Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Unachunga ng'ombe wapi? Na shule daraja gani?Duh mimi sijui ndio nilikuwa shule au nachunga ng,ombe
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachunga ng'ombe wapi? Na shule daraja gani?Duh mimi sijui ndio nilikuwa shule au nachunga ng,ombe
Ila Mod wa Jamii Inrelligence ni mpuuziYeah bae...nimeipata hiyoooooo....!!!!
NimeshangaaaIla Mod wa Jamii Inrelligence ni mpuuzi
Sikuwepo km week jhivi nakuta msda zangu nyingi amezihamishia Habari na Hoja Mchanganyiko ila za wengine za ovyo ovyo zimeachea tu
Kwavile Jf tunapost kwa mapenzi tu sitegemei kuanzisha tena mada labda mwakani maana hizi ni dharau
Msingi ni wengi tumeishia hapo ,bora wewe umechunga ng'ombe ,Mie nilikua nacheza na mawese na dagaaShule ya msingi tu mkuu
Ng'ombe nachunga porini
Halafu siyo thread moja au mbili mkuu
Cha ajabu thread zinazohusu nyoka na ulozi ndiyo zinapeta tu
Hii ni dharau na kubaguana nieamua kuwaachia jukwaa lao
Mbona ulinikimbia wewe mwanaume wa DarUsijali mkuu
Msingi w elimu ni kujua kusoma,kuandika na kuhesabu
Wapotezee Hao mkuu tuletee vitu adimu Tafadhali SanaIla Mod wa Jamii Inrelligence ni mpuuzi
Sikuwepo km week jhivi nakuta msda zangu nyingi amezihamishia Habari na Hoja Mchanganyiko ila za wengine za ovyo ovyo zimeachea tu
Kwavile Jf tunapost kwa mapenzi tu sitegemei kuanzisha tena mada labda mwakani maana hizi ni dharau
Kumbe ni wa dar mkuu oooh atagarfina Duuh Esta kafurahiMbo
Mbona ulinikimbia wewe mwanaume wa Dar
Wewe jichanganye tu mimi na huyo Bitoz tuna utani naye