepo wa Mungu na zile za akina Zebodi tu

Nilienda MEMBERS ONLY kumpa maneno huyo Mod hivyo ujumbe ushamfika
 
Uandishi 'kabila' hiyo kamwe hauwezi kuelimisha mtu.
Mantiki yako ilikuwa kuelezea viongozi walioshikilia madaraka ya uongozi wa taifa kwa muda mfupi.

Je huyo Yeltisin alitawala kwa muda mfupi huo tu ulioutaja wewe?

Hapo ulitakiwa kufafanua kuwa; "Aliyekuwa rais wa Russia kwa muda wa miaka minane, pindi alipotaka kubadili cheo chake cha urais na kukifanya kiwe ni uwaziri mkuu, wananchi waliandamana kumpinga na kufanya akae kwenye cheo hicho kipya cha uwaziri mkuu kwa muda kadhaa"......
Hapo mtu 'biginner' ataelewa vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,
Ambacho bado hujaelewa ni nini haswa ? Sijasema alitaka kuacha urais ili awe waziri mkuu bali nimesema akiwa rais alitengua uteuzi wa Eaziri mkuu na kujiongezea madaraka kwa kujiteua mwenyewe kwenye mpira tungesema kocha mchezaji !!
 
Naheshimu maoni yenu

Ila huyo Mod kaniboa sana labda anataka jukwaa zima lijae thread za ulozi na kupinga uwepo wa Mungu na zile za akina Zebodi tu

Nilienda MEMBERS ONLY kumpa maneno huyo Mod hivyo ujumbe ushamfika
Sawa mkuu.
Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom